Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,074
- 1,553
Tano atapongezwa sana baada ya kumaliza kazi aliyotumwa.Membe alikuwa anadai Halmashauri kuu pekee ndo ina mamlaka ya kumfukuza uanachama na si kamati kuu,sasa kuweka kumbukumbu sawa hao aliowataka wagonge msumari ndo hao wamehitimisha ili asije kujifaragua baadae!
Akijitahidi sana ku-survive nje ya CCM ni miaka mitano.
Kwanza,atapoteza marafiki wa muda mrefu.
Pili, atapoteza washirika muhimu na wa siku zote.
Tatu,atakosa kilichompeleka huko aendako.
Nne,ata-swallow his pride na kurudi alikotoka.
Imeisha hiyo!!!