PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Mohamed Hamis Mohamed, mgombea uwakilishi jimbo la Amani, Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo amelalamikia ukiukwaji wa utaratibu wa kupiga kura ya mapema katika kituo chake ya kupigia kura akidai kuwa kuna watu wameletwa kwa mabasi wamewaingiza ndani na kuanza kupiga kura bila uwepo wa mawakala na wakimaliza hata wino hawawapigi.
Soma: Othman Masoud: ACT-Wazalendo yakubali Kura ya Mapema Zanzibar
Soma: Othman Masoud: ACT-Wazalendo yakubali Kura ya Mapema Zanzibar