A tour with a girl

A tour with a girl

atakayejitokeza ajiandae kwenda kunyofolewa viungo vya siri na ngozi.


watu hufahamiana kwanza then ndiyo huendelea na mambo ya Tour ,,,,,, kama mnakutana halafu mnakubaliana sioni kama ni tatizo, wachuna ngozi hawaji kwa staili hiyo.
 
Mbona mi nilishafanya ya dizaini kama hiyo na msichana tusiejuana kabisa na ilienda poa sana tu, hadi leo amekuwa swahiba wangu sababu alifurahi sana. Lakini mi nili-cover pamoja na costs za mahitaji yake binafsi ikiwa ni pamoja na shopping ya nguo za mtoko, nilimlipa pia japo haikuwa makubaliano. Ni outing ilochukua almost 48 hrs!
aisee wewe unafaa zaidi hadi shopping...lini unarudia mkuu twende wote?
 
yupo hapa tayari kukupa company....anasema ukitaka kulala naye chumba kimoja ni USD 350 per night auxilliary costs ni kwako..
 
kaskazini kuna vivutio zaidi jamani


kaskazini alifanya tour mwaka jana na mwanamke rafiki yake ndiyo maana mwaka huu anataka mwanamke asiyefahamiana naye kabisa......

kama upo tayari na unapenda tour za hivi ni raha sana kama mtaheshimiana wote , mchek jamaa mkubaliane ila mkutane mapema kusomana na kufahamiana .
 
Hivi ni vitu vya kawaida..Lakini issue ni kuwa Mr. decentMan ametoa Tangazo kwa Public wakati dunia ya leo ni ya Freemanson na wachuna ngozi...Mr. DecentMan ..ndugu yangu na udecent wako umeshindwa hata kuokota bint mmoja kati ya marafiki wanaokuzunguka? Can't be true.. ..ndio maana wenzako wanakuwekea alama ya kuuliza???
 
kwan ww huna mchumba?....kuwa muwaz unataka kungonoka...usijidai una akili km za CCM
 
aisee wewe unafaa zaidi hadi shopping...lini unarudia mkuu twende wote?

Huwa nafanya mara 2 kwa mwaka, si tulilala chumba na kitanda kimoja, ye ndo alitaka hivo, nahisi aliogopa kukimbiwa. Tulilala yeye akiwa naked kabisa, lkn fresh tu, saa 7 ucku nikamwamsha tukaingia club hadi 5:30am tukageuka, msiogope!
 
Wanajamvi, mimi ni mpenzi wa safari na mitoko si ya anasa just for leisure.

Hivyo basi nahitaji mdada anayejitambua umri kuanzia 18 mpaka 30, ambaye tutasafiri naye maeneo ya morogoro and mbeya just for tour, nitatumia gari private and all costs are mine yeye ni company tu. Tarehe ya tour ni mwezi august btn 6th to 12th.

Sifa.
Awe charming
Asiwe mkorofi
Asiwe mlevi wala mvuta sigara
Awe mtanzania
Awe na pia yake ya ziada kwa matumizi personal (coz gharama yangu ni lodge, food na usafiri tu)

Activities tutakazofanya ni pamoja na kupiga picha maeneo mazur..

Ambaye yupo interested ani PM.

Note.
It is just a tour, hamna ngono aka sex.

Ur a joker,kuna kitu ume intend kukifanya,i doubt with ur preffered location as well
(UMRI MIAKA 18-30) hahahaha aya bana
 
Huwa nafanya mara 2 kwa mwaka, si tulilala chumba na kitanda kimoja, ye ndo alitaka hivo, nahisi aliogopa kukimbiwa. Tulilala yeye akiwa naked kabisa, lkn fresh tu, saa 7 ucku nikamwamsha tukaingia club hadi 5:30am tukageuka, msiogope!

umenichekesha
yaani nimejikuta tu nacheka....

Jf kweli raha!!!!!!!!!!
 
Wanajamvi, mimi ni mpenzi wa safari na mitoko si ya anasa just for leisure.

Hivyo basi nahitaji mdada anayejitambua umri kuanzia 18 mpaka 30, ambaye tutasafiri naye maeneo ya morogoro and mbeya just for tour, nitatumia gari private and all costs are mine yeye ni company tu. Tarehe ya tour ni mwezi august btn 6th to 12th.

Sifa.
Awe charming
Asiwe mkorofi
Asiwe mlevi wala mvuta sigara
Awe mtanzania
Awe na pia yake ya ziada kwa matumizi personal (coz gharama yangu ni lodge, food na usafiri tu)

Activities tutakazofanya ni pamoja na kupiga picha maeneo mazur..

Ambaye yupo interested ani PM.

Note.
It is just a tour, hamna ngono aka sex.

Mmmmmh! umetumwa mgodini?
 
Hivi ni vitu vya kawaida..Lakini issue ni kuwa Mr. decentMan ametoa Tangazo kwa Public wakati dunia ya leo ni ya Freemanson na wachuna ngozi...Mr. DecentMan ..ndugu yangu na udecent wako umeshindwa hata kuokota bint mmoja kati ya marafiki wanaokuzunguka? Can't be true.. ..ndio maana wenzako wanakuwekea alama ya kuuliza???

shikamoo
 
Back
Top Bottom