Who are they: Mbowe, Sitta, Slaa, Zitto, Mwakyembe, Kubenea, Lissu, Rostam...

Samvulachole

JF-Expert Member
Oct 22, 2006
413
117
Freeman Mbowe:

Kuna nyeti kuwa madeni yamezidi na sasa hivi yuko bize kuyahamisha na kubadilisha ownership toka binafsi kuwa ya kampuni and so on.

Lakini waliomdhamiria nao washachoka, kwani kuna institute moja inamdai zaidi ya bilioni 3. Hili linanitia hofu kwani kwa Upinzani ambao ni credible kama wa CHADEMA kiongozi akishaanza kuwa na matatizo ya kifedha unajua inakuwa ngumu hata ku FOCUS.sasa jamani akina ZITTO na JJ NAOMBA mnitulize roho kwani hiii inanitisha, na hivi wakimngangania itabidi auze assets za Chama au itakuwaje?
Katika pita pita, hii iliandikwa 2008...something to past time, I guess there are some truth in this Eid Mubarak!!

May 8, 2008
Political crisis in Tanzania??

Something like a political crisis is taking place in Tanzania. But don't hold your breath: it is simply a big circus played by demagogic politicians, gluttonous businessmen and knuckle-headed journalists who are interested in nothing else but more money, more power, more attention and, do not discount it, more mistresses for themselves.

So, a better way to scan the current political landscape and its undercurrents is to get a grip of who these players are, what their motives could be, and the hypocrisy of the whole ongoing theater.

Members of Parliament: (This is an unprincipled mob. Less than a year ago, they booed Zitto for standing up firmly against alleged government mischief; today they pretend to be champions of the common man. Let us go through key players

1. Samuel Sitta Now, this is the epitome of hypocrisy. How can a man, with straight face, pose as a champion of virtues and ethics while his entire life is defined by unremarkable political achievements and countless allegations of abuse of office at TIC, in Bunge office and everywhere? He has screwed up, and inserted himself as the main news item, in every major issue that has come before the Parliament. However, in this ongoing theatre, you have to give him credit for wrestling the Parliament from CCM's control and for using the Speakership to build his own little empire of patronage and clientelism. At the moment, he is one of, if not THE, most powerful men in Tanzania. He coordinates his political mischief with Mr. Reginald Mengi, a tax-evading divorced showman with taste for younger women, to ensure that those scandalized in the Parliament get similar treatment in the media.

2. Harrison Mwakyembe
: A frustrated intellectual turned political mercenary. Among the three 'Mwas' giants from Mbeya (Mwakyembe, Mwandosya, and Mwakyusa), he is the least accomplished despite his somewhat decent schooling. Eager to play in Serie A like the other Mwas, he is up for sale, and price could be as low as the Deputy Ministerial portfolio. He surprised many who thought highly of him by presenting his Richmond report to the House without the decorum befitting his personage and reputation and by including references to Kubenea incident that did not have anything to do with a power deal he was asked to investigate. However, he is clever enough to know that Tanzanians have such a short attention span and his 15 minutes will be over soon. One thing is clear: he will go down the way of another sensational Mbeya politician, Njelu Kasaka, who shook the nation in the 1990s and got the audacity to run for President in 1995 while his 15 minutes were up.

3. Aloyce Kimaro: It baffles many that this semi-illiterate thug can even be a Member of Parliament. It speaks volume to the desperation of CCM to do anything, including recruiting thugs and former thieves, to win back opposition seats. The biggest comedy in the country at the moment is that this man is mentioned among principled Members of Parliament who can stand up and speak truth to power, including pointing a finger at Mkapa. Well, just few weeks ago he extorted a tender to guide VIPs to climb Mt. Kilimanjaro during the Sullivan Summit by threatening officials at the Ministry of Foreign Affairs that he will blast them in the Parliament. Pure blackmail.

4. John Malecela: A moral guide to what is going on in the Parliament at the moment. The beauty of watching politicians is when the lie to each other. Malecela hates JK to the bone but you wouldn't know seeing the two of them in public. He still believes that Emmanuel Nchimbi killed his son (through voodoo), and, somehow, that facilitated JK's ascendancy to the Presidency. He is a reasonable man and good father but his vengeful and opportunistic wife is steering him out of reason and hastening his path to senility.

