Abdulrahman Kinana: Who is he?

Abdulrahman Kinana: Who is he?

CCM yote ni wizi mtupu. Hakuna msafi. Kinana hajui msemo wa kizungu " Show me your friends I will tell you who/what you are". Marafiki wa karibu wa Kinana ni nani?
 
Ni sawa na kumiliki SEMI trailer alafu inakutwa na Shaba unasema sio yako,ikikutwa na bangi angalau kiloba unaweza sema wamekuchomekea.
Izo ndo deal zilizo wainua waburushi wengi RUJEWA NA IRINGA zama zile via Ruaha NP.
TZ ni mwendo wa chukua chako mapema ie CCM.
Kama kinana ndo kampeni manager sasa JK si lazima afuate nyayo za manager wake
 
Mhhh nchi za wenzetu mtu anajiuzuru kwa kashfa ya namna hii, ila kwetu mhhh si unaona mzee vijisenti wamemlinda weee mpaka Mungu kamuumbua na kesi ya kugonga bajaj, sasa wamtetee na hapo

Waryaaaa, urudi kwenu Somalia sasa:mad2:
 
na huyu ni kampeni meneja wa Kikwete .... kisha kuna watu wanasema kikwete ni msafiiiiii????????
 
Wasomali wanafahamika dunia nzima kwa ujangili wa tembo, biashara ya meno ya tembo na uharamia. Haishangazi kwa msomali kuwa jangili na haramia, tena analindwa na waheshimiwa ndiyo usiseme.
 
Wasomali wanafahamika dunia nzima kwa ujangili wa tembo, biashara ya meno ya tembo na uharamia. Haishangazi kwa msomali kuwa jangili na haramia, tena analindwa na waheshimiwa ndiyo usiseme.

usikute hao waheshimiwa wanapata kitu kidogo toka kwenye biashara hizo haramu.
 
Kwa Wale mso mfahamu Rt Lt Col A Kinana

71front1a.jpg



images



8D6U9156king+maker.JPG




14.JPG
 
usikute hao waheshimiwa wanapata kitu kidogo toka kwenye biashara hizo haramu.

Hiyo ni wazi, kazi mojawapo ya meneja ni kuangalia maslahi ya wahusika. Kwa vile ni meneja wa kampeni ndiye injinia wa kutafuta na kutoa pesa kwa mgombea wake wa urais.
 
Yumo huyo!!
Did any body expect him to confess that he owns the cargo? He is inn unless proved otherwise. Kama si wake, dili zima analijua angalau. Kionanan wee!

Next time atasema meli yake, mzigo wake lakini mabaharia sio wake:becky:
 
mhh majungu tu humu ndani.........
hata usahihi wa habari hupati........
 
Kumbe kinana sio meneja wa kampeini tu bali ni meneja wa kampuni ya wizi ya sisi m?

wewe nae unajidhalilisha...
kabla ya kumshambulia mtu,angalau pata usahihi wa habari....

nimeuliza swali,kinana ana kampuni ya uwakala wa meli au anamiliki meli?
sijajibiwa so far????????
 
wewe nae unajidhalilisha...
kabla ya kumshambulia mtu,angalau pata usahihi wa habari....

nimeuliza swali,kinana ana kampuni ya uwakala wa meli au anamiliki meli?
sijajibiwa so far????????

wewe mbumbumbu kweli kuna maelezo Kinana kanukuliwa anaongea kuhusu swali lako hujasoma una kashifu watu na why spoon feeding dam! Soma utaona anavyote au
 
wewe nae unajidhalilisha...
kabla ya kumshambulia mtu,angalau pata usahihi wa habari....

nimeuliza swali,kinana ana kampuni ya uwakala wa meli au anamiliki meli?
sijajibiwa so far????????

Soma kwanza post yangu ni swali tu! sasa naona povu jingi linakutoka vipi wewe?
 
wewe mbumbumbu kweli kuna maelezo Kinana kanukuliwa anaongea kuhusu swali lako hujasoma una kashifu watu na why spoon feeding dam! Soma utaona anavyote au

so far wewe ndio mbumbu mkubwa hapa.....
maelezo nimesoma na hayajitoshelezi........
kichwa cha habari kinana kinasema meli ya kinana
wakati habari yenyewe haina sehemu inayosema meli ni ya kinana,
habari inasema Kinana anamiliki kampuni ya uwakala wa meli.
wewe kwa umbumbu wako unafikiri kampuni za uwakala wa meli zinamiliki meli sio??????
 
Soma kwanza post yangu ni swali tu! sasa naona povu jingi linakutoka vipi wewe?

povu kwa habari za kuunga unga????????
unamwita mtu mwizi kwa sababu ya kumiliki kampuni ya uwakala wa meli?
hivi wewe unajua maana ya uwakala wa meli???????????
 
Back
Top Bottom