Abdulrahman Kinana: Who is he?

Vyama vya upinzani CUF, CHADEMA, NCCR n.k. fanyie kazi hii issuen ili iwe hoja ya kubomoa hawa CCM na akina Kinana ambao ndio chanzo cha umaskini wa nchi hii
 
Sifahamu sana hizi habari ila tayari Mkuu naona maneno yako yanapishana na ukweli.

Said Barre alikuwa Rais wa Somalia na si Waziri wa fedha. Sasa nashindwa kuendelea kuamini maneno yako zaidi. Huyu jamaa alipinduliwa na General Aidid May 1991 na January 1995 alifia Lagos Nigeria.

Kama ni kweli alikuwa na miradi yake Tanzania, sidhani kama angelikwenda Nigeria. Kule ni mbali na Tanzania ingelikuwa karibu.

Ukiangalia movements na biashara za Wasomali ndani ya Africa na nje ya Africa, unaweza kugundua kuwa kulikuwa na kitu kikubwa wanapika hawa jamaa. Miaka ya 90 mwanzoni, kuna wasomali walianza tayari biashara haramu Ulaya kwa scale kubwa sana. Sintashangaa movements hizo zikachanganywa na kuangalia Film za Pirates, wakaamua kuanzisha biashara hiyo. Wanaosimamia ni lazima wawe watu Wazito na hao vijana huwa wanatumika tu. Maadamu yanalipwa Mamilioni na Somalia hamna kitu, basi hizi pesa lazima ziwe zinakwenda Kenya/Tanzania na nje ya Africa hasa Ulaya na US.
Mwenzio Jatropha ambaye hapo kabla nilikuwa nadhani ana kitu kichwani naye amefikia kuhusisha PARADISE hotels na utekai nyara meli wakati wote tunajua kuwa PARADISE wamekuja Tanzania hata kabla ya masuala ya Al Shabab na utekaji nyara meli kufikiriwa. Asili ya fedha za PARADISE iko wazi kabisa lakini sio hili la Al Shabab na Piracy......The owner of Paradise alikuwa Waziri wa Fedha wa Somalia ya Said Barre kabla ya kutimka mwanzoni mwa kuanguka kwa taifa la Somalia....

Kingine ni hili la kumuhusisha Batilda Burian na usomali na utekaji nyara meli unaotaka kufanya hapa. Yaani this is what TLP candidature for parliament can offer to wanaARUSHA??? Tayari Batilda ameshakuwa MSOMALI ama kwa kuwa ni muislamu na ameolewa na Mpemba basi kwa akili yako tayari huyo atakuwa na mahusiano na AL QAEDA na Wateka nyara meli...

Acheni siasa za uzandiki hizi zilizojaa mbegu za chuki za kijamii ndipo muanze kumuomba mungu aibariki Tanzania yetu...

omarilyas
 
Kuna haja ya kurudisha Azimio la Arusha. Sasa hivi lije kwa staili nyingine isiyofungamana na chama chochote. This is too much.:mad2:
 
ndio kampeni meneja wa CCM

Kuna msemo wa Kiingereza unaosema, 'Birds of the same feathers flock together'. Kuna haja ya kuwafichua hawa watu maana ndio wanaonyesha hali hali halisi na mtizamo wa ccm. Chama hicho kimehama kutoka kuwa chama cha Wakulima na Wafanyakazi, na kuwa chama cha watu wanaohusika na vitendo vya ufisadi na ujambazi.
 
Inasikika toka muda mrefu maneno kwamba City Garden restaurant, na Paradise city hotel (pale posta mpya) zilizo chini ya paradise group zinamilikiwa na wasomali.

Huyu fisadi Kinana hawezi kuwa mmoja wa hao wanaomiliki?
 
kumbe haka kajamaa kako hivyo eeee........ndiyo maana roho inakauma sana kakisikia kikwete anaguswa kwani kanajua mheshimiwa yupo pamoja naye ktk kuliibia taifa..............skendo zote za watu wqa karibu na kikwete mheshimiwa kikwete kahusika moja kwa moja kwani kunakuwa na kiapo kwa wahusika wakuu kutomgusa mheshimiwa kwa nia ya kuendelea kuwalea akiwa madarakani...........NCHI NDIVYO INAVYOONGOZWA KIPUUZI
 
Sifahamu sana hizi habari ila tayari Mkuu naona maneno yako yanapishana na ukweli.

Said Barre alikuwa Rais wa Somalia na si Waziri wa fedha. Sasa nashindwa kuendelea kuamini maneno yako zaidi. Huyu jamaa alipinduliwa na General Aidid May 1991 na January 1995 alifia Lagos Nigeria.

