Abdulrahman Kinana: Who is he?

Abdulrahman Kinana: Who is he?

povu kwa habari za kuunga unga????????
unamwita mtu mwizi kwa sababu ya kumiliki kampuni ya uwakala wa meli?
hivi wewe unajua maana ya uwakala wa meli???????????
Kwani kumiliki meli we unaona ajabu? mimi ninazo mbili! Tena sio za ufisadi wala hazi deal na wizi, sasa hiyo isiwe hoja
 
so far wewe ndio mbumbu mkubwa hapa.....
maelezo nimesoma na hayajitoshelezi........
kichwa cha habari kinana kinasema meli ya kinana
wakati habari yenyewe haina sehemu inayosema meli ni ya kinana,
habari inasema Kinana anamiliki kampuni ya uwakala wa meli.
wewe kwa umbumbu wako unafikiri kampuni za uwakala wa meli zinamiliki meli sio??????

kweli juha sijuhi usaidiweje unalialia hapa unataka kusafisha vilivyo najisi
 
Kwani kumiliki meli we unaona ajabu? mimi ninazo mbili! Tena sio za ufisadi wala hazi deal na wizi, sasa hiyo isiwe hoja

kumbe wewe ni pretender sio????
mwenzio nipo kwenye hiyo industry for years.....
infact naweza kukutajia watanzania wote wenye meli ya
ukubwa wa kusafirisha mzigo kwa umbali mkubwa...
na kinana hayuko kwenye list hiyo......

msifikiri kila mtu humu ni mbumbumbu.........
mkitaka jenga hoja mje na facts hapa....
sio ubabaishaji .........
 
Kwani kumiliki meli we unaona ajabu? mimi ninazo mbili! Tena sio za ufisadi wala hazi deal na wizi, sasa hiyo isiwe hoja

Ni sawa hata ukawa nazo mia! Lakini endapo tunakuta bangi ndani ya nyumba yako, ni nani tumuulize? Utakuwaje mmiliki wa meli ambayo inafanya biashara kati ya mataifa na wala usijali kuwa na mkakati wa kuzuia uwezekano wa biashara haramu kusafirishwa ndani yake? Nina uhakika, kama ingekuwa ni nchi nyingine yeyote duniani, Kinana angewajibishwa kwa kutakiwa aachie ngazi ofisi ya uma.

Namkumbuka Nyerere aliposema, wenzetu wana miiko, na hapo akatoa mfano mmoja mrahisi kabisa kwamba Waziri moja huko Uingereza ilibidi aachie ngazi tu sio kwa kushikwa bali kwa kusikika anatembea na wanawake wa mitaani....hii ndio tunasema uadilifu, kiongozi wa uma huwezi ukawa karibu na vitu visiyokubalika kwa jamii, hata kama ni harufu!

Yote tisa, yeye ni mmiliki wa kampuni inayoendesha hio meli, hahusiki na shughuli za kila siku za kampuni, safi kabisa! Lakini je tangu wakati ule ameambiwa na kuimbiwa Kinana unafanya biashara hovyo, amefanya nini mpaka sasa hivi. Naweza kuapa ile meli itakuwa imeshapeleka shehena nyingine huko Hongkong! Amewajibika vipi, atueleze leo baada ya manunguniko yale alifanya nini na anazuiaje chombo chake kisiwe geneza la biashara haramu,,,,,,wasomali bwana...oh samahani CCM Bwananaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
kweli juha sijuhi usaidiweje unalialia hapa unataka kusafisha vilivyo najisi

wewe ndio juha mkubwa hapa....
unazungumza vitu hata huvijui ***** wewe.....

kwa taarifa yako mimi na familia yangu kwa ujumla..
tupo kwenye shipping bussiness for years....
huna unachoweza nibabaisha.......
najua tofauti ya wakala wa meli na kumiliki meli....
infact najua mpaka bei za meli zinazofanya kazi hapa east africa....

hakuna kampuni ya meli ,yenye kumiliki meli,halafu iwe na hisa
za thamani ya milioni 100.....
mnafikiri hii ni biashara ya daladala sio????

kadanganyeni watoto wenu.
 
wewe ndio juha mkubwa hapa....
unazungumza vitu hata huvijui ***** wewe.....

kwa taarifa yako mimi na familia yangu kwa ujumla..
tupo kwenye shipping bussiness for years....
huna unachoweza nibabaisha.......
najua tofauti ya wakala wa meli na kumiliki meli....
infact najua mpaka bei za meli zinazofanya kazi hapa east africa....

hakuna kampuni ya meli ,yenye kumiliki meli,halafu iwe na hisa
za thamani ya milioni 100.....
mnafikiri hii ni biashara ya daladala sio????

kadanganyeni watoto wenu.

