Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
ACT ushauri wangu kwenu. Hiki sio kipindi cha kukaa kimya. Chukueni ushahidi tumeni kunakohusika. Mwaka huu hadi uishe lazima tuhakikishe kuwa kuna arrest warrant za ICC zimetoka kwa viongozi wa Tanzania wanaoendesha nchi kwa udhalimu.
Enough is Enough!!
Enough is Enough!!