Adam Malima na 'mipete mikubwa' mikononi

wakuu naombeni kuelewa kitu kimoja,huyu Adam Malima nimemwona bungeni akijibu maswali
lakini alinishtua kwa kitendo chake cha kuvaa mipete mikubwa mikono yote miwili,
wakuu wa saikology mnaonaje hapo,je?mtu kama huyu anaweza kutufikisha tunakokwenda?
au ana maana gani kufanya vile?
Napita,ila baadae nitakuletea jibu.
 
Wacheni chuki binafsi jamani,changieni jambo la mana kwani akivaa pete Malima yeye ndio atakua wa kwanza au wamwisho? au pete na utendaji wake wa kazi unahusiana nanini? wanaume wanaongeaga mambo ya mana sio kujadili mambo binafsi ya watu...
 
naunga mkono hoja ya wana JF lets discuss ideas and not people

Mkuu ktk hili ni hekima, kudumisha zaidi fikra pevu yapo mabo mengi sana na ya msingi ambayo JF imeyafanya, inaendelea kuyafanya na itayafanya !!!!! ndo maana inaitwa JF-fikira pevu siyo potofu!!!!!!!
LAWAMA SI MZIGO, JF SI WA KWANZA KULAUMIWA!!!!!!!!!
 
Mbona Mkapa,Ole Naiko and so many other high-profile people wanavaa macheni,pete,bracelet etc hamsemi wana mapepo!
 
wakuu naombeni kuelewa kitu kimoja,huyu Adam Malima nimemwona bungeni akijibu maswali
lakini alinishtua kwa kitendo chake cha kuvaa mipete mikubwa mikono yote miwili,
wakuu wa saikology mnaonaje hapo,je?mtu kama huyu anaweza kutufikisha tunakokwenda?
au ana maana gani kufanya vile?

Vipi Mkapa na cheni yake.
 
hivi kuna uhusiano gani kuvaa pete na utendaji wa kazi wa mtu?
kenya wana jaji mkuu anavaa hereni,
je inamzuia kufanya kazi zake?
kama haimzuii kufanya kazi zake,hayo ni mambo binafsi sana

Kuvaaa hereni sio ishu, lakini yale mapete ya Malima yanaacha maswali yasiyo na majibu!
 
wewe unataka Adam Malima akufikishe wapi unapokwenda? Hayo ni mapambo tu kama mapambo mengine. Hivi kweli JF imeishiwa mada kiasi hiki? Beats me!

Yaani inashangaza sana jinsi tunavyopoteza muda kuamini upuuzi wa ushirikiana, tunapoteza muda wetu na mapesa yetu mno, na ndio moja ya umaskini wetu!
 
Pasonoishu!!!!!!!!!!!! Sipendi kuona watu wanajadiri mambo binafsi ya watu kwa mfano.
1. Adamu malima kavaa pete
2. Dr slaa na ndoa yake
3. Kikwete anaoa kisiri siri
4. Ezan anatembea na FaizaFox so what?

Jamani vitu kama hivi siyo vya kuvijadiri humu

Except in red: These people are no longer regarded as person alone, they are major part of the different institutions of our country, Tanzania. Thus, their life styles and decisions have substantial influence to cultural, social, economic and political development of our country. They are supposed to know that and no reasons of separating their own life style with their respective institutions of this country.
 
Usishangae sana ndugu yangu. Kama uliwahi kufuatilia vipindi vya shehe Yahya Husein, ungejue kwanini watu huvaa hiyo mipete
 
Mi mwinyewe swali hili lilini-click kichwani kwangu, sijui ni ya nini kwa dunia ya sasa.
 
