Afya ya akili: Ambaka kuku hadi kufa!

Afya ya akili: Ambaka kuku hadi kufa!

[emoji1][emoji1][emoji1] afungishwe ndoa ya lazima na huyo kuku,halafu alazimishwe kumfanyia huyo kuku mazishi kama mke wake
 
Ndio maana vichwa havina akili Poor Brain nywele zinaisha kichwa, kutokujiamini, huleti maendeleo, nguvu za kiume kuisha. Mi nikimkama shem mbona atahama kwako aje.
NB usiguse hii comment kama huna misuli FANYA NGONO KWA KIASI kwani sio chakula huwezi kuukomoa uchi.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Uhakika upo sasa ya nini kufanya mambo ya no fap fap sijui...
Wakati any time unakiwasha n mazingira yapo very supportive
😂😂😂
 
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Sunday, mkazi wa Kitongoji cha Misungwi Kata ya Usagara wilayani Misungwi mkoani Mwanza, anadaiwa kubaka kuku hadi kufa.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema mtuhumiwa alimkamata kuku huyo ambaye alikuwa anataga kisha kumuingiza ndani ya nyumba yake na kuanza kumbaka na baada ya kumaliza haja zake akatoka kumtupa nje.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema mtuhumiwa alimkamata kuku huyo ambaye alikuwa anataga kisha kumuingiza ndani ya nyumba yake na kuanza kumbaka na baada ya kumaliza haja zake akatoka kumtupa nje.

Mmoja wa wapangaji katika nyumba hiyo, Delifina Boazi amesema alitoka nje kwenda kukinga maji bombani ndipo alipomuona mtuhumiwa akifanya kitendo hicho sebleni akiwa amekaa kwenye makochi.

"Nilimuoma alikuwa amemkamata kuku na anafanya naye mapenzi na alipomaliza alienda kumtupa," amesema Delifina

Akizungumzia tukio hilo, Mwenyekiti wa kitongoji cha Misungwi, Samson Madirisha amekiri kupokea taarifa hizo na baada ya kufika eneo la tukio alikuta kitendo hicho kimeshafanyika.

Madirisha amesema baada ya mtuhumiwa kuhojiwa alikiri kufanya kitendo hicho na kueleza kuwa alikuwa na hamu hivyo alishindwa kujizuia.

Naye Kamanda wa Sungusungu kata ya Usagara, Buhili Makubilo na mkazi wa eneo hilo Edista Mganga wameviomba vyombo vya dola kuwachukulia hatua watu wanaobainika kufanya vitendo hivyo.

Hata hivyo, mtuhumiwa amechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Hii nji
 
"""Kama kuku asingekufa hii mada nahisi isingefika huku ..""
😂😂😂😂😂😂
Kuna watu hovyo humu
 
Back
Top Bottom