Adui Yangu Anaitwa Simu

Adui Yangu Anaitwa Simu

Mkuu kwenye Maswala ya matumizi na kudhibiti background data niko vizuri. Bado pia huwa nawasha data saver mode kwa sababu ya matumizi mabayaa
Ok. Je kazi gani nyingine ya internet huwa unaifanya kwenye mitandao?

Maana gb10 kumaliza kwa siku 1 kwa ajili ya kuperuzi na kuangalia video siyo jambo jepesi mkuu.
 
uzu
Hii sio kawaida!

Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee!

Youtube
Insta
Fb
Site za wakubwa(twice)

Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu)
.. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being layed off my job. Ni hatari saana. Alaf unaambiwa men's mental health is not real.
View attachment 3610153

I feel like I need time off.

Hii sio kawaida!

Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee!

Youtube
Insta
Fb
Site za wakubwa(twice)

Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu)
.. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being layed off my job. Ni hatari saana. Alaf unaambiwa men's mental health is not real.
View attachment 3610153

I feel like I need time off.
uzuri umetambua kwamba hilo na umeamua kuchukua hatua,so you arleady on the path to your freedom
 
10GB zinafika na kuzidi
1. Youtube
2. Insta
3. Facebook (ataangalia pia video)
4. Video za wakubwa

Video za dk 3 kwa quality 720p huwa ni 26-39mb. Jiulize umeangalia video za dk ngapi? Hizo 10Gb ni chache sana
Mimi nashangaa kwa sababu hata nitumie siku nzima mtandaoni (TikTok na insta) sijawahi kuvuka Gb tatu
 
10GB zinafika na kuzidi
1. Youtube
2. Insta
3. Facebook (ataangalia pia video)
4. Video za wakubwa

Video za dk 3 kwa quality 720p huwa ni 26-39mb. Jiulize umeangalia video za dk ngapi? Hizo 10Gb ni chache sana
Kuna watu wa Nahisi ni nyingi, matumizi na quality haviongopei
 
Hakuna mkuu
Kwa website unazotembelea 10GB ni chache sana.
Video ya dk 3 yenye quality ya 720p huwa ni mb26-40mb
Kingine kasi ya utumiaji wa mb ya kutoka edge, 3G (H+), 4G na 5G ni tofauti. 4G na 5G kama una mb za mawazo, tumia 3G tu.
Mwenyewe huwa natumia 3G (H+) siweki 4G maana mb500 kuisha ni chapu tu hata kama una peruzi
 
Ni addiction mkuu, huwa unawezaje?
Just ni kupangilia tu ratiba zako .... nikiwa busy na mambo yangu simu huwa napokea tu zile muhimu... nikiwa free ndo nascroll kidogo mitandaoni !!! Khs mb kwenda nyingi inategemq na setting za simu yako .....
Kudowload vitu kama movies, ku_stream live, kuangalia video ndefu/clips n.k zinakula sana Mb zako .....
Mm hizo GB 10 natumia kama siku 4 ama 5 inategemea....
 
Kwa website unazotembelea 10GB ni chache sana.
Video ya dk 3 yenye quality ya 720p huwa ni mb26-40mb
Kingine kasi ya utumiaji wa mb ya kutoka edge, 3G (H+), 4G na 5G ni tofauti. 4G na 5G kama una mb za mawazo, tumia 3G tu.
Mwenyewe huwa natumia 3G (H+) siweki 4G maana mb500 kuisha ni chapu tu hata kama una peruzi
Mkuu Mm nia yangu ni kuepuka addiction.
 
Mimi nashangaa kwa sababu hata nitumie siku nzima mtandaoni (TikTok na insta) sijawahi kuvuka Gb tatu
Youtube, Facebook na mitandao ya wakubwa settings zao huwa zipo Auto. Kwahiyo inajesti quality kulingana na nguvu ya mtandao na ubora wa simu
Ukiwa sehemu yenye mtandao mzuri inaenda mpaka 1080k, 2k hata 4k.
Video ya dk3 yenye 1080p inaweza kufika hadi 200mb. Jaribu kupakua video yenye 4k youtube
 
Hii sio kawaida!

Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee!

Youtube
Insta
Fb
Site za wakubwa(twice)

Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu)
.. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being layed off my job. Ni hatari saana. Alaf unaambiwa men's mental health is not real.
View attachment 3610153

I feel like I need time off.
Un install hizo app zinazokula bando
 
Mimi nashangaa kwa sababu hata nitumie siku nzima mtandaoni (TikTok na insta) sijawahi kuvuka Gb tatu
Kwa mtoa mada , wachawi wake wakubwa ni Youtube, Insta na hizo video za wakubwa especially kama zote huwa anaangalia kwa high quality.

Gb 10 ni ndogo sana kwa masaa 10.

Maana kwa hesabu, kila saa alikuwa anatumia Gb 1, jambo ambalo ni kawaida kabisa.
 
Back
Top Bottom