Afrika Kusini kuwaondoa Wanadiplomasia kutoka Israel

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,462
Afrika Kusini inasema utawarejesha nyumbani Wanadiplomasia wake wote kutoka Tel Aviv kufuatia mashambulizi makali yanayofanywa na Israel kuelekea Gaza.

Shambulio la bomi lililotokea Novemba 5, 2023 lilikuwa moja ya shambulizi zito zaidi kwa Israel tangu vita baina ya pande hizo ianze mwezi mmoja uliopita.

Kulingana na Hospitali ya Al-Shifa ya Gaza City, takriban watu 200 wameuawa.

Serikali ya Afrika Kusini, ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikiunga mkono hoja ya Palestina, ililaani vikali Israel na kutaka kufutwa kazi kwa Balozi wa Israel, Eliav Belotsercovsky ikimtuhumu kwa kutoa "maoni ya kudharau" kuhusu Afrika Kusini.

Taarifa hiyo ilieleza kuwepo kwa Balozi Belotsercovsky nchini Afrika Kusini kuwa "kutokubalika", na kuongeza kuwa itafuata njia za Kidiplomasia kukabiliana na mwenendo wake Nchini humo.

Waziri wa Mambo ya Nje, Naledi Pandor alisema Serikali inaamini "Hali ya kukabiliana na Israel imekuwa moja ya adhabu ya pamoja".

Israel inasema inajaribu kupunguza vifo vya raia na inashutumu Hamas kwa kutumia wasio wapiganaji kama ngao za binadamu.

Mamia ya raia wa Afrika Kusini wameandamana kupinga mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza katika wiki za hivi karibuni.

Mapema Mwaka 2023 Ubalozi wa Afrika Kusini Nchini Israel ulishushwa hadhi na kuwa ofisi ya mawasiliano.

########

South Africa says it will recall all of its diplomats from Tel Aviv following Israel's intense air strikes on Gaza on Sunday night.

The bombardment was one of Israel's heaviest since the war began a month ago.
According to Gaza City's Al-Shifa hospital, about 200 people were killed.

South Africa's government, which has long been a vocal supporter of the Palestinian cause, staunchly condemned Israel on Monday.

The government indicated that it might call for the removal of Israeli Ambassador Eliav Belotsercovsky accusing him of making "disparaging comments" about South Africa.

The statement described Ambassador Belotsercovsky's presence in South Africa as "untenable", adding it would pursue diplomatic channels to deal with his conduct in the country.

Foreign Minister Naledi Pandor said the government believes "the nature of response by Israel has become one of collective punishment".

Israel says it is trying to minimise civilian casualties and accuses Hamas of using non-combatants as human shields.

Hundreds of South Africans have protested against Israeli attacks on Gaza in recent weeks.

Earlier this year the South African embassy in Israel was downgraded to a liaison office.


Source: BBC
 
Kama South Africa imeshindwa kuwadhibiti tu vibaka wa nchini mwao. Hawawezi kuelewa Israel inapigania nini.
Wanajichetua tu ili waonekane na wao wapo.Wameivuruga S.Africa chini ya ANC imekuwa vururu vururu na ubaguzi wa kutisha kutoka kwa hao hao weusi dhidi ya raia wa kigeni wanaojitafutia ridhiki zao. Walikabidhiwa nchi ikiwa na miundo mbinu safi kabisa lakini wamevurunda mpaka inafikia hatua inapata na mgao wa umeme kama sisi huku lakini wapo busy na mambo wasiyoyaweza.Bora wangeendeleaga kutawaliwa tu na kaburu ndiyo alikuwa anawawezea.
 