5. Wilbrod Slaa: A former man of God who could not keep his celibacy vow, but thinks we are foolish enough to expect him to keep his word as a politician. This is an overeager and noisy politician who is constantly betrayed by his unchecked libido. His life at the moment is consumed by the struggle to take credit for anything and everything about grand corruption, because at some point in his political life he mentioned the phrase 'grand corruption'?. With all that is going on at the moment, his noise has become background noise.

6. Zitto Kabwe: Has matured over the past year, perhaps because he is being reasonable enough to hang around with as many people as possible or because he is being open-minded enough to accept token bribes from the CCM establishment. Certainly has a great future in politics.

7. Rostam Aziz: The prince of high finance is fighting for his political life and credibility as an honest businessman. Knives are thrown from every side and some are drawing blood. Although even his opponents would acknowledge his sharp mind and deep pockets, this time the lions are hungry and the den is shrinking. Mr.. Aziz has dealt with and has compromised almost every conceivable creature who matters in the political scene in the land, including his current nemeses. And that is his edge. He bankrolled Sitta's election to the Assembly and oversaw his triumph as Speaker against the genial old Pius Msekwa but now Sitta has made him enemy number one and he has made Sitta enemy number one. Politics!

8. Anne Kilango Malecela: A noisy heckler who cannot get over the fact she is not the First Lady. A tough and fearless woman whose vengeful inclination is either very suited or totally not suited for her new role as top disciplinarian in the parliament. But we like her.

9. Mizengo Pinda: A gentleman par excellence. It remains to be seen whether one can still be successful as a PM without behaving like Nikita Khrushchev.

10.Stanley Kevela Yono: A small time crook who, despite his years of thievery and wrecking our perfectly-parked cars in Dar city centre, has the audacity to stand up and profess anger against fellow thieves.

11. Raphael Chegeni: "Please JK, I don't want much, I just want to be Deputy Minister. You see, I withdrew my private motion on Twin Towers after Chenge had resigned because I saw an opportunity there. I am better than Ngeleja and Masha is overrated"

12.Mark Mwandosya:
"I told you, I could have done a better job"

13.Benard Membe:
"I am telling you, I will do a better job. Condi Rice is my friend"

14.Edward Lowassa:
"Damn, I was doing a better job 'when the man was traveling'"?

15.Jackson Makwetta: "What year is this? Can I still be the PM?"

16.Abdallah Kigoda: "Do you have a lighter?"

OTHER PLAYERS IN POLITICS, BUSINESS AND MEDIA

1. Reginald Mengi: Feted by Mwinyi, snubbed by Mkapa, he is now preoccupied with blackmailing JK for a chair in his kitchen cabinet. Narcissistic to the core, he plays Kingmaker, taking the responsibility for the misfortunes of the recently fallen politicians and basking in the public undressing of Mkapa, which he is engineering using his media. Mr. Mengi holds court at his house to plot the unfolding of political events like an old Spartan general. Why? To prove masculinity and enhance an appearance that he is bigger, more important and richer than he actually is.

2. Freeman Mbowe: Failed in school, failed in business, failed in politics, and all this after being born in the royal family, the House of Mbowe. And he still has the audacity to vie for Presidency. In the current political state of play, he is irrelevant, and, as a HIPC (Heavily Indebted Party Chairman), he is finished as a politician.

3. Saed Kubenea: Stan Katabalo imposter, only without the education, the sophistication, the principles and steely determination for which Katabalo is remembered for. A little Kingmaker in the making, if only he would be aware that he needs to stop being a pawn in the great political game. He gets direct congratulatory calls from Sumaye, Magufuli, Butiku, Warioba and others whenever his paper comes out. He is welcome at Salim A. Salim house. This is such an awesome achievement for a person who is half-schooled and who has never read any major literary work of non-fiction (and who might not get this joke). That our politicians would embrace Kubenea, who still milks the 'acid incident', speaks of the level of their desperation to smear each other (in the name of 'saving the country'?).

4. Issa Shivji: He gets a mention for nostalgic and sentimental reasons. In this post-ideology messy situation, the aging ideologue has become irrelevant as an intellectual and pundit except when Absalom Kibanda and Sakina Dattoo want to fill up columns. Prof., the workers of the world have figured out that the Juche Idea is a sham, and they have now resorted to radical evangelicism and Rwakatare's 'prosperity gospel'? to see the end of the tunnel.

5. Augustine Mrema: The man needs help.

6. Yussuph Makamba: Clueless old man who is warming the SG seat for somebody else.

7. Absalom Kibanda: The editor of Tanzania Daima is really an attack pitbull that Freeman Mbowe unleashes once in a while. (Deodatus Balile is a pitbull for Rostam Aziz). The problem with Kibanda is the 'Mbeya problem'. He hasn't gotten over the fact that Mwandosya lost to JK fairly and squarely in 2005.

8. Tundu Lissu: A thuggish lawyer who is making a lot of noise against multinationals but is currently awash with [consulting] cash from multinationals.
 
Ni kweli, katika hali kama hiyo ni vigumu kuongoza na anaweza kutumia nafasi yake ya uongozi kutatua matatizo yake binafsi.

Hata hivyo fafanua zaidi kuhusu jambo hili - lete ushahidi thabiti au data za uhakika.
 
Unauhakika na unachokisema ndg chamvulachole...... tuwekee visibitisho ili tuwe na uhakika na tujue jinsi ya kuchangia mada.
 
Of course hili la madeni makubwa na ya kutisha linaeleweka muda mrefu sana. Moja ya Taasisi zinazomdai pesa huyu bwana ni NSSF ("pesa za walalahoi" sound familiar?). In fact kesi iko mahakamani na vielelezo vya kutosha vipo kwamba huyu bwana amekuwa anarusha kesi kwa legal technicalities to avoid paying the full debt.

Lakini, as Mwanakijiji would say, "haya ni mambo binafsi"!
 
Samvu,
Sijakuelewa kabisa unaposema Freeman yupo ktk hali mbaya kiuchumi.
1. Hayo madeni yametokana na investment zipi?
2. kisha Institution gani inayomdai hizo billioni 3!..
3. Hizi billioni 3 ni dollar ama shilingi?..
4. Anataka kubadilisha Ownership toka binafsi kuwa ya kampuni? una maana gani hapa kwani binafsi sio kampuni? au una maana kwenda Public. Ni kampuni gani hiyo binafsi?

Tupe habari zinazoweza kumezeka....naona kichefuchefu tu, samahani lakini!
 
mugongo, sasa unaanza kufanya vile watu makini kama wewe hawapaswi kufanya. Na inaonesha ni jinsi gani nimeshindwa kabisa kukufundisha ni kwa misingi gani jambo ni "binafsi" na wakati gani siyo hivyo. Kwa mtu ambaye ni makini kama wewe nina uhakika unaelewa kuwa kuna mambo binafsi na mambo siyo binafsi lakini ya mtu mwenyewe. Everything that is personal, is not necessarily private! This issue if it were true, is personal but not private and hence interested parties wanaweza kabisa kutaka kujua nini kinaendelea na hao nitaunga mkono kwani implication yake ni nzito mno.

Vinginevyo utanilazimisha nianze kutoa somo la Personal vs private...
 
Of course hili la madeni makubwa na ya kutisha linaeleweka muda mrefu sana. Moja ya Taasisi zinazomdai pesa huyu bwana ni NSSF ("pesa za walalahoi" sound familiar?). In fact kesi iko mahakamani na vielelezo vya kutosha vipo kwamba huyu bwana amekuwa anarusha kesi kwa legal technicalities to avoid paying the full debt.

Lakini, as Mwanakijiji would say, "haya ni mambo binafsi"!

Kama ni kweli tumekwisha! NA serikali itamkalia koonio.

Au ndo ule msemo wa Sumyae.. Wafanya biashara mkitaka mambo yenu yawanyookee njooni CCM!

Upinzani utakufa!
 
Of course hili la madeni makubwa na ya kutisha linaeleweka muda mrefu sana. Moja ya Taasisi zinazomdai pesa huyu bwana ni NSSF ("pesa za walalahoi" sound familiar?). In fact kesi iko mahakamani na vielelezo vya kutosha vipo kwamba huyu bwana amekuwa anarusha kesi kwa legal technicalities to avoid paying the full debt.

Lakini, as Mwanakijiji would say, "haya ni mambo binafsi"!

unajua unachokifunua eeeh????

ist2_298677_can_o_worms-1.jpg
 
Samvula umeingia na gear mpya.....Duh?

Hata kama ni madafu ni kiasi cha £1.2million sasa kama anadaiwa yeye binafsi alikopa kwa biashara gani? Je ame-compromise uongozi wake kutokana na deni hili?
 
