Sikudhani kwamba huyu waziri mkuu naye ana mambo ya ajabu ajabu namna hii, Hafai!
Embu acha uongo.. watekati wanajulikana, ni ccm tuuHata CCM tunasikitika mgombea wetu wa CCM Arusha ametekwa na kupigwa hatujasikia lema akikemea au kulaani
Kama ndo mtumaji atachukua vipi hatua?Huu ndio muda wa kudhihirisha uadilifu wake kama kongozi mwenye dhamana kubwa nchini. Hatua yoyote atakayochukua ndiyo itakuwa rangi yake halisi.
Punguza vitoko mkuuUsilete ujinga hapa nyie mmetekana wenyewe
Hii itakuwa Chadema tuEmbu acha uongo.. watekati wanajulikana, ni ccm tuu
Unazungumzia huyu aliyeshindwa kulinda na kutetea korosho na shangazi zake kupigwa? Unaambiwa shangazi zako watachakazwa hadharani we unajichekesha? Huo sasa sijui tuiteje!Hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kujenga uwanja wa mpira
Kule wamejaa mafukara haswaAngejenga Airport yangekuwa maneno
Wauluze wanaccm wenzako maana toka alivyotaja mwanaccm mwenzake kutoa rushwa hayo ndipo yakatokeaHata CCM tunasikitika mgombea wetu wa CCM Arusha ametekwa na kupigwa hatujasikia lema akikemea au kulaani
Mkuu, mtu mwenye hekima,busara na werevu kama wa Suleiman, kamwe hawezi kuwa chini ya mwenyekiti huyu. Ni wajasiria tumbo tu na walamba viatu ndio wanaoweza kwenda pamoja naye.Mbona PM ana busara sana + hekima kama za Suleman...kumbe ni mkorofi hivyo!
Bwashe hadi akina Kweka wapo.Huko Ruangwa kuna wakristo?