Abdulrahman Kinana asamehewa, Bernard Membe afukuzwa rasmi CCM

Aaah wapi,kapinge mawazo ya mmliki wa Sasa ujikute coco au segerea, kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi Hadi sacooss ya mtu mmoja apangae Nani apite Nani asipite, wahamiaji wote ni lzm wapite,nyie mtaendelea kusugua Sana mabenchi.
Hoja mfu. Hata Makongoro Nyerere alikuwa Nccr Mageuzi. Ccm haina ubaguzi kama Chadema.
 
Lowassa mwenyewe karudi CCM ila pengine si kwa ajili yake binafsi bali pia kwa kizazi chake maana Siasa za kiafrica huwa hazina mipaka, hata maisha yako binafsi yataingiliwa kukudhoofisha..
Lowasa karudi CCM ili apate nini? kesho ikitoka madarakani?
 
Mmoja kaomba msamaha kuepusha Shari la ligi toka kiwandani ili kulinda biashara.
Ukimkuta mmasai analinda na wwe unataka kupita njia hio muite boss,msifie then muombe kupita na sio kupita kibabe,fimbo zitakuhusu
 
Anastahili kusanehewa kwani ameonyesha ukomavu wa hali ya juu na pia alikipigania chama chake kufa na kupona! ni busa sana ktk kukiimarisha chama zaidi
 
Ninampongeza Mheshimiwa Raisi, kwa kuona mbali. Kuna baadhi ya watu kwenye chama cha siasa ni mtaji mkubwa katika uhai wao, na pia watu hao wanakuwa watu wasio na uchu wa mali, bali wanakuwa watumishi wa chama na nchi.

Ndugu kinana ni mmojawao na zaidi, ndio maana chama kimepokea matendo yake ya busara aliyoyafanya kuomba msamaha hadharani.

Sio wazo zuri kuweka uadui na kiongozi wa chama, tena mwenye uwezo, ujuzi, mhifadi siri, anayependwa na wanachama na wananchi, anayeheshimiwa na upinzani na vipngozi wa nchi za njee. Kwenye hili Raisi Magufuli ametumia ujasiri na siasa za hali ya juu kumrejesha Col.Kinana zizini.

Well done Mzee Kinana, ama kweli wewe ni asset na A JEWEL IN THE CROWN,
 
Kamati kuu haina mamlaka ya kufukuza. Inatoa pendekezo tu. Kama mtu keshajitoa mwenyewe, the so called mkutano mkuu hauna haja ya kumjadiri tena na hilo pendekezo linakuwa halina mantiki (overtaken by events...)

Simple logic ila zwazwa hawezi elewa hii
CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama.

Membe alifukuzwa toka tarehe 28 Febr, 2020. Vyombo vya habari na hata humu jf zipo nyuzi hizo, sasa kama unataka kuendelea kubisha haya.
Hizo dharau na kejeri zako hazisaidii kitu, lete hoja mkuu sio kejeri. Hizo ni dalili za walioshindwa.
 
Ninampongeza Mheshimiwa Raisi, kwa kuona mbali. Kuna baadhi ya watu kwenye chama cha siasa ni mtaji mkubwa katika uhai wao, na pia watu hao wanakuwa watu wasio na uchu wa mali, bali wanakuwa watumishi wa chama na nchi.

Ndugu kinana ni mmojawao na zaidi, ndio maana chama kimepokea matendo yake ya busara aliyoyafanya kuomba msamaha hadharani.

Sio wazo zuri kuweka uadui na kiongozi wa chama, tena mwenye uwezo, ujuzi, mhifadi siri, anayependwa na wanachama na wananchi, anayeheshimiwa na upinzani na vipngozi wa nchi za njee. Kwenye hili Raisi Magufuli ametumia ujasiri na siasa za hali ya juu kumrejesha Col.Kinana zizini.

Well done Mzee Kinana, ama kweli wewe ni asset na A JEWEL IN THE CROWN,
Correcting Error: KINANA IA INSTITUTION,

Na ninaongezea kuwa Maraisi wengi wamemtumia kama special emissary wa Rais kwa Maraisi wenzie , wanapotaka kutuma ujumbe mzito na wa siri sana. Pia amehusishwa katika usuluhisho wa matatizo ya nchi za kiafrika, kwa mfano usuluhisho wa South Sudan, DRC nk... bila ya watu kujua.

Huyu ndugu ni Master Diplomat
 
Ninampongeza Mheshimiwa Raisi, kwa kuona mbali. Kuna baadhi ya watu kwenye chama cha siasa ni mtaji mkubwa katika uhai wao, na pia watu hao wanakuwa watu wasio na uchu wa mali, bali wanakuwa watumishi wa chama na nchi.

Ndugu kinana ni mmojawao na zaidi, ndio maana chama kimepokea matendo yake ya busara aliyoyafanya kuomba msamaha hadharani.

Sio wazo zuri kuweka uadui na kiongozi wa chama, tena mwenye uwezo, ujuzi, mhifadi siri, anayependwa na wanachama na wananchi, anayeheshimiwa na upinzani na vipngozi wa nchi za njee. Kwenye hili Raisi Magufuli ametumia ujasiri na siasa za hali ya juu kumrejesha Col.Kinana zizini.

Well done Mzee Kinana, ama kweli wewe ni asset na A JEWEL IN THE CROWN,

Sababu umeandika baada ya tukio kutokea, hutaonekana hata kidogo una uelewa mpana wa mambo, ujue tukio likishatokea, alafu ukajitungia hadithi, haipati uzito au utamu, sbb ishajulikana event yenyewe, yaani ww unaremba remba tu na urembo ukizidi huonekana ni uchafu. Kinana ana uchafu wake mwingi tu kama binadamu, sio asset kubwa kama ww usemavyo, lakini amefanya mengi tu CCM hilo liko wazi, nikuulize, je ingekuwa enzi za waasisi kama Mwl Nyerere yuko hai, unafikiri angekubali Kinana kupewa cheo kikubwa CCM? Jibu unalo, hivyo yaliyotokea, usianze kuyatungia maneno yako binafsi, yaache ukweli au uongo unajulikana, waswahili husema kwa vitu vinavyojulikana usiwawekee maneno mdomoni mwao. Busara kaa kimya, labda udogo wako ktk uelewa wa mambo sio mkubwa sana. Uamuzi wa awali wa mh. Rais Magufuli kutoa adhabu ulikuwa sahihi sana sana tu, sbb anawajua hawa watu mmoja mmoja. Ila tunyamazee
 
Back
Top Bottom