Kama ni kweli alikuwa na miradi yake Tanzania, sidhani kama angelikwenda Nigeria. Kule ni mbali na Tanzania ingelikuwa karibu.

Ukiangalia movements na biashara za Wasomali ndani ya Africa na nje ya Africa, unaweza kugundua kuwa kulikuwa na kitu kikubwa wanapika hawa jamaa. Miaka ya 90 mwanzoni, kuna wasomali walianza tayari biashara haramu Ulaya kwa scale kubwa sana. Sintashangaa movements hizo zikachanganywa na kuangalia Film za Pirates, wakaamua kuanzisha biashara hiyo. Wanaosimamia ni lazima wawe watu Wazito na hao vijana huwa wanatumika tu. Maadamu yanalipwa Mamilioni na Somalia hamna kitu, basi hizi pesa lazima ziwe zinakwenda Kenya/Tanzania na nje ya Africa hasa Ulaya na US.

Kaka kiswahili lugha ya Taifa. Nilichosema ni kuwa alikuwa Waziri wa Fedha wakati wa kuanguka kwa serikali ya Siad Barre...

Na kinachoongelewa hapa ni PIRACY ya utekaji nyara meli na sio ile ya FAKE DVDs...

Na hili la pili hadi sasa kama unavyoonyesha wewe ni assumption tu kama ambavyo hawa jamaa wanavyotaka kumhusisha Kinana na hilo mradi tu yeye ni msomali....That is wrong

Nakubaliana nawe kabisa kuwa kuna suala la money laundering linaendelea hapa nchini na wasomali kama ilivyo kwa watu wengine wakiwemo watanzania wazawa na wa kuhamia wanahusika. Lakini hilo halitoshi kuanza kumhusisha Kinana na kila kosa ama dhambi ya msomali ama amtanzania mwenye asili ya kisomali hapa nchini. Hizi ni siasa mufilisi na wote tunajua faida yake kama ambavyo ilionyesha mwaka 2005 a matunda yake hadi sasa...
 
Kaka kiswahili lugha ya Taifa. Nilichosema ni kuwa alikuwa Waziri wa Fedha wakati wa kuanguka kwa serikali ya Siad Barre...

Na kinachoongelewa hapa ni PIRACY ya utekaji nyara meli na sio ile ya FAKE DVDs...

Na hili la pili hadi sasa kama unavyoonyesha wewe ni assumption tu kama ambavyo hawa jamaa wanavyotaka kumhusisha Kinana na hilo mradi tu yeye ni msomali....That is wrong

Nakubaliana nawe kabisa kuwa kuna suala la money laundering linaendelea hapa nchini na wasomali kama ilivyo kwa watu wengine wakiwemo watanzania wazawa na wa kuhamia wanahusika. Lakini hilo halitoshi kuanza kumhusisha Kinana na kila kosa ama dhambi ya msomali ama amtanzania mwenye asili ya kisomali hapa nchini. Hizi ni siasa mufilisi na wote tunajua faida yake kama ambavyo ilionyesha mwaka 2005 a matunda yake hadi sasa...

Wacha kutetea jambo usilolijua.

Nadhani huwajui wasomali vizuri ukitaka kuwajua anzia kenya enzi ya utawala wa Mzee Moi aliwatoa ajira nyingi kwa raia wa Somalia kwasababu za kisiasa za wakati wake.Wasomali walipoingizwa jeshini wakaanza kupachikana kila sehemu nyeti kiasi kwamba imekuwa vigumu kuwadhiti.

Kenya imegeuka Somalia ndogo fedha haramu zimeingizwa kwenye uchumi.Wasomali wamefika mahali wakaanza kupinga maamuzi ya serekali ya Kenya mfano mzuri serekali ya Kenya ilipomkatalia kibali cha kuishi mjakaika gaidi Al Shabab wazua vurugu ya ajabu jijini Nairobi.
 
Naomba kuuliza yule Msomali anayemiliki Mgahawa wa Liverpool maeneo ya Mombo na City Garden mjini Dar wanaundugu na Kinana? Sura zao zinashabiahiana hata na yule anayemiliki hotel ya Paradise Beach Resort Bagamoyo?
 
Naomba kuuliza yule Msomali anayemiliki Mgahawa wa Liverpool maeneo ya Mombo na City Garden mjini Dar wanaundugu na Kinana? Sura zao zinashabiahiana hata na yule anayemiliki hotel ya Paradise Beach Resort Bagamoyo?

Mkuu Omariylas anawajua wote hawa ni ndugu zake anawatetea mpaka povu linamtoka.
 