Aahahahaha sikujua kuwa tunabishana na wewe.

Karibu jukwaani Mh meneja wa kampeni ya chama chetu.

Samahani kwa kukuweka kiti moto lakini umeyataka mwenyewe.
 
Ayayayayaaa kweli nchi hii inaliwa na wenye choyo na kujengwa na wenye moyo, Kinana kama yeye kumiliki meli ni ishu ya kustaajabisha na pia ana chata kibao zinazopeleka watalii mbugani zipo arusha, kia na dia.Huyu ni fisadi kama JK na Lowasa na wengine ndio maana wakamchagua awe kampeni meneja wa CCM na anajua sana kuchakachua kura ndio maana wanampa nafasi kubwa kwenye uchaguzi huu,Hili ni jizi limejifunza huko kwao somalia, Nchi hii huliwa na wageni wazawa tuko hoi mbaya.Jamani wakati wa mabadiliko ni huu.PIPOOOOOOOOOOOOS PAWAAAAAAAAAA.CHAGUA CHADEMA.
 
wewe ndio juha mkubwa hapa....
hakuna kampuni ya meli ,yenye kumiliki meli,halafu iwe na hisa
za thamani ya milioni 100.....
mnafikiri hii ni biashara ya daladala sio????

kadanganyeni watoto wenu.


Tanzania Daima



Gazeti hilo lilimtaja Kinana kuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo kwa kuwa na hisa 7,500 kati ya 10,000 katika kampuni hiyo, huku hisa nyingine 2,500 zikiwa zinamilikiwa na mshirika mwenzake, Rahma Hussein. Thamani ya hisa hizo ni sh 1,000 kila moja.






10,000 x 1000 = 10,000,000

Juhaaaaa.....kadanganje watoto.
 
Kinana acharuka, asema ametumika kama pilipili kwenye kachumbari!

Tanzania Daima

KADA maarufu na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema hahusiki na usafirishaji wa meno ya tembo nje ya nchi, ikiwa ni siku moja tu tangu gazeti moja la wiki, lichapishe habari iliyomuelezea kuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni iliyosafirisha meno hayo.

Hata hivyo, kada huyo amekiri kuwa mmiliki wa Kampuni ya uwakala wa meli ya Sharaf Shipping Agency, iliyohusika kusafirisha makontena yaliyokuwa na nyara hizo za serikali, kabla ya kukamatwa nchini China yakiwa safarini kupelekekwa Hong Kong.

Gazeti hilo lilimtaja Kinana kuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo kwa kuwa na hisa 7,500 kati ya 10,000 katika kampuni hiyo, huku hisa nyingine 2,500 zikiwa zinamilikiwa na mshirika mwenzake, Rahma Hussein. Thamani ya hisa hizo ni sh 1,000 kila moja.

Kinana alitoa ufafanuzi huo katika mahojiano maalum na Tanzania Daima.

“Nimeisoma habari hiyo na kwa bahati mbaya sioni anayenilaumu wala kitu ninacholaumiwa nacho. Kwamba nina hisa katika kampuni ya wakala wa meli ya Sharaf ni kweli.

“Lakini mimi sina nafasi yoyote ya kiutendaji na wala sishughuliki na uendeshaji wa kampuni hiyo. Kwa kweli sikujua na wala sikuhusika kwa namna yoyote ile na usafirishaji wa makontena hayo na mengine yoyote,” alisema Kinana.

Alisema anachojua yeye ni kwamba, maofisa wa kampuni hiyo waliuliza na kuambiwa kuwa shehena iliyokuwa katika makontena hayo ni plastiki zilizotumika.

Alifafanua kuwa, wenye wajibu na mamlaka ya kukagua shehena zote zinazosafirishwa nje ya nchi ni mamlaka za serikali na si kampuni ya uwakala wa meli.

Alisisitiza kuwa, hana mamlaka kwa mujibu wa sheria kukagua mali inayosafirishwa japokuwa anaweza kuuliza bidhaa iliyopo katika makontena hayo.

“Ni dhahiri kabisa kwamba, habari hii imeandikwa na jina langu kutumika katika malengo ambayo siyajui. Nahisi kama jina langu limetumika kama pilipili katika kachumbari ili kunogesha habari.

