proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,572
- 11,757
🤣🤣🤣"""Kama kuku asingekufa hii mada nahisi isingefika huku ..""
😂😂😂😂😂😂
Kuna watu hovyo humu
🤣🤣🤣"""Kama kuku asingekufa hii mada nahisi isingefika huku ..""
😂😂😂😂😂😂
Kuna watu hovyo humu
Alipaka mate iteleze,kama diamond chibude alivyotoa muongozoIliingiaje sasa
Atalipa kitoweo. Sh 15k. Yupo huruAmeua kitoweo
Aibu kaipata nani?Hapo akiingia mahakamani anakula miaka - ni shambulio la aibu wa kiumbe hai.
Mm namkataa, simfahamu.Mwanachama wenu amezidiwa na upwiru matokeo ndo hayo sasa
Well said!Hapo hakuna cha hamu, bali ni mapepo ya ngono.
Tuache kukaa free bila kazi(shughuli), ndio maana mawazo maovu yanapita na sisi.
"An idle mind is devil's workshop".
Iyo hapo juu ni simple message lakini ina maana kubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku. ""Akili isiyotumika ni gereza la shetani" hutukumbusha kwamba tunapokuwa wavivu na bila shughuli, mawazo maovu huja kwa haraka akilini mwetu. Mtu anaposhindwa na kutokuwa na shughuli, mawazo ya aina zote ya uovu hufurika akilini mwake, hivyo kuifanya kuwa mahali kamili kwa shetani kutekeleza vitendo vyake vya uovu."
Mwenyezi Mungu azidi kutupa nuru yake na kutuondolea mawazo maovu kwenye ufahamu wetu.
Tumepiga hatua kubwa sana.Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Sunday, mkazi wa Kitongoji cha Misungwi Kata ya Usagara wilayani Misungwi mkoani Mwanza, anadaiwa kubaka kuku hadi kufa.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema mtuhumiwa alimkamata kuku huyo ambaye alikuwa anataga kisha kumuingiza ndani ya nyumba yake na kuanza kumbaka na baada ya kumaliza haja zake akatoka kumtupa nje.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema mtuhumiwa alimkamata kuku huyo ambaye alikuwa anataga kisha kumuingiza ndani ya nyumba yake na kuanza kumbaka na baada ya kumaliza haja zake akatoka kumtupa nje.
Mmoja wa wapangaji katika nyumba hiyo, Delifina Boazi amesema alitoka nje kwenda kukinga maji bombani ndipo alipomuona mtuhumiwa akifanya kitendo hicho sebleni akiwa amekaa kwenye makochi.
"Nilimuoma alikuwa amemkamata kuku na anafanya naye mapenzi na alipomaliza alienda kumtupa," amesema Delifina
Akizungumzia tukio hilo, Mwenyekiti wa kitongoji cha Misungwi, Samson Madirisha amekiri kupokea taarifa hizo na baada ya kufika eneo la tukio alikuta kitendo hicho kimeshafanyika.
Madirisha amesema baada ya mtuhumiwa kuhojiwa alikiri kufanya kitendo hicho na kueleza kuwa alikuwa na hamu hivyo alishindwa kujizuia.
Naye Kamanda wa Sungusungu kata ya Usagara, Buhili Makubilo na mkazi wa eneo hilo Edista Mganga wameviomba vyombo vya dola kuwachukulia hatua watu wanaobainika kufanya vitendo hivyo.
Hata hivyo, mtuhumiwa amechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
NiKama kuku ni wake aachwe aisee kikubwa hajadhuru mtu.
Japo angeuza huyo kuku angepata wanawake hata wanne kwa harakaharaka kama wale wanaojiuza kwa wahaya buku nne
Vineeeenaaa vitakutoa roho ujuee wee viendekeze tu 😊!!
Unamshangaa huyo kuna mchezaji wa Azam aliwahi kufanya km hivoHalafu hawa hawa ndio mnakuja kuwapa kazi serikalini
Duu really?Unamshangaa huyo kuna mchezaji wa Azam aliwahi kufanya km hivo