Wanajichetua tu ili waonekane na wao wapo.Wameivuruga S.Africa chini ya ANC imekuwa vururu vururu na ubaguzi wa kutisha kutoka kwa hao hao weusi dhidi ya raia wa kigeni wanaojitafutia ridhiki zao. Walikabidhiwa nchi ikiwa na miundo mbinu safi kabisa lakini wamevurunda mpaka inafikia hatua inapata na mgao wa umeme kama sisi huku lakini wapo busy na mambo wasiyoyaweza.Bora wangeendeleaga kutawaliwa tu na kaburu ndiyo alikuwa anawawezea.
Kwa kweli south ya sasa ni ya matamko
 
Afrika Kusini inasema utawarejesha nyumbani Wanadiplomasia wake wote kutoka Tel Aviv kufuatia mashambulizi makali yanayofanywa na Israel kuelekea Gaza.

Shambulio la bomi lililotokea Novemba 5, 2023 lilikuwa moja ya shambulizi zito zaidi kwa Israel tangu vita baina ya pande hizo ianze mwezi mmoja uliopita.

Kulingana na Hospitali ya Al-Shifa ya Gaza City, takriban watu 200 wameuawa.

Serikali ya Afrika Kusini, ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikiunga mkono hoja ya Palestina, ililaani vikali Israel na kutaka kufutwa kazi kwa Balozi wa Israel, Eliav Belotsercovsky ikimtuhumu kwa kutoa "maoni ya kudharau" kuhusu Afrika Kusini.

Taarifa hiyo ilieleza kuwepo kwa Balozi Belotsercovsky nchini Afrika Kusini kuwa "kutokubalika", na kuongeza kuwa itafuata njia za Kidiplomasia kukabiliana na mwenendo wake Nchini humo.

Waziri wa Mambo ya Nje, Naledi Pandor alisema Serikali inaamini "Hali ya kukabiliana na Israel imekuwa moja ya adhabu ya pamoja".

Israel inasema inajaribu kupunguza vifo vya raia na inashutumu Hamas kwa kutumia wasio wapiganaji kama ngao za binadamu.

Mamia ya raia wa Afrika Kusini wameandamana kupinga mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza katika wiki za hivi karibuni.

Mapema Mwaka 2023 Ubalozi wa Afrika Kusini Nchini Israel ulishushwa hadhi na kuwa ofisi ya mawasiliano.

########

South Africa says it will recall all of its diplomats from Tel Aviv following Israel's intense air strikes on Gaza on Sunday night.

The bombardment was one of Israel's heaviest since the war began a month ago.
According to Gaza City's Al-Shifa hospital, about 200 people were killed.

South Africa's government, which has long been a vocal supporter of the Palestinian cause, staunchly condemned Israel on Monday.

The government indicated that it might call for the removal of Israeli Ambassador Eliav Belotsercovsky accusing him of making "disparaging comments" about South Africa.

The statement described Ambassador Belotsercovsky's presence in South Africa as "untenable", adding it would pursue diplomatic channels to deal with his conduct in the country.

Foreign Minister Naledi Pandor said the government believes "the nature of response by Israel has become one of collective punishment".

Israel says it is trying to minimise civilian casualties and accuses Hamas of using non-combatants as human shields.

Hundreds of South Africans have protested against Israeli attacks on Gaza in recent weeks.

Earlier this year the South African embassy in Israel was downgraded to a liaison office.


Source: BBC
South Africa waandoke tu kipigo kwa Hamas kitaendelea mpaka waachilie mateka wenyewe

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Wanajichetua tu ili waonekane na wao wapo.Wameivuruga S.Africa chini ya ANC imekuwa vururu vururu na ubaguzi wa kutisha kutoka kwa hao hao weusi dhidi ya raia wa kigeni wanaojitafutia ridhiki zao. Walikabidhiwa nchi ikiwa na miundo mbinu safi kabisa lakini wamevurunda mpaka inafikia hatua inapata na mgao wa umeme kama sisi huku lakini wapo busy na mambo wasiyoyaweza.Bora wangeendeleaga kutawaliwa tu na kaburu ndiyo alikuwa anawawezea.
A.kusini wanajua wanacho kifanya kwa sababu wanacho kipitia wapalestina na wao walisha kipitia kwa miongo kadhaa chini ya makaburu,tena muungaji mkono mkubwa wa makaburu akiwa huyo Israel.

