Adui Yangu Anaitwa Simu

Adui Yangu Anaitwa Simu

Kwa mtoa mada , wachawi wake wakubwa ni Youtube, Insta na hizo video za wakubwa especially kama zote huwa anaangalia kwa high quality.

Gb 10 ni ndogo sana kwa masaa 10.

Maana kwa hesabu, kila saa alikuwa anatumia Gb 1, jambo ambalo ni kawaida kabisa.
Kweli mkuu 720p.
 
Kwa website unazotembelea 10GB ni chache sana.
Video ya dk 3 yenye quality ya 720p huwa ni mb26-40mb
Kingine kasi ya utumiaji wa mb ya kutoka edge, 3G (H+), 4G na 5G ni tofauti. 4G na 5G kama una mb za mawazo, tumia 3G tu.
Mwenyewe huwa natumia 3G (H+) siweki 4G maana mb500 kuisha ni chapu tu hata kama una peruzi
Exactly, na akiweka 3G , atembee na lite apps (insta lite, facebook lite, tiktok lite n.k)

Hapo matumizi yatapungua sana.
 
Hii kitu mleta mada hauko peke yako ingawa umenizid kidogo!
Mpaka sasa siona rafiki zaid ya internet ya uhakika.
Sasa lazma uishi dunia ya unlimited bundle ujitengee 50k/month
Duuh si Nita go numb sasa? 😂
 
Hii sio kawaida!

Am cooked, ninetumia GB 10 za intaneti, just in a day(less than 10 hrs) kwa ku scroll pekee!

Youtube
Insta
Fb
Site za wakubwa(twice)

Na hapo bado nimeenda kuchek mechi(means Kuna kama masaa sikushika simu)
.. Kweli nahitaji social media detox, hii imesababishwa na being layed off my job. Ni hatari saana. Alaf unaambiwa men's mental health is not real.
View attachment 3610153

I feel like I need time off.
Mimi simu kwangu ni rafiki yangu wa karibu sana na mkweli.
 
Back
Top Bottom