Babuu Rogger
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 1,530
- 1,121
Acha roho mbaya wewe, na kama ndio fikra zako zipo hivyo hautaendelea ng'o!!!!!!
usirushe mawe wakati unakaa kwenye nyumba ya vioo. bangi kitu gani wewe mbona karibu nusu ya wabunge wa sasa ni wavuta bangi na watumiaji wa madawa ya kulevya?
Ni kweli Afande Sele anafaa kuwa Mbunge.
![]()
Naamini sele anajutia kuliko kitu kingine staili yake hii ya kulipamba jukwaa, Itamgharimu maisha yake yote yaliyosalia. Namshauri aachane kabisaaaaa na siasa, itamuondoa na kwenye fani ya kughani. Kama anaangalia mafanikio ya sugu, akumbuke "si kila king'aacho ni dhahabu"
daah kkazi kweli kweli ,Hapa alisema alifuata nyayo sa mfalme seleman alifanya hvyo coz alikua ameshinda vita ya kifo cha usanii wake!
wanaachaga nini ???BAghe na Mitungi kaacha? agombea kwa tiketi ya Kile chama Cha Dovutwa
kwikwiwkwwi kaiz kweli hapo ndio mzuka umepandaHapa alisema alifuata nyayo sa mfalme seleman alifanya hvyo coz alikua ameshinda vita ya kifo cha usanii wake!
we chademaCdm hatutaki wavuta bangi
Ni kweli Afande Sele anafaa kuwa Mbunge.
![]()
Kwa tiketi ya ADC, CHADEMA hawavuti ndumu
Ni kweli Afande Sele anafaa kuwa Mbunge.
![]()
Hapa alisema alifuata nyayo sa mfalme seleman alifanya hvyo coz alikua ameshinda vita ya kifo cha usanii wake!