kitambiheshima
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 452
- 116
Katika ukurasa wake wa facebook Absalom Kibanda ameandika, namnukuu "NAMTAFAKARI ZITTO KABWE: Hivi huyu kijana anastahili matusi, kejeli na dhihaka za namna hii kutoka kwa akina Tundu Lissu na viongozi wengine wa Chadema!!?? Ni stahili yake kuitwa msaliti? Ama kweli siasa ni mchezo mchafu na usio na shukrani"
My take; Kibanda nae anastahili kulaumiwa kwa kuyafumbia macho maovu ya chadema hapo mwanzoni kwakuwa tu alikuwa ananufaika na mfumo wa kifedhuli wa Mbwe......ha na katibu wake mafia wa "Rosse Brigate" Dr sinaraha. Ninaamini Kibanda anajua mengi kuhusu umafia ndani ya cdm na sasa anaishia kusikitika tu. Hayo ndo madhara ya kutojitambua mapema. Lakini afadhali ya Kibanda kwa kuwa yeye ni msuuuk....le uliojitambua!
My take; Kibanda nae anastahili kulaumiwa kwa kuyafumbia macho maovu ya chadema hapo mwanzoni kwakuwa tu alikuwa ananufaika na mfumo wa kifedhuli wa Mbwe......ha na katibu wake mafia wa "Rosse Brigate" Dr sinaraha. Ninaamini Kibanda anajua mengi kuhusu umafia ndani ya cdm na sasa anaishia kusikitika tu. Hayo ndo madhara ya kutojitambua mapema. Lakini afadhali ya Kibanda kwa kuwa yeye ni msuuuk....le uliojitambua!