Mkuu, nilikusoma harakaharaka kuhusu Waziri wa fedha. Kwa hilo samahani.

Niliandika FILM za Pirats na si DVD yaani zile film walizocheza akina John Deep, Orlando Bloom na zinaitwa "Pirates of Caribbean...." na achana na hizo DVDs maana hiyo ni kazi ya Wahindi. Msomali hafanyi kazi ya kishamba namna hiyo.

Kuhusu Kinana na Somalia, nafikiri Wavuji wa mji wa Dar na Arusha watakuelezea zaidi. Mie mshamba wa Sikonge ngoja nikae pembeni maana huku kwetu hata Wasomali hamna.
Kaka kiswahili lugha ya Taifa. Nilichosema ni kuwa alikuwa Waziri wa Fedha wakati wa kuanguka kwa serikali ya Siad Barre...

Na kinachoongelewa hapa ni PIRACY ya utekaji nyara meli na sio ile ya FAKE DVDs...

Na hili la pili hadi sasa kama unavyoonyesha wewe ni assumption tu kama ambavyo hawa jamaa wanavyotaka kumhusisha Kinana na hilo mradi tu yeye ni msomali....That is wrong

Nakubaliana nawe kabisa kuwa kuna suala la money laundering linaendelea hapa nchini na wasomali kama ilivyo kwa watu wengine wakiwemo watanzania wazawa na wa kuhamia wanahusika. Lakini hilo halitoshi kuanza kumhusisha Kinana na kila kosa ama dhambi ya msomali ama amtanzania mwenye asili ya kisomali hapa nchini. Hizi ni siasa mufilisi na wote tunajua faida yake kama ambavyo ilionyesha mwaka 2005 a matunda yake hadi sasa...
 

Wacha kutetea jambo usilolijua.

Nadhani huwajui wasomali vizuri ukitaka kuwajua anzia kenya enzi ya utawala wa Mzee Moi aliwatoa ajira nyingi kwa raia wa Somalia kwasababu za kisiasa za wakati wake.Wasomali walipoingizwa jeshini wakaanza kupachikana kila sehemu nyeti kiasi kwamba imekuwa vigumu kuwadhiti.

Kenya imegeuka Somalia ndogo fedha haramu zimeingizwa kwenye uchumi. Wasomali wamefika mahali wakaanza kupinga maamuzi ya serekali ya Kenya mfano mzuri serekali ya Kenya ilipomkatalia kibali cha kuishi mjakaika gaidi Al Shabab wazua vurugu ya ajabu jijini Nairobi.

Lipi unalolijua wewe zaidi ya mediocre assumptions based social preudices and stereotypes????

Unashindwa hata kutambua kuwa wasomali ni sehemu ya Kenya kama ilivyo wamasai walivyo katika Tanzania na Kenya...Hivi unajua kuwa karibia robo ya eneo la nchi ya kenya ni eneo asilia la wakenya wenye so called asili ya somalia???

Kama money laundering na ujambazi hizi hao unaowaita wasomali wamewazidi wakikuyu na wakalinjeni wanaoendesha uchumi wa kifedhuli wa nchi hiyo???

Inaelekea upeo wako wa kisiasa na kihistoria unaishi katika habari za magazeti tu....

Halafu unaomba ridhaa ya kuwawakilisha wanaARUSHA.....

omarilyas
 
Lipi unalolijua wewe zaidi ya mediocre assumptions based social preudices and stereotypes????

Unashindwa hata kutambua kuwa wasomali ni sehemu ya Kenya kama ilivyo wamasai walivyo katika Tanzania na Kenya...Hivi unajua kuwa karibia robo ya eneo la nchi ya kenya ni eneo asilia la wakenya wenye so called asili ya somalia???

Kama money laundering na ujambazi hizi hao unaowaita wasomali wamewazidi wakikuyu na wakalinjeni wanaoendesha uchumi wa kifedhuli wa nchi hiyo???

Inaelekea upeo wako wa kisiasa na kihistoria unaishi katika habari za magazeti tu....

Halafu unaomba ridhaa ya kuwawakilisha wanaARUSHA.....

omarilyas


Wacha ujinga hakuna kabila la kisomali Kenya hata kidogo unawaona wote ni wahamiaji kama unavyowaona wasomali wa Tabora na sehemu nyingine Tanzania.nadhani utakuwa unachanganya wasomali na waborana ni jamii mbili tofauti.
 
Lipi unalolijua wewe zaidi ya mediocre assumptions based social preudices and stereotypes????