Kwahiyo usitake kuniambia ww mlala njaa kutoka buza una akili kuliko serikali ya S.Afrika.
 
A.kusini wanajua wanacho kifanya kwa sababu wanacho kipitia wapalestina na wao walisha kipitia kwa miongo kadhaa chini ya makaburu,tena muungaji mkono mkubwa wa makaburu akiwa huyo Israel.

Kwahiyo usitake kuniambia ww mlala njaa kutoka buza una akili kuliko serikali ya S.Afrika.
Sio kweli, matango pori kutoka kwa politicians wenu, makaburu wangekua hivyo kama ulivyowaandika hapo juu, SA isingepata maendeleo makubwa, SA ya ANC kama kawaida ya watu weusi wameipeleka kwa laundry, watch the space next year, ANC wamekalia kuti kavu, na jiulize nani anamhutaji mwenzie zaidi, Israel au SA kimaendeleo?
 
Afrika Kusini inasema utawarejesha nyumbani Wanadiplomasia wake wote kutoka Tel Aviv kufuatia mashambulizi makali yanayofanywa na Israel kuelekea Gaza.

Shambulio la bomi lililotokea Novemba 5, 2023 lilikuwa moja ya shambulizi zito zaidi kwa Israel tangu vita baina ya pande hizo ianze mwezi mmoja uliopita.

Kulingana na Hospitali ya Al-Shifa ya Gaza City, takriban watu 200 wameuawa.

Serikali ya Afrika Kusini, ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikiunga mkono hoja ya Palestina, ililaani vikali Israel na kutaka kufutwa kazi kwa Balozi wa Israel, Eliav Belotsercovsky ikimtuhumu kwa kutoa "maoni ya kudharau" kuhusu Afrika Kusini.

Taarifa hiyo ilieleza kuwepo kwa Balozi Belotsercovsky nchini Afrika Kusini kuwa "kutokubalika", na kuongeza kuwa itafuata njia za Kidiplomasia kukabiliana na mwenendo wake Nchini humo.

Waziri wa Mambo ya Nje, Naledi Pandor alisema Serikali inaamini "Hali ya kukabiliana na Israel imekuwa moja ya adhabu ya pamoja".

Israel inasema inajaribu kupunguza vifo vya raia na inashutumu Hamas kwa kutumia wasio wapiganaji kama ngao za binadamu.

Mamia ya raia wa Afrika Kusini wameandamana kupinga mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza katika wiki za hivi karibuni.

Mapema Mwaka 2023 Ubalozi wa Afrika Kusini Nchini Israel ulishushwa hadhi na kuwa ofisi ya mawasiliano.

########

South Africa says it will recall all of its diplomats from Tel Aviv following Israel's intense air strikes on Gaza on Sunday night.

The bombardment was one of Israel's heaviest since the war began a month ago.
According to Gaza City's Al-Shifa hospital, about 200 people were killed.

South Africa's government, which has long been a vocal supporter of the Palestinian cause, staunchly condemned Israel on Monday.

The government indicated that it might call for the removal of Israeli Ambassador Eliav Belotsercovsky accusing him of making "disparaging comments" about South Africa.

The statement described Ambassador Belotsercovsky's presence in South Africa as "untenable", adding it would pursue diplomatic channels to deal with his conduct in the country.

Foreign Minister Naledi Pandor said the government believes "the nature of response by Israel has become one of collective punishment".

Israel says it is trying to minimise civilian casualties and accuses Hamas of using non-combatants as human shields.

Hundreds of South Africans have protested against Israeli attacks on Gaza in recent weeks.

Earlier this year the South African embassy in Israel was downgraded to a liaison office.


