alishapata citizenship by registration.
urai wa kinana Tanzania ni wamashaka, kinana ni raia halali wa somalia(MSOMALI) na kwamba uraia wake haupo katika sifa tatu za urai i.e citizenship by birth, citizenship by legislation, citizenship by registration . kwa hiyo kzi kwa uhamiaji kupambanua hili.? inawezekana kabisa ni MKIMBIZI , ccm inatupeleka wapi jamani?
urai wa kinana Tanzania ni wamashaka, kinana ni raia halali wa somalia(MSOMALI) na kwamba uraia wake haupo katika sifa tatu za urai i.e citizenship by birth, citizenship by legislation, citizenship by registration . kwa hiyo kzi kwa uhamiaji kupambanua hili.? inawezekana kabisa ni MKIMBIZI , ccm inatupeleka wapi jamani?
kukosa viti vingi na urais ndicho kiwaumacho,
kama tatizo amani kwani wanaochoma magari mwanza, nyumba lindi na tandika ni ccm, si ninyi wa upinzani, mmeshindwa mnatafuta sababu, na bado tutawaongoza sana, CCM Oyee1
kukosa viti vingi na urais ndicho kiwaumacho,
kama tatizo amani kwani wanaochoma magari mwanza, nyumba lindi na tandika ni ccm, si ninyi wa upinzani, mmeshindwa mnatafuta sababu, na bado tutawaongoza sana, ccm oyee1