Habari wakuu, poleni na mjukumu,
Nimekuja kwenu na malalamiko na humu JF Kuna watu wa aina mbalimbali ambao wanaweza saidia watoto wetu.
Ofisi ya Mikopo chuo cha MUST mpaka sasa haijawaingizia baadhi wanafunzi wa mwaka wa kwanza pesa ya kujikimu (boom), pesa ambayo watoto wamesign mwezi wa kumi na mbili mpaka sasa hawajapewa, kweli? Na baadhi ya watoto wanatoka familia duni, huku wakitegemea pesa hiyo zaidi kujikimu.
Uongozi wa Wanafunzi, pamoja na Uongozi wa Chuo hautoi ushirikiano wa kutosha kwani wameegamia upande mmoja.
Hiyo ofisi imefatwa mara kadhaa kukumbushwa kuwawekea watoto pesa kwenye akaunti zao za benk, lakini wamekua wakitoa majibu ya kejeli kwamba wataweka wakijisikia na wasipangie ofisi kazi.
Je, hawa ofisi za mikopo wanakoswa utu kweli hata kwa Watoto wakimasikini, wanataka watoto wa kike wakafanye umalaya ndio walizike, ilihali pesa zilashatumwa akaunti ya chuo lakini wao hawataki kuweka.
Na kuna tetesi pesa za wanafunzi wao wanafanya biashara zao.
Serikali kupitia Wizara Ya Elimu mulika uozo MUST
Nimekuja kwenu na malalamiko na humu JF Kuna watu wa aina mbalimbali ambao wanaweza saidia watoto wetu.
Ofisi ya Mikopo chuo cha MUST mpaka sasa haijawaingizia baadhi wanafunzi wa mwaka wa kwanza pesa ya kujikimu (boom), pesa ambayo watoto wamesign mwezi wa kumi na mbili mpaka sasa hawajapewa, kweli? Na baadhi ya watoto wanatoka familia duni, huku wakitegemea pesa hiyo zaidi kujikimu.
Uongozi wa Wanafunzi, pamoja na Uongozi wa Chuo hautoi ushirikiano wa kutosha kwani wameegamia upande mmoja.
Hiyo ofisi imefatwa mara kadhaa kukumbushwa kuwawekea watoto pesa kwenye akaunti zao za benk, lakini wamekua wakitoa majibu ya kejeli kwamba wataweka wakijisikia na wasipangie ofisi kazi.
Je, hawa ofisi za mikopo wanakoswa utu kweli hata kwa Watoto wakimasikini, wanataka watoto wa kike wakafanye umalaya ndio walizike, ilihali pesa zilashatumwa akaunti ya chuo lakini wao hawataki kuweka.
Na kuna tetesi pesa za wanafunzi wao wanafanya biashara zao.
Serikali kupitia Wizara Ya Elimu mulika uozo MUST