“Kwa bahati mbaya pilipili imezidi katika kachumbari. Kama lengo lilikuwa kupasha habari, basi umma umedanganywa,” alisema Kinana.

Kwa mujibu wa habari hiyo, sakata la kukamatwa kwa nyara hizo za serikali liliibuliwa kwa mara ya kwanza na Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango Malecela, katika Bunge lililopita la bajeti.

Ilidaiwa kuwa, nyaraka hizo zilionyesha kuwa, kilichokuwa ndani ya makontena hayo ni plastiki zilizodurufishwa na baada ya ukaguzi kufanyika, iligundulika kuwa, kilichokuwemo ni pembe za ndovu.

Habari ya gazeti hilo hata hivyo, ilimnukuu ofisa mwandamizi wa Wizara ya Viwanda na Biashara, akieleza wazi kuwa kazi ya kukagua kilichomo kwenye kontena linalosafirishwa si ya wakala wa meli kwani, wenye mamlaka na idhini ya kufanya hivyo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Akichangia makadirio ya bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii ya mwaka 2009/2010, Kilango alisema utafiti wake umeonyesha kuwa, makontena hayo yalipitia bandari ya Dar es Salaam na nyaraka zinaonyesha ndani kulikuwa na plastiki.

Kilango alisema nchi zinazoongoza kwa kupokea nyara kutoka Tanzania ni Philipines, China, Singapore na Hong Kong.



Kaaaaaazi kweli kweli !



Huu ni upumbavu! Wekwe Kinana! Hata aibu huna? Una hisa asilimia 75 kwenye kampuni ambayo HUHUSIKI na uendeshaji wake? Mwenye asilimia 25 ndiye anayeendesha kampuni peke yake? Basi wewe JUHA kweli kweli! Wala si JUHA, wewe ZUZU kabisa! Kama Nyerere alivyosema! Wewe ZUZU!

Usituyeyushe bana! Usidhani kila mtu hapa ZUZU kama wewe!

Du! Wanasiasa uchwara hawa! WANAKERA!
 
wewe ndio juha mkubwa hapa....
unazungumza vitu hata huvijui ***** wewe.....

kwa taarifa yako mimi na familia yangu kwa ujumla..
tupo kwenye shipping bussiness for years....
huna unachoweza nibabaisha.......
najua tofauti ya wakala wa meli na kumiliki meli....
infact najua mpaka bei za meli zinazofanya kazi hapa east africa....

hakuna kampuni ya meli ,yenye kumiliki meli,halafu iwe na hisa
za thamani ya milioni 100.....
mnafikiri hii ni biashara ya daladala sio????

kadanganyeni watoto wenu.

unaona unavyolia kama mtoto wa kambo.................u wakala wa meli ,ndege whatever unajona nani tukuongelee ww...who cares?

Tunaongelea uharamu unaofanywa na huyu msomali unazani hatumjui kuanzia alipokuwa anazuga pale IPS building na hivyo vikampuni.


U sound like sweet L.E.A.S.B.I.AN wh.o.re
 
Tatizo hapa naona si Kinana kwa sababu hakuna aliyeleta ushahidi wa kueleweka kuonyesha Makosa ya Kinana. Sana sana kinachoendelea hapa ni kumtukana tena kwa matusi ya nguoni (under the watchful eye ya JF mods) na mbaya zaidi inaogopesha pale ambapo waliokuwa wanajaribu kureason na na watoa tuhuma posts zao kufutwa.

Saaa zingine unajiuliza hivi tatizo ni kwa sababu jina lake ni ABDUL RAHMAN KINANA au kuna la zaidi? na kama hilo la zaidi why not just say tatizo hapa ni kwa sababu ni MUISLAM na kuna watu hawapendi hiyo sasa kwa kuwa hakuna wa kulisema basi mimi naona niwarahisishie kazi na nimesema hilo ambalo mlikuwa hamtaki kulisema kuwa tatizo hapa ni KINANA THE MUSLIM
 
Nakumbuka Kinana aliwahi kusemekana kuwa sio raia wa Tanzania wakati fulani. Ikabidi aachane na siasa na kwenda kusoma Marekani. Sijui kama ameshaupata uraia. Lakini hata kama hajaupata, kuhakikisha tu kuwa anashiriki kwenye kampeni za Rais kama mwenyekiti wa Kampeni kunampa madaraka ndani ya chama chake na kumfanya mtu muhimu kwa Taifa. Kaaaazi kweli kweli.


