BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Last edited by a moderator:
gambachovu napafahamu Zenj pia coz nilienda Pemba kutokea huko lol
Nilikuwa sikosi pale kwa Sultani kwenye juice ya miwa
gambachovu napafahamu Zenj pia coz nilienda Pemba kutokea huko lol
Nilikuwa sikosi pale kwa Sultani kwenye juice ya miwa
ok, we pumzika huku ukipunguza wallet yako....
Mie nipo kijijini huku, baridi halielezeki, natetemeka hadi utumbo........
Ni ka-pub kazuri ka kupumzikia na kungojea foleni ipungue...
Ningekuwa na mabawa mimi ningeruka kama ndege...
Nooh? Umeniudhi sana BADILI TABIA leo, kwenye ile post ya ushindi wa Maqongorroh, umewashabikia magamba mpaka umeniudhi.
Aaaagh...
gambachovu hii makitu iko makumbusho sio?...kama vip kesho tuonane pale tukiwa tunasubiria foleni isogee!
Alaa.. Foro... Opp na Ngome Kongwe,na jumba liitwalo Bait la Jaib! Wamepakarabati siku hizi ni pa ukweli... Hata zile Bar mshenzi zimekuwa ni pub za maana... Kama una hela,ZNZ is aplace to be..
Ila iwe season za Dec-Jan...
gambachovu nimepandaje chati...nimehamia ETINA...unaijua?...calabash naona imekua kama meeda sasa maana hata zile bizaa zimehamia pale ati...
Dah ni kweli aisee...Ngoja niongee na huyo dogo BAGAH tuende tukale arua na tende walau wiki mojaAlaa.. Foro... Opp na Ngome Kongwe,na jumba liitwalo Bait la Jaib! Wamepakarabati siku hizi ni pa ukweli... Hata zile Bar mshenzi zimekuwa ni pub za maana... Kama una hela,ZNZ is aplace to be..
Ila iwe season za Dec-Jan...
Hahahahahaaaaaa umeanza majungu yako lol
BAGAH bana... Uko fasta sana! Ndiyo mkuu wangu.. Ya Makumbusho ile.. One day ntatimba pale...ntakustua tu!
Hahahahahaaaa Mphamvu unamaanisha na BADILI TABIA ni mzee wa magamba?Ningekuwa na mabawa mimi ningeruka kama ndege...
Nooh? Umeniudhi sana BADILI TABIA leo, kwenye ile post ya ushindi wa Maqongorroh, umewashabikia magamba mpaka umeniudhi.
Aaaagh...
tehee!...fasta is my middle name gambachovu...lol! ukitaka kujua niache na mkeo dk chache...
HahahahaaaaaaHuyo anamaindi "laga" tu.. Panapopatikana hiyo kitu.. Ye popote panamfaa..