Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,981
- 103,354
Sikudhani kwamba huyu waziri mkuu naye ana mambo ya ajabu ajabu namna hii, Hafai!
Kwa taarifa yako yeye ndio anayeagiza hayo yafanyike. Iwapo hakutatokea machafuko, tabia hii ya kupiga wapinzani ndio imeshahalalishwa rasmi. Hayo ya kusema kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki ni kuhadaa jumuiya ya kimataifa.
Niliwahi kusema, na narudia tena, iwapo uchaguzi huu wapinzani watasimama imara kudai kura zao ziheshimiwe, kutatokea mauaji ya kutisha. Hii kudhibiti vyombo vya habari vya nje, lengo lake ndio hilo huo uhuni usitoke nje ya nchi.