1. Sasa taarifa yako inaonekana una assume na kwa hilo la assumption sidhani kama litaweza kukupa picha kamili

2. Unasema hujui..sasa iweje una conclude kitu ambacho hukijui?
 
Hivi kisheria meli inayokamatwa na nyara za serikali sio kuwa inataifishwa kama ilivyo kwa magari? Sasa serikali ya CCM hiko wapi kutekeleza hii sheria kama kweli inasimamia utawala wa sheria?


Unauliza swali la kisheria halafu unaona uvivu wa kuambatanisha hiyo sheria yenyewe na vifungu vyake...kisha una conclude kuwa hakuna sheria iliyofuatwa. Maana nzima ya post yako imekufa

Hivi wadau, meli hizi sio zile zinatumika kubebea zile boti ziendazo kwa kasi kule ghuba ya Aden???

bado mnaendelea kuuuliza maswali lakini hamuna majibu na wala hakuna nayewajibu...hamjiulizi tatizo la JF ya 2010 ni nini?

kazi ya hizo meli ni kubeba mizigo sasa whats the problem au kama unayo leseni inayosema kuwa sheria za HEALTH AND SAFETY zimekiukwa then utatusaidia sana ukizileta hapa

Inasemekana pia kwamba anasafirisha twiga hai kuwapeleka uarabuni na mama siti na wale waarabu wa loliondo

si hivyo tuu inasemekana kuwa anasafirisha binadamu toka ardhini kuwapeleka ISS huko juu na si hivyo tuu hata lile shirika la angala la NASA analimiliki Kinana....


Ni sawa na kumiliki SEMI trailer alafu inakutwa na Shaba unasema sio yako,ikikutwa na bangi angalau kiloba unaweza sema wamekuchomekea.

Hivi kila mwenye SEMI TRAILERS ya mizigo iendayo mikoani LAZIMA amiliki hata mizigo iliyokodishwa mle?

Izo ndo deal zilizo wainua waburushi wengi RUJEWA NA IRINGA zama zile via Ruaha NP.
statement hii pekeyake ilitakiwa upigwe ban na Mods humu ndani kwani una wahukumu watu kwa sababu tuu ya asili yao pasipo kuleta ushahidi wa kusupport hoja yako

usikute hata kikwete mwenyewe ana hisa kwenye hiyo meli
more assumptions
Wasomali wanafahamika dunia nzima kwa ujangili wa tembo, biashara ya meno ya tembo na uharamia. Haishangazi kwa msomali kuwa jangili na haramia, tena analindwa na waheshimiwa ndiyo usiseme.

Mods hivi ethics za mijadala ndio hizi JF siku hizi? Mnawahukumu watu kwa sababu ni wa Somali au WAISLAM?

Ni sawa hata ukawa nazo mia! Lakini endapo tunakuta bangi ndani ya nyumba yako, ni nani tumuulize? Utakuwaje mmiliki wa meli ambayo inafanya biashara kati ya mataifa na wala usijali kuwa na mkakati wa kuzuia uwezekano wa biashara haramu kusafirishwa ndani yake? Nina uhakika, kama ingekuwa ni nchi nyingine yeyote duniani,

hivi ni kazi ya kinana kwenda bandarini kukagua kila meli inayoondoka?

Kinana angewajibishwa kwa kutakiwa aachie ngazi ofisi ya uma.
kwa kosa lipi?
Namkumbuka Nyerere aliposema, wenzetu wana miiko, na hapo akatoa mfano mmoja mrahisi kabisa kwamba Waziri moja huko Uingereza ilibidi aachie ngazi tu sio kwa kushikwa bali kwa kusikika anatembea na wanawake wa mitaani....hii ndio tunasema uadilifu, kiongozi wa uma huwezi ukawa karibu na vitu visiyokubalika kwa jamii, hata kama ni harufu!
sasa kipi kischokubalika kwenye jamii alichokifanya Kinana ili awajibishwe?
Yote tisa, yeye ni mmiliki wa kampuni inayoendesha hio meli, hahusiki na shughuli za kila siku za kampuni, safi kabisa! Lakini je tangu wakati ule ameambiwa na kuimbiwa Kinana unafanya biashara hovyo, amefanya nini mpaka sasa hivi. Naweza kuapa ile meli itakuwa imeshapeleka shehena nyingine huko Hongkong!
Hivi mpaka leo umeambiwa NDESAMBURO anafanya biashara gani? Nauliza lete hoja tena yenye ushahidi wa kisheria kuonyesha makosa ya kinana hapa
Amewajibika vipi, atueleze leo baada ya manunguniko yale alifanya nini na anazuiaje chombo chake kisiwe geneza la biashara haramu,,,,,,wasomali bwana...oh samahani CCM Bwananaaaaaaaaaaaaaaaaaa
nchi ina vyombo kede kede vya sheria sasa tatizo liko kwa kinana afterall nchi hii haiongozwe ni minunguniko bali sheria na je kuna sheria yoyote inayombana au iliyomhukumu Kinana? hakuna!

