Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,446
ARK ni mjumbe wa NEC na CC ni mtengeneza sera za chama anayetegemewa
nakubaliana nawe...
ni brain ya ccm ya leo..
alikuwepo kwenye kampeni za chemkapa 1995 na 2000 kadhalika kikwete 2005 na hii 2010....
tusisahau pia kwenye kamati ya mwinyi baada ya richmond...
nadhani ni excellent strategist mwenye kukubalika na pande zote wakati wote zenye kuhasimiana ndani ya chama tawala...