Adui Yangu Anaitwa Simu

Adui Yangu Anaitwa Simu

Check settings zako!
Sema watu wengi wana addiction ya simu..nina jamaa angu ye ana utaratibu mzuri wa matumizi ya simu.

Data anawasha asubuh kama masaa mawili,kucheki updates,emails na taarifa mbalimbali..then atazima data mpaka jioni tena atawasha data kwa masaa mawili...then mpaka kesho tena

Unless itokee dharula,
 
Sema watu wengi wana addiction ya simu..nina jamaa angu ye ana utaratibu mzuri wa matumizi ya simu.

Data anawasha asubuh kama masaa mawili,kucheki updates,emails na taarifa mbalimbali..then atazima data mpaka jioni tena atawasha data kwa masaa mawili...then mpaka kesho tena

Unless itokee dharula,
Wengine ukishika simu tu.. Data on
Tena kama Mm data on masaa yote
 
Mkuu matangazo ya boss wako huwa unayapataje? Yale ya jumla
hakuna matangazo ya dharula mkuu.hujiulizi wale wafanyakazi wanao tumia vitochi wanapataje matangazo mkuu,je wale wasio na bando.kumbuka mwajiri hakununulii bando hivyo hawezi nilaumu kwa kutokuwa online. Kama kuna issue ya dharula ntapigiwa
 
Sema watu wengi wana addiction ya simu..nina jamaa angu ye ana utaratibu mzuri wa matumizi ya simu.

Data anawasha asubuh kama masaa mawili,kucheki updates,emails na taarifa mbalimbali..then atazima data mpaka jioni tena atawasha data kwa masaa mawili...then mpaka kesho tena

Unless itokee dharula,
Duhh mimi kwakweli labda nishinde humu & emails tu, hata whatsapp hunikuti! Nachovya kidogo kidogo, siku nijisikie kuingia snap au insta basi kwingine siingii, youtube nimeunga kwa tv, Ukizurura kwenye apps zote kichwa kinauma!
 
Back
Top Bottom