of course then unarukia WASOMALI once again ili kutuonyesha how misguided hoja yako ilivyo maana baada ya kushindwa kuja na hoja kamili umeishia kulalama kuhusu WASOMALI!

Ayayayayaaa kweli nchi hii inaliwa na wenye choyo na kujengwa na wenye moyo, Kinana kama yeye kumiliki meli ni ishu ya kustaajabisha na pia ana chata kibao zinazopeleka watalii mbugani zipo arusha, kia na dia.Huyu ni fisadi kama JK na Lowasa na wengine ndio maana wakamchagua awe kampeni meneja wa CCM na anajua sana kuchakachua kura ndio maana wanampa nafasi kubwa kwenye uchaguzi huu,Hili ni jizi limejifunza huko kwao somalia, Nchi hii huliwa na wageni wazawa tuko hoi mbaya.Jamani wakati wa mabadiliko ni huu.PIPOOOOOOOOOOOOS PAWAAAAAAAAAA.CHAGUA CHADEMA.

hii ndio JF ya 2010! Home of the great "THINKERS"


unaona unavyolia kama mtoto wa kambo.................u wakala wa meli ,ndege whatever unajona nani tukuongelee ww...who cares?

Tunaongelea uharamu unaofanywa na huyu msomali unazani hatumjui kuanzia alipokuwa anazuga pale IPS building na hivyo vikampuni.


U sound like sweet L.E.A.S.B.I.AN wh.o.re

GREAT THINKERS AT WORK!
 
1. Sasa taarifa yako inaonekana una assume na kwa hilo la assumption sidhani kama litaweza kukupa picha kamili

2. Unasema hujui..sasa iweje una conclude kitu ambacho hukijui?

si ndio maana ya forum mkuu ,unaweza kusahihisha au mweye uhakika akatoa kuwa si assumption bali ni uhakika au ni uongo.
Ku conclude ni kuwa mtu mwenye dhamana habari zake zinatakiwa kuwa wazi ,once uko public fig. unatakiwa hofu zote za wana nchi ziwe cleared.
 
Unauliza swali la kisheria halafu unaona uvivu wa kuambatanisha hiyo sheria yenyewe na vifungu vyake...kisha una conclude kuwa hakuna sheria iliyofuatwa. Maana nzima ya post yako imekufa



bado mnaendelea kuuuliza maswali lakini hamuna majibu na wala hakuna nayewajibu...hamjiulizi tatizo la JF ya 2010 ni nini?

kazi ya hizo meli ni kubeba mizigo sasa whats the problem au kama unayo leseni inayosema kuwa sheria za HEALTH AND SAFETY zimekiukwa then utatusaidia sana ukizileta hapa



si hivyo tuu inasemekana kuwa anasafirisha binadamu toka ardhini kuwapeleka ISS huko juu na si hivyo tuu hata lile shirika la angala la NASA analimiliki Kinana....




Hivi kila mwenye SEMI TRAILERS ya mizigo iendayo mikoani LAZIMA amiliki hata mizigo iliyokodishwa mle?


statement hii pekeyake ilitakiwa upigwe ban na Mods humu ndani kwani una wahukumu watu kwa sababu tuu ya asili yao pasipo kuleta ushahidi wa kusupport hoja yako


more assumptions


Mods hivi ethics za mijadala ndio hizi JF siku hizi? Mnawahukumu watu kwa sababu ni wa Somali au WAISLAM?



hivi ni kazi ya kinana kwenda bandarini kukagua kila meli inayoondoka?

