Uzuri wa mtu (mwanamke) uko wapi?, uko kwake mwenyewe (mwanamke) au kwa anayemuangalia?(mwanaume)
kwa ujumla km umeona usoni pako patamu hivyo jua mgongo ni furushi,mungu huwa hatanii akiamua kufanya kazi yake kwa nafasi.nakuhakikishia huyu si km mwajuma ndala ndefu wa kwenu huko tandale popo-bawa.Unaweza kuweka picha yake ikionyesha mwili mzima hasa mgongo?
sura nzuri lakini 'maji' matupu humo.
yaani nimeishia kucheka tu hapa,ila jamaa mna visa hapa wacha tu.
yaani nimeishia kucheka tu hapa,ila jamaa mna visa hapa wacha tu.