Mi mwinyewe swali hili lilini-click kichwani kwangu, sijui ni ya nini kwa dunia ya sasa.


wakuu japo comment nyingi zina-criticize topic lakini hali itabaki kama ilivyo,je kiongozi wa uma anatakiwa aweje?
 
hivi kuna uhusiano gani kuvaa pete na utendaji wa kazi wa mtu?&lt;br /&gt;<br />
kenya wana jaji mkuu anavaa hereni,&lt;br /&gt;<br />
je inamzuia kufanya kazi zake?&lt;br /&gt;<br />
kama haimzuii kufanya kazi zake,hayo ni mambo binafsi sana
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
UNAJUA ALIISHIA WAPI YULE? HIYO INJI ITAYORUHUSU MIDUME IINGIE NA VIPINI VYA PUA OFISINI NI YA KUSADIKIKA LOOOL!SASA WATU WATAMSKILIZA AU WATAKUWA WANAKITATHMINI KIPINI CHA PUA?
 
Tunadiscus ideas and peoples kwakuwa ideas zinatoka kwao.hizo pete ni mambo ya kichawi.malima ni waziri kijana na inawezekana ni msomi.sasa msomi na ushirikina wapi na wapi
 
Wadau msidhani kwamba jambo kama hili si la msingi kulijadili, kwa kiongozi kuvaa mipete iliyopitiliza is a questionable issue, mnataka kusema hata akivaa gauni au sketi bungeni itakuwa sawa? au hapo ndo mtasema amekosea? Lazima kiongozi wa umma awe nadhifu, hao viongozi wengine mnao watolea mifano si kwamba nao walikuwa sahihi. Hata kama si ushirikina lakini lazima tuhoji ni kitugani anajaribu kutueleza sisi watanzania. Karibia asilimia 90 ya kila kitu akifanyacho mtu hukifanya kwa ajili ya wengine, hata namna ya uvaaji mbali na kujisitiri huwa ni kwa ajili ya watu wengine kama sivyo tungekuwa tunajivalia tu hivyo hivyo tu maadam tumevaa, lakini utasikia mtu anasema 'watanionaje?' sasa malima kwa kuvaa hiyo mipete anataka tumuoneje au tueleweje? kwamba anahela nyingi? au?
 
Tunadiscus ideas and peoples kwakuwa ideas zinatoka kwao.hizo pete ni mambo ya kichawi.malima ni waziri kijana na inawezekana ni msomi.sasa msomi na ushirikina wapi na wapi
<br />
<br />
wanasiasa wa kibongo wamejaa ushirikina. Huo ni ulinzi wake.
 
wakuu naombeni kuelewa kitu kimoja,huyu Adam Malima nimemwona bungeni akijibu maswali <br />
lakini alinishtua kwa kitendo chake cha kuvaa mipete mikubwa mikono yote miwili,<br />
wakuu wa saikology mnaonaje hapo,je?mtu kama huyu anaweza kutufikisha tunakokwenda?<br />
au ana maana gani kufanya vile?
<br />
<br />
hah! Kwani huyu adam malima anatupeleka wapi
 
huyu malima ni public figure hivyo kudsicus habari zake bado ni moja ya ideas kwani hapa tunahoji mtu kama huyu mwenye wadhifa kama wake anavyostahili kuonekana mbele za watu. kwa hiyo hata akiiniga Bungeni amevaa gauni au sketi au uchi tusijadili kwa sababu ni personal issue?
 
<br />
<br />
wanasiasa wa kibongo wamejaa ushirikina. Huo ni ulinzi wake.

Huyu kijana amerithi mambo ya kishirikina toka kwa baba yake Kighoma Malima aliyekufa huko ughaibuni baada ya kugundua kuwa VIJISENTI alivyotuibia akishirikiana na wahindi wake vilikuwa vimeyeyuka!! Msishangae mnapoona mambo ya umeme hayaendi vizuri kwani kijana amerithi [kila kitu hata chama cha NRA alichokiacha baba yake alikiendesha kwa muda kablla ya kufufukia CCM] pia tabia ya ufisadi toka kwa baba yake.
 
Back
Top Bottom