Peleka upumbavu wako huko, mnamwagiabwatu tindikali, mnalisha watu sumu, mnalipua watu na mabomu halafu mnajifanya watu wa mungu? Labda mungu wa mabox.Utalaaniwa wewe unayetetea wezi,wauza unga,mafisadi,wabakaji na majangili ili uweze kushibisha tumbo tu.unashabikia dhuruma kwa maskini wengi wa taifa hili wanaodhurumiwa haki zao na mafisadi wa ccm,hakika kuna siku utalia kilio cha kusaga meno ASEMA BWANA WA MAJESHI.AMEN
Labda Tundu Lissu yuko right according to the best of his knowledge
now swali hapa ni wat does Tundu knows for sure to be accurate?
Kibanda kwanza alitakiwa aseme ni nini
chanzo cha kuvamiwa na wale sijui
majambazi,hawa watu wenye nafasi ni kero.
ZZK
Alisema atawataja kwa majina watu wenye
pesa Uswis lakini mpaka sasa kimya,mbaya
anasema mpaka kikao cha Bunge
Kusema kama ushahidi upo hakuhitaji Bunge.
KIBANDA
Alituaminisha kuwa mara afya yake itakapo
nawiri baada ya kuzorota kutokana na kipigo
angewasema wote walumtendea ufedhuri ule
Kibaya na cha ajabu mpaka leo kawa kimya
kana kwamba hajawahi kuumizwa sana
kiasi kwamba angeweza kupoteza maisha
ULIMBOKA
Nae ni vile vile tu.
Sasa kuhusu hili la ZZK bora angekaa kimya.
Chadema italaaniwa milele na milele
Utalaaniwa wewe unayetetea wezi,wauza unga,mafisadi,wabakaji na majangili ili uweze kushibisha tumbo tu.unashabikia dhuruma kwa maskini wengi wa taifa hili wanaodhurumiwa haki zao na mafisadi wa ccm,hakika kuna siku utalia kilio cha kusaga meno ASEMA BWANA WA MAJESHI.AMEN
Chadema italaaniwa milele na milele
amesaliti nini mbona sielewi? hebu ongeeni kwa facts acheni porojoKibanda anatapatapa
zzk n msaliti,hata angemsafsha kwa theluji
Kibanda kwanza alitakiwa aseme ni nini
chanzo cha kuvamiwa na wale sijui
majambazi,hawa watu wenye nafasi ni kero.
ZZK
Alisema atawataja kwa majina watu wenye
pesa Uswis lakini mpaka sasa kimya,mbaya
anasema mpaka kikao cha Bunge
Kusema kama ushahidi upo hakuhitaji Bunge.
KIBANDA
Alituaminisha kuwa mara afya yake itakapo
nawiri baada ya kuzorota kutokana na kipigo
angewasema wote walumtendea ufedhuri ule
Kibaya na cha ajabu mpaka leo kawa kimya
kana kwamba hajawahi kuumizwa sana
kiasi kwamba angeweza kupoteza maisha
ULIMBOKA
Nae ni vile vile tu.
Sasa kuhusu hili la ZZK bora angekaa kimya.
Wabaya wake ni chadema
Machadema ni wala nyama za watu, wauwaji na watoa roho
Amemshitakia mungu na kukilaaniKama Chadema ndo wabaya wake kimemshinda nini kuwapeleka mahakamani?!