QUOTE]Kinana angewajibishwa kwa kutakiwa aachie ngazi ofisi ya uma.
kwa kosa lipi?
sasa kipi kischokubalika kwenye jamii alichokifanya Kinana ili awajibishwe?
Hivi mpaka leo umeambiwa NDESAMBURO anafanya biashara gani? Nauliza lete hoja tena yenye ushahidi wa kisheria kuonyesha makosa ya kinana hapa
nchi ina vyombo kede kede vya sheria sasa tatizo liko kwa kinana afterall nchi hii haiongozwe ni minunguniko bali sheria na je kuna sheria yoyote inayombana au iliyomhukumu Kinana? hakuna!

of course then unarukia WASOMALI once again ili kutuonyesha how misguided hoja yako ilivyo maana baada ya kushindwa kuja na hoja kamili umeishia kulalama kuhusu WASOMALI!



hii ndio JF ya 2010! Home of the great "THINKERS"




GREAT THINKERS AT WORK![/QUOTE]



Naona unazidi mwaga upupu ,ila kumbuka first rule of leadership everything is your fault ndio maana viongozi resigned kwa vitu ambavyo hawakufanya wao physical.Unapokuwa kiongozi unachosema kiwe kinakuwa so si lazima awe sehemu ya tukio ndio iko hivyo,na pia ni jukumu lako kuongoza mambo yasiende tofauti ,ukishindwa ni resignation kama ni kiongozi wa kuajiliwa au kuteuliwa ,or you're hold responsible kutokana na sheria inavyosema.

Halafu watu wakisema kitu unakazania kuita assumption ,ya inabaki kuwa assumption mpaka itakaposibitika na kitu kuwa assumption sio maana yake hakiwezi kuwa kama kilivyo kuwa assumed to be.
So assumption is process kama vile mtu anapokuwa mtuhumiwa maana yake is not guilty until he/she proved to be guilty ....But the status of not being guilty by the time anapotuhumiwa hakufanyi hiyo status kuwa endelevu any time inaweza kuwa confirmed kuwa guilty or not.
So watu anapo ongea kwa namna ambayo ww unaita assumption hakutoshi kumfanya anayedhaniwa kuwanya huarifu kuwa ajafanya simple kwa kuwa ww umeita assumption.
 
si ndio maana ya forum mkuu ,unaweza kusahihisha au mweye uhakika akatoa kuwa si assumption bali ni uhakika au ni uongo.

issue hapa umekuja na statement kuonyesha kuwa una uhakika na unachokisema halafu along the lines ukaamua kutoa conclusion bila kuwa na uhakika na tuhuma au habari uliyokuja kuitetea.

si vibaya ukaletawalau secondary na primary sources kisha tukarejea mezani kujadiliana hili jambo
Ku conclude ni kuwa mtu mwenye dhamana habari zake zinatakiwa kuwa wazi ,once uko public fig. unatakiwa hofu zote za wana nchi ziwe cleared.
lakini kwel=nye hili wewe tayari ushatoa conclusion pasipo kuleta ushahidi na hapo ndipo hoja zako zinaonekana ziko misguided
 
Naona unazidi mwaga upupu ,ila kumbuka first rule of leadership everything is your fault ndio maana viongozi resigned kwa vitu ambavyo hawakufanya wao physical.Unapokuwa kiongozi unachosema kiwe kinakuwa so si lazima awe sehemu ya tukio ndio iko hivyo,na pia ni jukumu lako kuongoza mambo yasiende tofauti ,ukishindwa ni resignation kama ni kiongozi wa kuajiliwa au kuteuliwa ,or you're hold responsible kutokana na sheria inavyosema.



Halafu watu wakisema kitu unakazania kuita assumption ,ya inabaki kuwa assumption mpaka itakaposibitika na kitu kuwa assumption sio maana yake hakiwezi kuwa kama kilivyo kuwa assumed to be.
So assumption is process kama vile mtu anapokuwa mtuhumiwa maana yake is not guilty until he/she proved to be guilty ....But the status of not being guilty by the time anapotuhumiwa hakufanyi hiyo status kuwa endelevu any time inaweza kuwa confirmed kuwa guilty or not.
So watu anapo ongea kwa namna ambayo ww unaita assumption hakutoshi kumfanya anayedhaniwa kuwanya huarifu kuwa ajafanya simple kwa kuwa ww umeita assumption.


ignorance_2.jpg
 
Ila jamani CCM kila ushikapo pameoza. Kigogo huyu mbakaji, tena wa watoto wa shule za msingi (paedophile), yule ni poacher, etc. Sasa nimeelewa ni kwanini JK hakutimiza ile ahadi yake ya kuwataja wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya. Ni vigogo wenzake wa CCM.

Ila Watanzania wenzangu tusife moyo. Saa ya ukumbozi inakaribia.
 
Back
Top Bottom