Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 983
- 340
Mkuu, habari ya ZOMBE ktk TBC1 ni ya pili ktk dondoo za habari,tena inasema tuhuma nzito kuwa LEMA,mbunge wa Arusha, anashiriki ktk wizi wa magari.Naona TBC wataiweka kama leading story na magazeti ya uhuru,jambo leo nk....wanapenda stori za kinafiki kama hizi