BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Huyo anamaindi "laga" tu.. Panapopatikana hiyo kitu.. Ye popote panamfaa..
na wahudumu wazuri...wanaovaa fresh...sio sket za marinda...bo!
Huyo anamaindi "laga" tu.. Panapopatikana hiyo kitu.. Ye popote panamfaa..
Hahahahahaaaa Mphamvu unamaanisha na BADILI TABIA ni mzee wa magamba?
Hahahahahaaa BAGAH we ni wa kunikana mimi?Erickb52 hunipeleki huko mm...ndo wamekutuma ulete mwingine...haha!kama tende zapatikana kariakoo ntazisubiria huku ng'ambo!...una yako ndugu!...lol
Hahahahahaahaaaa tunafyatuuuuuuuuka pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAah.. Washkajiii.. Potezeeni basii! Mambo gani haya jamaa.... Aah... Siyo freshiii maselaa!
Anatoa tiGO lakini... Sijui kama atakufaa..
Hahahahaaaaaa
Dogo anatisha sana eeeh
Lol namwona anavyoyajua maeneo yake ya kujidai...Lol
na wahudumu wazuri...wanaovaa fresh...sio sket za marinda...bo!
Hahahahaaa huwezi kuelewa hapo labda kesho ukiipitia hii thread kwa makini loluwiiiii....kitu longalonger...ila nasikia barabara ya vumbi ndio nzuri kupisha gari...ati inakua imara...mmhuu hata sijaelewa gambachovu
Hahahahahaaa BAGAH we ni wa kunikana mimi?
Ngoja nitamtafuta Nicas Mtei nijumuike nae maaana wewe hukawii kupoteza wakati tuko baharini
Hahahahahaaa BAGAH we ni wa kunikana mimi?
Ngoja nitamtafuta Nicas Mtei nijumuike nae maaana wewe hukawii kupoteza wakati tuko baharini
HahahaaaaNadhani mikono ipo karibu kumtetemeka asipopata hiyo kitu kwa muda mrefu!
Haaaaa unacheza na ile kitu na yale mawimbi?Anapotezaje wakati kwani..
Hiyo Etina iko pande zipi sasa?
Waarabu wa pemba nyie na nitahakikisha mnaachana na zile bia za manzeseweee pacha nampata kama kuku vile...mtama mkononi yeye anafata.. Nicas Mtei nikimshikia bia mkononi hawezi kufurukuta!
uwiiiii....kitu longalonger...ila nasikia barabara ya vumbi ndio nzuri kupisha gari...ati inakua imara...mmhuu hata sijaelewa gambachovu