Kumezuka tetezi kwamba..,msanii wa muziki wa kizazi kipya..,AFANDE SELE a.k.a BABA TUNDA, ana mipango ya kugombea ubunge MOROGORO mjini..! hiyo ni haki yake kimsingi lakini tatizo AFANDE una TAMAA na ROHO MBAYA sana...,kuanzia kwa vitendo ulivyokuwa unawafanyia wasanii wenzako..! hadi kumdis JOSEPH MBILINYI a.k.a SUGU kwenye kampeni dhidi ya wanyonyaji wa muziki TANZANIA ak.a ANTI VIRUS baada ya kuhongwa na clouds fm...,na mwenyewe ukasema tatizo PESA ukaachana na ukombozi wa muziki Tanzania na kuwatumikia wanyonyaji..! sasa kama ukigombea ubunge utakuwa tayari kukataa PESA ili CCM ipite maanak nackia una mpango wa kugombea CUF...! kwasababu mpinzani unatakiwa usiwe na tamaa ya pesa la sivyo leo hii wakina GODBLESS LEMA,DK.SLAA tusingekuwa tunawasikia sasa hivi..!