DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 145
Kinana, moja wa watu watatu wenye busara (wengine wakiwa Mwinyi na Msekwa) ambao wamepewa jukumu la kupatanisha makundi ndani ya CCM - nani atamgusa ? Hivi humo ndani ya CCM hakuna hata moja asiye FISADI ? Kaazi kweli kweli !
Ila jamani CCM kila ushikapo pameoza. Kigogo huyu mbakaji, tena wa watoto wa shule za msingi (paedophile), yule ni poacher, etc. Sasa nimeelewa ni kwanini JK hakutimiza ile ahadi yake ya kuwataja wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya. Ni vigogo wenzake wa CCM.
Ila Watanzania wenzangu tusife moyo. Saa ya ukumbozi inakaribia.
Pia ndio mwakilishi wa mwana mfalme Raisi wa Loliondo
Inasikika toka muda mrefu maneno kwamba City Garden restaurant, na Paradise city hotel (pale posta mpya) zilizo chini ya paradise group zinamilikiwa na wasomali.
Huyu fisadi Kinana hawezi kuwa mmoja wa hao wanaomiliki?
Ni kwa uhakika asilimia 100 kwamba Paradise ni mali ya msomali naliyeteleza toka somalia. Hii haina ubishi. Ni jinsi gani ameiingia serikali yetu hadi kuitumia hoteli hiyo kwa mikutano mikubwa mikubwa kabla haijaungua kule Bagamoyo, hilo ni jingine.
Nyongeza: Kinana akiwa waziri wa Ulinzi ofisi ya Rais, alikuwa wa kwanza kuanszisha biashara ya silaha na Kabila. Hilo pia CCM wanalijua na sikuona sababu ya kuendelea kumpa nafasi ktk ipindi hiki. Lakini kama ilivyo imani yangu, CCM ni cartel. kwao sijui sera na .... maendeleo siyo kazi yao. Muhimu ni kujineemesha.
Sir Andy Chande ni Freemason wa kiwango cha juu sana. Join the dots......
Asili ya fedha za PARADISE iko wazi kabisa lakini sio hili la Al Shabab na Piracy......The owner of Paradise alikuwa Waziri wa Fedha wa Somalia ya Said Barre kabla ya kutimka mwanzoni mwa kuanguka kwa taifa la Somalia....
Acheni siasa za uzandiki hizi zilizojaa mbegu za chuki za kijamii ndipo muanze kumuomba mungu aibariki Tanzania yetu...
Majuzi nimesikia kwamba Kinana alitinga kiwanjani kumpokea mwarabu mmoja mwekezaji wa Hotel za Kilinjaro zina jina jipya. Alikuwa kaongozana na wala rushwa waziri gani sijui yule.
Nimejiuliza Kinana ni nani kweney Serikali hadi aende upokea mwekezaji? Alienda kwa jina la CCM ama Serikali ? Kinana na issue yake ya Uraia iliishia wapi?
Nipeni mwelekeo kama kuna mwenye kulijua lolote hapa.
UPDATE: (August 2010)
The campaign director of President Benjamin Mkapa in the Tanzanian presidential contests of 1995 and 2000 was later elected speaker of the East Africa Legislative Assembly (EALA) before becoming the campaign director of President Jakaya Mrisho Kikwete in the Tanzanian presidential contests of year 2010.
A retired colonel who served as foreign minister and later defense minister under President Ali Hassan Mwinyi.
Abdulrahman Omari Kinana is a member of the national executive committee of the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) party.
Born in the Arusha region in October 1951, Kinana did his primary and secondary studies in that city, before attending the Old Moshi Secondary School.
He was one of those responsible for the TANU party youth organization in the Korogwe district between 1971 and 1972, before following the teachings of the Kivukoni Ideological College in 1973.
From 1974 to 1985, he undertook a long career as a political commissar in several military schools, and from 1984 to 1985, at the 20th division of the Tanzania Peoples Defence Force (TPDF).
In the meantime, in 1984, he had graduated from the university of Ljubljana in Yugoslavia.
For a decade, he also served as MP in the Tanzanian parliament for the district of Arusha.
Abdulrahman Omari Kinana can also boast a master's in management and public administration from Harvard, and heads the Tanzania Red Cross Society, which is under the patronage of President Benjamin Mkapa.
BUGURUNI tatizo Kinana ni kampeni meneja na ndio roho ya CCM, SASA WAKISHAM DISTURB KINANA WANAAMINI NDIO WATASHINDA.WATASHINDA VIPI KWA MGOMBEA KUWA NA ELIMU YA DARASA LA SABA? MBOWE ANA MADENI HADI BREWERIES. SLAA KAIBA MKE WA MAHIMBO. HAWAAMINIKI HAWA.si hivyo tuu unajua hata NASA kule America iko owned na Kinana
pia huyu huyu Kinana lile ziwa Victoria nalo ni la Kinana
Pia hata JF ni mali ya Kinana
bila kusahau kuwa kampuni za FACEBOOK, GOOGLE, APPLE, COCACOLA,MITTAL STEEL,RIM,na zote ni za Kinana
ohh nimesahau hata kampeni ya CHADEMA nayp iko funded na Kinana
yaani sitoshangaa kuambiwa kuwa hata Dr SLAA naye yuko bankrolled na Kinana...ambaye anaown kila kit including Bahari ya Hindi, Ziwa Tanganyika, infact hata Queen Elizabeth naye yuko chini ya Kinana ambaye kwenu keshakuwa MUNGU MTU!
Mtu B miye umeni-mix kidogo, hivi freemasons ni aina gani ya biashara? Mara kadhaa nimesikia kuwa hiyo ni biashara kubwa inayoshamiri hapa Tz na Kenya? Niliambiwa kuwa MD wa hiyo biashara katika East Africa ni huyo Sir Chande na kwamba katika biashara hiyo wamo watu wakubwa wengi kutoka nchi zote za East Africa. Mfano wa wakubwa hao ni rasi Moi, rais Mkapa, sir Chande nk. Ukweli bado huwa sielewi vizuri hiyo ni biashara gani wanafanya hawa wakubwa! Labda kama kuna ufafanuzi zaidi naomba nisaidiwe?
Na kuhusu ….
Nakubaliana na wewe kuwa mmiliki wa Paradise ni Msomali aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Somalia ktk serikali ya Siad Barre. Baada ya kutokea vurugu nchini alikimbilia hapa Tanzania akahifadhiwa na serikali yetu. Kwasasa anaishi Kigamboni na huko ana kiwanda cha kutengeneza viatu. Kiwanda hicho kinaitwa Ital Shoes Ltd na kipo huko Kigamboni hadi sasa.
fisadi kina kumbe ni mbakaji pia? ohhhhh mungu tusaidie