AFCON: Nusu Fainali: Nigeria 1-1 (4-2) Afrika Kusini : Februari 7, 2024

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Uwanja wa Stade de la Paix, Bouaké
Mwamuzi wa kati ni Amin Omar, raia wa Misri

Dakika 90 zimekamilika matokeo ni 1-1, sasa zimeongezwa dakika 30, mtnage unaendelea
GFwYfwNXIAEBoCV.jpg

Nigeria ilianza kwa kupata goli lake kupitia kwa bei wa kati William Paul Troost-Ekong anayeichezea Klabu ya PAOK ya Ugiriki kwa njia ya tuta katika dakika ya 67.

Dakika ya 90, kiungo Teboho Mokoena ambaye anaitumikia Klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini aliipatia Sauzi goli la kusawazisha kwa penati baada ya mwamuzi kupitia VAR.

Ball linaendelea

Kadi nyekundu kwa Kikana wa Afrika Kusini, inakuwa faulo.


=========


Ushindi wa penati 4-2 umeiwezesha Timu ya Taifa ya Nigeria kuingia Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga Afrika Kusini katika mchezo wa Nusu Fainali.

Hadi dakika 90 zinakamilika na kuongezwa 30 za nyongeza matokeo yalikuwa 1-1, William Paul Troost-Ekong akiitanguliza Nigeria katika dakika ya 67 kisha Teboho Mokoena akasawazisha dakika ya 90, magoli yote yakifungwa kwa njia ya penati.

Hivyo, Nigeria inatarajiwa kucheza Fainali mnamo Februari 11, 2024 dhidi ya timu itakayoshinda katika mchezo wa wenyeji Ivory Coast dhidi DR Congo wakati Afrika Kusini ikisubiri kucheza mechi ya Mshindi wa Tatu, Februari 10, 2024.

Muda wa matuta
 
Yule jamaa aliyepaisha ile free kick iliyopigwa then kipa akatema nadhan atajuta sana

Tujifunze kutumia fursa hata kwenye maisha

Unapopata fursa tuliza akili isiwe na papara hata kwenye really life. Vijana wengi wanapewa mitaji na wanaharibu, halafu wanahope the same fursa again , dhambi ya umasikini huenda kwa masikini

SA OUT
 
Yule jamaa aliyepaisha ile free kick iliyopigwa then kipa akatema nadhan atajuta sana

Tujifunze kutumia fursa hata kwenye maisha

Unapopata fursa tuliza akili isiwe na papara hata kwenye really life. Vijana wengi wanapewa mitaji na wanaharibu, halafu wanahope the same fursa again , dhambi ya umasikini huenda kwa masikini

SA OUT
Kabisa
 
Yule jamaa aliyepaisha ile free kick iliyopigwa then kipa akatema nadhan atajuta sana

Tujifunze kutumia fursa hata kwenye maisha

Unapopata fursa tuliza akili isiwe na papara hata kwenye really life. Vijana wengi wanapewa mitaji na wanaharibu, halafu wanahope the same fursa again , dhambi ya umasikini huenda kwa masikini

SA OUT
Wewe mutu wewe basi tu ila bonge la ushauri.
 
KIUFUPI YULE REFA WA MISRI ALITAKA KOMBE LIENDE JUU SIO CHINI AFRIKA.ANGALIA UONEVU ULIOFANYWA NA NAIJERIA LAKINI KAMA ALIKUWA AJALI NA MPAKA ILE GORI LA KWANZA NI JANJA ZA NAIJERIA NA ILE VAR YA KUPATA GORI SOUTH ISINGESIMAMIWA ALIFUMBA MACHO.
south alikuwa anashinda sio kwa matuta ila ndio hivo ni refa
 
KIUFUPI YULE REFA WA MISRI ALITAKA KOMBE LIENDE JUU SIO CHINI AFRIKA.ANGALIA UONEVU ULIOFANYWA NA NAIJERIA LAKINI KAMA ALIKUWA AJALI NA MPAKA ILE GORI LA KWANZA NI JANJA ZA NAIJERIA NA ILE VAR YA KUPATA GORI SOUTH ISINGESIMAMIWA ALIFUMBA MACHO.
south alikuwa anashinda sio kwa matuta ila ndio hivo ni refa
Kwa nn alikataa goli la mwamba Osmihen , ?? Hii mechi Nigeria walikuwa wanaimaliza mapema Sana kama sio ujinga wa refa...!!
 
KIUFUPI YULE REFA WA MISRI ALITAKA KOMBE LIENDE JUU SIO CHINI AFRIKA.ANGALIA UONEVU ULIOFANYWA NA NAIJERIA LAKINI KAMA ALIKUWA AJALI NA MPAKA ILE GORI LA KWANZA NI JANJA ZA NAIJERIA NA ILE VAR YA KUPATA GORI SOUTH ISINGESIMAMIWA ALIFUMBA MACHO.
south alikuwa anashinda sio kwa matuta ila ndio hivo ni refa

Hujui Rais wa Caf ni motsepe.

South africa inapendelewa vitu vingi sana zama hizi
 
Yule jamaa aliyepaisha ile free kick iliyopigwa then kipa akatema nadhan atajuta sana

Tujifunze kutumia fursa hata kwenye maisha

Unapopata fursa tuliza akili isiwe na papara hata kwenye really life. Vijana wengi wanapewa mitaji na wanaharibu, halafu wanahope the same fursa again , dhambi ya umasikini huenda kwa masikini

SA OUT
Kwel kaka
 
Back
Top Bottom