Abood bado hawajabadilika hadi sasa

Abood bado hawajabadilika hadi sasa

Niko ndani ya abood bus. Terminal za usb mbovu. Naenda musoma
 
Begi la kawaida kabisa halikai kwenue kubebeo chao cha ndani. Nimeweka kama mzigo kwenye buti. Hawajaomba hela ya ziada lakini pia hawajanipa hata namba ya begi langu. Uaminifu tu.
Hazifanyi kqzi
View attachment 2522422View attachment 2522423
Ukifika Gairo watakuzukia na tiketi ya mzigo, vinginevyo kwy mzani watakwambia shuka kodi boda liwaishe mzigo mbele ya mzani kule ndiyo upandishwe tena. Dar hadi Musoma kuna mizani kama 4 hivi usipopita Usagara. Bei ya boda mara 4 ni shg ngapi?

Huwa wakifika kwenye mizani wanapanga upya abiria kama anayepanga nyanya kwenye mafungu kubwa na ndogo eti ili wabalance uzito wa basi wasijetozwa faini. Kuna hujuma nyingi kwy usafiri wa mabasi!!! Bora usafiri na IT au magari ya magazeti.

Magufuli ongeza maombi huko uliko mama kafikisha SGR 75% toka 30% uliyoacha ili mwakani tupone madhila ya mabasi haya ya wanasiasa-wafanyabiashara.
 
Taarifa muko kundi mnaotumika kibiashara kuandika taarifa za kuchafua.mimi nilifwatwa niandike nilikataa ndio maana mnaandika mnalipwa niliahidiwa laki 5 kama ntakuwa naandika kuchafua nikamwogopa mungu.
Nipe mimi iyo laki5 niwachafue
 
Abood ni basi la kiswahili sana Tena sana,inabidi ulizoee tu. Pia wafanyakazi wake kila mmoja ana nguvu kama vile hakuna management. Yeye analeta mabus tu lakini wafanyakazi ndio wanayoendesha.

Abood zote lazima mjazane ndani ya gari ndio wanaondoka.
Mwaka jana nilikuwa naenda Mbeya , nilipanda Abood la Kwenda Tunduma, hadi tunafika Iringa baadhi ya seat zilikuwa hazina abiria tangu tumetoka Dsm, hilo unalosema linasubiri kujaza ni Abood ya wapi ?
 
Taarifa muko kundi mnaotumika kibiashara kuandika taarifa za kuchafua.mimi nilifwatwa niandike nilikataa ndio maana mnaandika mnalipwa niliahidiwa laki 5 kama ntakuwa naandika kuchafua nikamwogopa mungu.

Mmmh niunganishe nae huyo anaelipa watu laki 5 wachafue abood
 
Nunua usafiri wako mkuu, mimi niliamua kununua gari ya mil 98 kutokana na upuuzi kama. Kujambianajambiana kwenye haya mabasi mimi nooo
 
Tuko hapa shinyanga. Gari ni Dar Musoma. Imeingia stend na kutoka. Sasa tangazo limetoka kuwa gari haipiti Mwanza bali inapita Bariadi. Hivyo abiria anayeenda Mwanza ateremke atatafutiwa usafiri mwingine kwenda Mwanza.
Abiria wameteremshwabali kidogo na stend. Hakuna choo wala nini. Sasa basi la Musoma limesimama mpaka basi la Mwanza lifike. Shida kabisa.
Ni saa 6 kamili usiku sasa.
Basi lina mende kibao.
 
Taarifa muko kundi mnaotumika kibiashara kuandika taarifa za kuchafua.mimi nilifwatwa niandike nilikataa ndio maana mnaandika mnalipwa niliahidiwa laki 5 kama ntakuwa naandika kuchafua nikamwogopa mungu.
Sidhani km ni kweli
 
Tuko hapa shinyanga. Gari ni Dar Musoma. Imeingia stend na kutoka. Sasa tangazo limetoka kuwa gari haipiti Mwanza bali inapita Bariadi. Hivyo abiria anayeenda Mwanza ateremke atatafutiwa usafiri mwingine kwenda Mwanza.
Abiria wameteremshwabali kidogo na stend. Hakuna choo wala nini. Sasa basi la Musoma limesimama mpaka basi la Mwanza lifike. Shida kabisa.
Ni saa 6 kamili usiku sasa.
Basi lina mende kibao.
Daahhhh hawa jamaaa basi sio
 
Mwaka jana nilikuwa naenda Mbeya , nilipanda Abood la Kwenda Tunduma, hadi tunafika Iringa baadhi ya seat zilikuwa hazina abiria tangu tumetoka Dsm, hilo unalosema linasubiri kujaza ni Abood ya wapi ?
Acha kutetea ujinga, abood huduma zao ni ovyo.. yawezekana ulipanda, kipindi hkna abiria... Hta abood za moro to Dar full kusimamisha abiria.. Mara kibao zinaishiwa mafuta njian...
 
Uliyeanzisha huu uzi, umefanya vyema.. hta Mimi ni mhanga.m siku natoka iringa kufika mikumi, Niko kwenye siti backvencher wananiomba nishuke nipande Bajaj wanichukulie mbele, siku nyingine nimetoka moshi kufika mikese likaisha mafuta... Sahiti nitakuwa napiga picha kabsa huu uziii upate reference nzuri.. na watu wajue ikiwezkna wabadilike..abood ni daladala plus. Moro Dar panden Bm wanajitahidi sana kihuduma.. abood wamebakia na jina tu.
 
Wanafika bukoba. Karagwe yako mengine unamlazimisha wakati mali yake. Kweli mbumbu wako wengi.
Nakushukuru.
Hongera kuwa mwerevu.
Wakati anajitangaza kuwa.atapeleka basi huko.Karagwe hakujua kuwa kuna.wengine?
Ahafi ni deni.
 
Acha kutetea ujinga, abood huduma zao ni ovyo.. yawezekana ulipanda, kipindi hkna abiria... Hta abood za moro to Dar full kusimamisha abiria.. Mara kibao zinaishiwa mafuta njian...
Wewe fala nini, sasa unataka niandike kitu ambacho sikuki experience ?

Mimi nilipanda basi ambalo halikujaza abiria, unataka niandike basi limejaza abiria?

Na kwa taarifa yako nilisafiri tarehe 28 mwezi wa 12, sasa utaamua mwenyewe kama ni kipindi chenye abiria au kisicho na abiria.
 
Wewe fala nini, sasa unataka niandike kitu ambacho sikuki experience ?

Mimi nilipanda basi ambalo halikujaza abiria, unataka niandike basi limejaza abiria?

Na kwa taarifa yako nilisafiri tarehe 28 mwezi wa 12, sasa utaamua mwenyewe kama ni kipindi chenye abiria au kisicho na abiria.
Sasa Kama huko experience acha wenzio wakupe experience siku ukikutana nazo unakuwa unazielewa we binti sawa.
 
Abood ana tabia za Kilugulu. Anaboa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom