Abood bado hawajabadilika hadi sasa

Abood bado hawajabadilika hadi sasa

Kuna basi linaitwa Tembo safari, linatokea Dar, walinitapeli kwa kuniambia linafika Kigoma kumbe linaishia Kahama. Wakaniandikia ticket ya Kigoma , tulipofika Kahama konda akanikimbia.

Mbaya zaidi nilikuwa na mizigo na wamenitoza nauli yake Hadi Kigoma. Polisi wa pale stendi ya kahama nao hawana maana. Badala ya kunisaidia wananiomba rushwa
, Aisee pole sana. Nacheka utadhani mazuri.
 
Kuna basi linaitwa Tembo safari, linatokea Dar, walinitapeli kwa kuniambia linafika Kigoma kumbe linaishia Kahama. Wakaniandikia ticket ya Kigoma , tulipofika Kahama konda akanikimbia.

Mbaya zaidi nilikuwa na mizigo na wamenitoza nauli yake Hadi Kigoma. Polisi wa pale stendi ya kahama nao hawana maana. Badala ya kunisaidia wananiomba rushwa
😀 😀 😀 😀Yani unaombwa rushwaa tena
 
Kuna basi linaitwa Tembo safari, linatokea Dar, walinitapeli kwa kuniambia linafika Kigoma kumbe linaishia Kahama. Wakaniandikia ticket ya Kigoma , tulipofika Kahama konda akanikimbia.

Mbaya zaidi nilikuwa na mizigo na wamenitoza nauli yake Hadi Kigoma. Polisi wa pale stendi ya kahama nao hawana maana. Badala ya kunisaidia wananiomba rushwa
Wasukuma/waha bwana🤔(kidding)
 
Hao jamaa wana wahudumu walafi ssssanaaa,madereva wao itakuwa HAWALIPWI,huenda abiria wasiokuwa na siti ndiyo malipo yao,maana hata mimi sasa sitaki kupanda kwa hiyo tabia.
Kuna baa ambazo wahudumu hawana mshahara,ukija wanakupandishia bei ndiyo wanaishi,kula muhudumu utakemkuta siku nyingine nae Ana bei zake,ndo kama hao jamaa
 
Huwezi amini limebuma hapa baada ya kupita Doma wanajaribu kuwasha lakini wapi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Gari imeisha mafuta
IMG_20230218_172111_996.jpg
IMG_20230218_172135_921.jpg
IMG_20230218_172118_462.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
King of the Road.

Naona saizi Abood kapunguza kuzikagua na kuwatembelea wafanyakazi wake. Alikuwa anaingia stand Msamvu, Yard kukagua dereva akiwa mzembe anawajibishwa mpaka wakawa wakiona gari yake wanahaha. Saizi jua limezama atafute management nzuri kusimamia magari, hata trucks zake saizi madereva wamekuwa kama kambale.
 
Mu nipo Moshi ukiona napanda Abood kuja huku ujue BM nimekosa nafasi,hakuna kampuni hapo, ni uswahiliswahili tu,hawajali kabisa muda wa client wao
 
Mu nipo Moshi ukiona napanda Abood kuja huku ujue BM nimekosa nafasi,hakuna kampuni hapo, ni uswahiliswahili tu,hawajali kabisa muda wa client wao
Wewe Siyo Mnafki Abood Bure Kabisa Ni Rangi Tu
BM Ndiyo Luxury Wanajari Muda Hakuna Kupakia Watu Wasio Na Seat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom