Abdulrahman Kinana: Who is he?

Abdulrahman Kinana: Who is he?

Kinana Baba yake ni Msomali na Mama yake ni Mtanzania nadhani alizaliwa Nduruma Arusha na alikuwa Monduli wakati huo Chuo cha Taifa cha Uongozi (CTU) akiwa akiwa Kamisaa wa Siasa (Political Education Officer).


Hakuna kitu kama hicho Kinana baba na mama wote ni wasomali 100 %.Mwaka 1995 aliukibia ubunge wa Arusha baada ya watu kukwapua faili lake uhamiaji.
 
duh, JF ina data si mchezo, nimeperuzi na kujifunza mambo kibao kwenye hii topic, watu wanatembea na mafaili ya data. thanks
 
Duuu, hawa jamaa ni hatari.

Namuona Game Theory ndani ya Mtandao.

Habari za kupotea Mkuu? Karibu sana sana na tunasubiri habari motomoto.
 
Warya Kinana amechelewa kujitetea....Kila kitu kipo wazi,atajificha wapi wakimueleza kuwa wanawafahamu hata wale vijana wa Ngaramtoni wanaowatuma kuwinda hao Wanyama?Ugomvi hapa sio nani mmiliki wa SSA bali mzigo unaosafirishwa na SSA ni wa nani?......Bado Tanzania tuna safari ndefu hawa viongozi wetu ndio wanaofanya kila uovu.Kinana si Mmiliki tu wa Sharaf pia ndiye mtu ambaye anahusika na hizo Nyara zilizokatwa Singapore!

C. C. M.= Chama Cha Majambazi
Angalia list yenyewe, Chenge (Radar), Mramba (PrecisionAir), Yona (EPA), Rostam (EPA), Zakia Meghji (EPA), Kigoda (IPTL)...and the list goes on and on!
 
Yaani huyu ndio mpiga debe wa Mkwere duh kweliakipita watazania itabidi tupimwe akili,sio siri
 
Ukishangaa ya musa uatayaona ya firauni. Unashangaa kinana kuwa na meli?


Hivi hili jamaa mpaka yaandikwe magazetini ndio lianze kujiosha lilikuwa wapi mda wote?. Na hata hizo pesa za kununulia meli lilitoa wapi litueleze sasa!!. Hivi litaweza kweli kuwa meneja wa JK wakati tayari linakibarua kingine cha kujiosha mweee??????
 
Mod, tafadhali itendee haki hii thread, the guy (Kinana) is a politician, so ipeleke JUKWAA LA SIASA!!!
 
duh, JF ina data si mchezo, nimeperuzi na kujifunza mambo kibao kwenye hii topic, watu wanatembea na mafaili ya data. thanks

Mwaka huu CCM watatokea uvunguni maana watanzania wamechoka sio siri.
 
Ni swali tu.
Hivi kila mwenye fedha ni fisadi? Vipi wale walioanzia chini kabisa kwa kudunduliza kwenye dumbukiza? Siku tukasikia wana ndege wanakuwa mafisadi kweli?

Utafiti ni muhimu kuliko kupayuka.
 
hiii habari haileweki kabisa....
kinana anamiliki meli au anamiliki kampuni ya uwakala wa meli????????

hivyo ni vitu viwili tofauti sana..........
 
mnaandika anamiliki meli
halafu hisa za kampuni ni milioni 100 tu jumla....
hiyo meli ya wapi?

hii story haipo correct
 
Mhhh nchi za wenzetu mtu anajiuzuru kwa kashfa ya namna hii, ila kwetu mhhh si unaona mzee vijisenti wamemlinda weee mpaka Mungu kamuumbua na kesi ya kugonga bajaj, sasa wamtetee na hapo


Ndio CCM hiyo! Nguvu mpya, kasi mpya, ari mpya, wizi mpya, ufisadi mpya:lol:
 
Hivi kisheria meli inayokamatwa na nyara za serikali sio kuwa inataifishwa kama ilivyo kwa magari? Sasa serikali ya CCM hiko wapi kutekeleza hii sheria kama kweli inasimamia utawala wa sheria?
 
Hesabu za haraka haraka hapa, ukirefusha huo msatari kwa kutumia vidoti doti utaona kuna link kati ya Kinana na mgombea wake anayemsimamia kwenye kampeni. Kwa hiyo basi Makontena yana uhusiano na mgombea? hahahaha, wala haihitaji kutumia sana akili kuweza kuchanganua hili equation. :confused2:
 
Hivi wadau, meli hizi sio zile zinatumika kubebea zile boti ziendazo kwa kasi kule ghuba ya Aden???
 
Nakumbuka Kinana aliwahi kusemekana kuwa sio raia wa Tanzania wakati fulani. Ikabidi aachane na siasa na kwenda kusoma Marekani. Sijui kama ameshaupata uraia. Lakini hata kama hajaupata, kuhakikisha tu kuwa anashiriki kwenye kampeni za Rais kama mwenyekiti wa Kampeni kunampa madaraka ndani ya chama chake na kumfanya mtu muhimu kwa Taifa. Kaaaazi kweli kweli.
 
Inasemekana pia kwamba anasafirisha twiga hai kuwapeleka uarabuni na mama siti na wale waarabu wa loliondo
 
Nakumbuka Kinana aliwahi kusemekana kuwa sio raia wa Tanzania wakati fulani. Ikabidi aachane na siasa na kwenda kusoma Marekani. Sijui kama ameshaupata uraia. Lakini hata kama hajaupata, kuhakikisha tu kuwa anashiriki kwenye kampeni za Rais kama mwenyekiti wa Kampeni kunampa madaraka ndani ya chama chake na kumfanya mtu muhimu kwa Taifa. Kaaaazi kweli kweli.

Kosa wanalofanya CCM ni kuzungukwa na hawa watu wasio safi kwenye Jamii! Wanana CCM wote why Kinana?
 
Back
Top Bottom