Unashindwa hata kutambua kuwa wasomali ni sehemu ya Kenya kama ilivyo wamasai walivyo katika Tanzania na Kenya...Hivi unajua kuwa karibia robo ya eneo la nchi ya kenya ni eneo asilia la wakenya wenye so called asili ya somalia???

Kama money laundering na ujambazi hizi hao unaowaita wasomali wamewazidi wakikuyu na wakalinjeni wanaoendesha uchumi wa kifedhuli wa nchi hiyo???

Inaelekea upeo wako wa kisiasa na kihistoria unaishi katika habari za magazeti tu....

Halafu unaomba ridhaa ya kuwawakilisha wanaARUSHA.....

omarilyas


In Kenya's capital, Somali immigrant neighborhood is incubator for jihad

PH2010082102684.jpg

Worshipers gathered at Eastleigh's Masjid Sahabi mosque, where clerics preach a moderate message. Imams at other neighborhood mosques, however, have become increasingly radicalized, praising and recruiting supporters for Somalia's al-Shabab militia. (Sudarsan Raghavan/the Washington Post)


By Sudarsan Raghavan
Sunday, August 22, 2010


NAIROBI -- Behind the blue gates of his Islamic school in Nairobi's Eastleigh neighborhood, Ahmed Awil cannot escape his country's civil war.

Schools and mosques where extremist views are taught are reshaping this Somali immigrant community that for years has lived peacefully in the capital of this predominantly Christian country. Moderate imams now compete with hard-line preachers pushing a strict interpretation of Islam. Bookstores sell anti-Western literature. Residents speak fearfully of militant spies, and children like Ahmed are taught to praise al-Shabab, an al-Qaeda-linked militia, for waging jihad in Somalia against the U.S.-backed government.

"My teachers tell us al-Shabab is fighting for our religion and for our country," said Ahmed, a skinny 11-year-old who fled Somalia after al-Shabab fighters slaughtered his neighbor and tried to recruit him. "Sometimes they ask us if we would like to go there and fight."

Eastleigh, a run-down enclave where tens of thousands of Somalis live, has become an incubator for Islamic extremism, Kenyan officials and community leaders say. It has also emerged as a micro-battlefield in the war on terrorism, attracting American funds.

"What most worries me is that this extremist ideology will continue to grow," said Dualle Abdi Malik, the director of Fathu Rahman, a moderate Islamic school. "We have to confront it before it is too late."

Somali immigrant communities across the Horn of Africa and Yemen have come under greater scrutiny since twin bombings last month targeted World Cup soccer fans in the Ugandan capital of Kampala. Al-Shabab asserted responsibility for the attacks, its first major international operation since it rose to power several years ago in Somalia.

Members of al-Shabab, which in Arabic means "The Youth," and other Somali militants freely travel to Nairobi to raise funds, recruit and treat wounded fighters, according to U.N. and Kenyan security officials. Somali-American jihadists have met contacts in Eastleigh before heading to Somalia to fight with al-Shabab.

"Eastleigh is a copy of Mogadishu," said Mohamed Omar Dalha, Somalia's social affairs minister, referring to the Somali capital. "Everything that happens in Mogadishu happens in Eastleigh, except the fighting."

Fertile ground for radicals

At the al-Huda Islamic bookshop, a closet-sized stall nestled near one of Eastleigh's radical mosques, several youths browsed the fare on a recent day. Koranic tomes pack the shelves. Recordings of lectures and debates that glorify the neighborhood's radical Somali preachers are sold openly.


"Our religion calls on us to kill everyone who does not believe in Allah and his Prophet Muhammed deeply," Abdulrahman Abdullahi, a black-clad imam, declares in one DVD.

Al-Shabab has long threatened to attack Kenya, which has been targeted by extremists over the years. In 1998, al-Qaeda operatives bombed the U.S. embassies in Nairobi and in Tanzania; in 2002, an Israeli-owned hotel in Mombasa was bombed. Earlier this year, protests erupted in downtown Nairobi over the arrest of a radical Islamic preacher from Jamaica.

Eastleigh, community leaders say, is an ideal breeding ground for radicalism. The neighborhood is poor and isolated; few Kenyans enter it. Local authorities have ignored it: Roads are unpaved, muddy and covered with trash. The smell of raw sewage wafts across the terrain.
 
Kenyan police have long harassed Somalis, demanding bribes under threat of arrest or deportation, generating resentment. Since the Kampala attacks, police have rounded up hundreds of people in Eastleigh and other areas, including four Kenyan Muslims who human rights activists say were illegally extradited to Uganda for interrogation.

"The community is suffering," said Abdufatah Ali, an Eastleigh representative on the Nairobi City Council. "The police stop you and take your phone, and say 'You are al-Shabab.' They enter your house and rape you, and say 'You are al-Shabab.' "

Radical preachers are filling the void, playing a key role in recruiting and fundraising for al-Shabab. They operate the largest mosques in the neighborhood, providing ideological leadership and a resource base for militants, according to a U.N. report on Somalia in April.

"They have a very big influence in terms of radicalization," said Nicholas Kamwende, Kenya's anti-terrorism police chief. "Eastleigh provides the best grounds for recruitment."

Influencing young minds

At the Ansaaru primary school, where Awil attends classes, boys and girls study biology, chemistry and geography. In religion class, they are taught that it is every Muslim's duty to "liberate" Jerusalem and its sacred al-Aqsa mosque, Awil and three other students said.

Sometimes, the students said, the teachers show them video clips of jihadists fighting in Iraq, Afghanistan and Somalia.

"They tell us that al-Shabab hates Western countries like America," said Zakeria Omar, 11, a student. "And that it is all right to cut the throats of every citizen of these countries."

Ali Jama'a, a Koranic teacher at the school, asserted that the teachers do not discuss jihad or al-Shabab. "Those classes may happen in the mosques, but not here," Jama'a said.

Moments later, the imam of al-Hidaya mosque, which U.N. investigators and community leaders describe as among the most radical in Eastleigh, arrived at the school. He was there to teach a class.

He declined to be interviewed by a Washington Post journalist.

Moderate clerics fear what will happen to their community. One well-known imam tells young people not to be enticed by militancy and speaks out against suicide bombings as un-Islamic. "We have a war on our hands to stop our youth from being taken to the battlefield," said the imam, who asked that his name not be published because he had been threatened.



Source:Washington Post
 
Shine Abdullahi's hip-hop group, Waayaha Cusub, or "The New Generation," is fighting back. The artists -- both men and women, all Somalis, most of whom once lived in Eastleigh -- released a CD in February with the help of funding from the U.S. Embassy in Nairobi.

This year, the United States has allocated $96,000 for job creation, education and tolerance programs, mostly directed at youth, to bolster moderate views of Islam in Eastleigh.

Waayaha Cusub's song "No to al-Shabab" has become a hit in Somali communities, including those in Minnesota, Ohio and Virginia. The group has handed out 7,000 free copies in Eastleigh.

"Our goal is to show that al-Shabab has neither a Somali nor an Islamic agenda," Abdullahi said. "They are nothing but a militia run by al-Qaeda's chiefs."

In June, Abdullahi received the first of many death threats in the form of a text message from a Kenyan cellphone number: "You work with the infidels and Americans. You are a spy for them. Do you want to stop that work or do you want to die?"

Today, the group does not play large shows, fearing an attack by suicide bombers. None of the members live in their old neighborhood anymore.

"It's very easy for them to kill us in Eastleigh," Abdullahi said.


Source :The Washington Post
 
Omarilyas haya mambo tusipokuwa makini yatakuja Tanzania na mtayarishaji wa hii mipango ni kampeni manager wa Muungwana Msomali Kinana.Najua hupendi kusikia hizi habari lakini ukweli utabaki ukweli na utakuweka huru.

Kenya wanatamani wasingepakana na Somalia ili kuepuka kitisho cha ugaidi wewe unawasifia na kutaka waachwe wafanye watakavyo
 
Kinana namfahamu.
1. Alikuwa mwanajeshi na cheo cha kanali
2. Ni kweli ana asili ya kisomali
3. Sina uhakika kama kazaliwa Tanzania lakini alienda sekondari ya Old Moshi na Lowassa na matokeo yake ya Form Four alipata Division 0.
4. Alikuwa mbunge wa Arusha kuanzia 1985 na alikuwa Naibu wa ulinzi chini ya Salim Salim.
5. Alikuwa Jirani wa Lowassa kwenye nyumba za msajili maeneo ya sanawari arusha kuanzia miaka ya mwisho ya sabini mpaka ya mwanzo ya 80.
6. Amejenga nyumba maeneo ya nyiro kilimani pale Arusha
7. Wakati wa mkapa alikuja kujiendeleza kielimu.
8. Yeye ndiye aliyewaunganisha Kikwete na Lowassa kuwa marafiki kwasababu anawafahamu wote. Kikwete kutoka jeshini na Lowassa jirahi wa siku nyingi.

Kinana Baba yake ni Msomali na Mama yake ni Mtanzania nadhani alizaliwa Nduruma Arusha na alikuwa Monduli wakati huo Chuo cha Taifa cha Uongozi (CTU) akiwa akiwa Kamisaa wa Siasa (Political Education Officer).
 
Back
Top Bottom