Kwenye biashara madeni ni jambo la kawaida. Kwenye biashara ya familia (kama sio PLC) kufilisika is your own responsibility na hakuna anayepaswa ku-bother. So, let the man alone on this.

Now, kama the way madeni yalivyokuwa accrued ni kwa njia ya ujanja ujanja, na kama company ime-fail kwasababu ya uzembe na misguided priorities (shule, siasa, and biashara at once!), then we have to question this man's capacity to lead the nation, something he craves.

Kuna mtu mmoja aliniambia kwamba, in Bongo, business is synonimous with scandal. If that is correct, then there is a lot we have yet to see from Chairman Mbowe.
 
Mkandara,

Vipi unataka kusaidia kulipa kama ni dola?

Asubiri kuwa RAHISI wa WADANGANYIKA na atazilipa kwa muda mfupi kama MKAPA
 
Kitila,

Kwanini unaona huu ni utupu? scandals zote zinaanza na rumours.

Yote yote yanawezekana, inaweza kuwa ni uongo tu lakini pia kunaweza kuwa na ukweli.
 
Kwa trend tulizoona ambapo viongozi wametumia nafasi zao kujitajirisha, watanzania tuna haki ya kuhoji kama kiongozi anaonekana kuwa na welekeo wa kutumia nafasi yake vibaya. Kwa mfano katika hali ya kudaiwa, ni dhahiri kuwa anaweza kutumia nafasi yake kumaliza madeni hayo. Hata hivyo ndiyo maana nikasema inategemea na data zilizopo. Kuna madeni ya kawaida ambayo ni swala la muda tu yatalipwa, na madeni sugu ambayo yanahitaji njia mbadala ili kulipwa; haya ya pili ndiyo ya kuogopwa.
 
Hizi sio rumours. It is public knowledge kwamba Mbowe anaidaiwa sana na kwamba ana kesi mahakamani na NSSF juu ya kushindwa kulipa deni na NSSF wana judgement tayari. Sasa Bwana Kitila kama una kengeza inapokuja habari ya CHADEMA that is one thing, lakini sio busara wala heshima watu wakileta habari hapa kuziita "utupu".
 
Viongozi wote wameiba wakiwa na nafasi zao tena matajiri. Mkapa hakuwa na madeni, Mwinyi, Sumaye, Yona, EL, Chande na Bilal wote hawa ni matajiri tosha kabisa kbla ya Uhjumu wao. Hakuna mtu mbaya duniani kama tajiri asoridhika. Maskini mie nikiiba dola elfu ishirini tu nitakimbia na kuhamia Dubai! wizi wa mwanzo na mwisho!...

Freeman anafanya biashara ndogo sana yenye return kubwa vibaya sana. I have been in that business na nakuambieni Freeman katengeneza fedha vibaya sana kwa mtaji mdogo!..Sidhani kama investment zake zimefika Billioni 3 in total cost! ila nina hakina anaweza tengeneza billioni 3 chini ya miaka mitano.
Hata hivyo, kama alivyosema Mwanakijiji hapa sio mahala pake unless tupeni habari kamili za deni la NSSF!
 
Na hiyo mipesa anayodaiwa na NSSF inatish, sasa najiuliza hivi ma accountants wake wanafanya kazi gani? na kule Mahakamani naona hana hoja tena kwani imebaki order tuu ya kuchukua assets zake
Patamu hapo!
 
Lakini kama nilivyosema awali, inawezekana kabisa hili deni na namna lilivyopatikana na uwezekano na kwa namna litakavyolipwa visiwe na impact on Chairman Mbowe's ability as a leader. Vilevile inawezekana yote haya yasiwe yana reflect umakini wa Mbowe kama mfanyabiashara na kama mwanasiasa. The jury is still out.
 
Ohh nimesahau kumention kuwa na hao Scotland Yard nao bado wanaye kwani jina lake limeibuka kwenye kesi ya criminal hapa London.Na hao jamaa wa Trident sidhani kama watampa nafasi ya kupumua
 
Ohh nimesahau kumention kuwa na hao Scotland Yard nao bado wanaye kwani jina lake limeibuka kwenye kesi ya criminal hapa London.Na hao jamaa wa Trident sidhani kama watampa nafasi ya kupumua

Duh, hii mkubwa sasa kali na itabidi niitafune na liupawa kubwa la chumvi!
 
Back
Top Bottom