Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
No wonder huyu jamaa aling'olewa kucha bila ganzi na kuharibiwa jicho lake moja. Anaona mbali huyu jamaa. Haya aliyaandika mwaka 2009, leo yanajitokeza kwa uwazi kabisa. Endapo mpango wa Zitto wa kuisambaratisha CDM utafanikiwa, basi historia itamhukumu huko mbeleni.
Tiba
Tiba