Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,196
- 113,481
Whomsoever sees the post as a rant.
Yeah yeah yeah....he dead now...so read and weep
Whomsoever sees the post as a rant.
Katika eulogy ya Malcolm X Osie Davis alisema.
If you don't know the man, do not mudsling the man, especially based on some few google results pointing to half baked, good for nothing, fact starved, first account lacking, worse than toilet paper printouts that cannot even be qualified as yellow journalism, for doing that would be belittling yellow journalism.
Mjini hapa tunasema changa la macho........wewe hujui hao mkuuu? hata wewe NN zikamate $$$ uone utaanzishiwa thread ya kukusifia.....Heheheheee...I love JF! Maana wakati mwingine watu hujifanya kuwajua sana watu....
Mimi huyu Maira simjui na wala sikuwahi kumsikia hata siku moja...
Sasa Bimkubwa anampa pole mke wa pili na WoS anakuja kusema mke wa pili alishaaga dunia siku nyingi.....oooh well
Ndo maana nasemaga hapa JF sio mahali pa kupatia habari za kweli. Ni kijiweni tu hapa
Walivunja maadili yao, yeye na Mkono walipolumbana magazetini kwamba wanazidiana utajiri, na kwamba mwingine ni mpumbavu wa kutupwa, na mwingine alikuwa sio mwanafunzi mzuri mpaka akachukua miaka minne kumaliza kozi ambayo mwenzake "angeilamba" katika mwaka mmoja. Hawakuwa mfano mzuri.
Nikaenda Mlimani..tukafukuzwa...tukarudishwa kuanza mwaka mpya 1967 na akina Maira na Mkono (ambaye nilikuwa naye Middle School akiwa nyuma yangu mwaka mmoja).
Heheheheee...I love JF! Maana wakati mwingine watu hujifanya kuwajua sana watu....
Mimi huyu Maira simjui na wala sikuwahi kumsikia hata siku moja...
Sasa Bimkubwa anampa pole mke wa pili na WoS anakuja kusema mke wa pili alishaaga dunia siku nyingi.....oooh well
Ndo maana nasemaga hapa JF sio mahali pa kupatia habari za kweli. Ni kijiweni tu hapa
Nimependa wigi lako........TUHESHIMIANE TAFADHALI HASA WAKATI KAMA HUU WA MAJONZI!
RIP Maira; he was our very good lawyer when I was DARUSO President in 1998/99. The only lawyer who defended our students' body without a fee. He was a lawyer cum activist; this type of lawyers are not many in our country. We will definitely miss him dearly.
unless i quoted you wrong kuwa you dont care kuhusu huyu advocate maira kwa sababu humfahamu hata kiduchu.
Lakini alitia aibu yeye na Mkono walipokuwa wanapigana madongo hadharani wakibishana nani ana hela zaidi, mara oooh, wewe umechukua miaka minne kumaliza kakozi ka mwaka mmoja, mara mimi ni lawyer mtenda maajabu kuliko wewe. Ilikuwa ni kuvunjiana heshima na proffesion yao mpaka Bar wakawaambia knock it off.
Show me that quote and then I'll answer your question....okay Sasha?
Ok sir!
Okaaay..so where is the quote, Sasha?
Give me a few,Brb ok.
Astaghfirullah, astaghfirullah, astaghfirullah, mswalie mtume.
Namkumbuka wakili Maira alijitolea bila malipo kuichukua kesi ya vijana wa Sekondari ya Tambaza waliokumbwa na tafrani ya fujo za mpirani mwaka 1993.
La ilaha illallah.