Source: BBC
Migodi yote ya South Africa imekamatwa na hao hao Jews, mtu akisha kamata uchumi wako unakuwa umeisha
 
Sio kweli, matango pori kutoka kwa politicians wenu, makaburu wangekua hivyo kama ulivyowaandika hapo juu, SA isingepata maendeleo makubwa, SA ya ANC kama kawaida ya watu weusi wameipeleka kwa laundry, watch the space next year, ANC wamekalia kuti kavu, na jiulize nani anamhutaji mwenzie zaidi, Israel au SA kimaendeleo?
Ww ni mpumbavu kwa hiyo ilikuwa ni sahihi tutawaliwe na wakoloni mpaka sasa kisa wao walikuwa wanajenga miundo mbinu ndani ya nchi?

Makaburu wao walikuwa wanaijenga kwa matarajio ya kutawala milele na walikuwa wanajenga kwa kizazi chao wala hawakuwa na matarajio ya siku moja kama wanaweza kuangushwa kama Israel kwa sasa anavyo fikiri kuwa haiwezi kutokea akashindwa na wapalestina.

Na ndio maana Africa kusini lilikuwa ni taifa tajiri lakini watu weusi walikuwa wanaishi mithiri ya wanyama na maelfu ya waafirika walikuwa wana kufa kila mwaka kwa magonjwa.

Wakati huo wazungu wachache wakiishi kama wako peponi.
 
Wanajichetua tu ili waonekane na wao wapo.Wameivuruga S.Africa chini ya ANC imekuwa vururu vururu na ubaguzi wa kutisha kutoka kwa hao hao weusi dhidi ya raia wa kigeni wanaojitafutia ridhiki zao. Walikabidhiwa nchi ikiwa na miundo mbinu safi kabisa lakini wamevurunda mpaka inafikia hatua inapata na mgao wa umeme kama sisi huku lakini wapo busy na mambo wasiyoyaweza.Bora wangeendeleaga kutawaliwa tu na kaburu ndiyo alikuwa anawawezea.
Sasa haya yanahusiano gani na vita vya Gaza?
 
Kama South Africa imeshindwa kuwadhibiti tu vibaka wa nchini mwao. Hawawezi kuelewa Israel inapigania nini.
South Afrca wana haki kama nchi kujiamulia mambo yao wewe kama upendi vumilia endelea kuwasifia unawapenda.
 
Ww ni mpumbavu kwa hiyo ilikuwa ni sahihi tutawaliwe na wakoloni mpaka sasa kisa wao walikuwa wanajenga miundo mbinu ndani ya nchi?

Makaburu wao walikuwa wanaijenga kwa matarajio ya kutawala milele na walikuwa wanajenga kwa kizazi chao wala hawakuwa na matarajio ya siku moja kama wanaweza kuangushwa kama Israel kwa sasa anavyo fikiri kuwa haiwezi kutokea akashindwa na wapalestina.

Na ndio maana Africa kusini lilikuwa ni taifa tajiri lakini watu weusi walikuwa wanaishi mithiri ya wanyama na maelfu ya waafirika walikuwa wana kufa kila mwaka kwa magonjwa.

Wakati huo wazungu wachache wakiishi kama wako peponi.
Okay mkuu, kama mimi ni mpumbavu you can't help ila kama mimi ni mjinga then tunaweza kujadiliana, kwangu baada ya uchunguzi wa kina including kuitembelea SA, nikajifunza kuwa politicians hasa wa hapa Tanzania walituongopea mno kuhusu makaburu wa SA, nchi waliiongoza vema kuliko ufisadi mkubwa unaofanywa na viongozi weusi, watu wengi wanakufa mno kwa serikali ya watu weusi kuliko kipindi cha boers, misingi yote ya kimaendeleo imevurugwa na black leaders, na next year elections ANC wanawekwa pembeni na coalitions government, watch the space
 
Back
Top Bottom