Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 830
Watani zangu kule Tarime wanavuta ile kitu ya jamaica iwasaidie kuwa mashujaa, sasa na huyu jamaa inampeleka kubaya, tukae na tusubiri tuone mwisho wake.
Akijinyonga hatazikwa kama Ditto akae akijua, watu siku hiyo watafanya party kubwa - (quarters zote za polisi dar nzima siku hiyo chereko.)
Akijinyonga hatazikwa kama Ditto akae akijua, watu siku hiyo watafanya party kubwa - (quarters zote za polisi dar nzima siku hiyo chereko.)