A tour with a girl

A tour with a girl

Ye alikuwa tayari kwa lolote, suala lilibaki kwangu tu! Mi nilibaki na boxer na taulo hata hvyo muda mwingi nilikaa nje, "ukiwa tayari chumbani kuna mlango mwingine wa kutoka nje, unakuwa km kibarazani, lkn cha kwako ww tu mwenye chumba hicho."

kitandani nilikaa nafkiri km saa 1 hivi, ile nimekaa tu akanifunika shuka, lkn haikuwa neno kwangu sababu sikuwa na lengo hlf ingeharibu outing.

Yes man, thanx for elaboration, anyway in brief ni mtu napenda sana nature na ku-travel, so briefly mambo haya yanawezekana just hofu ya watu wengi. Swala la kulala kitanda kimoja, mm kwangu siko interested unless atake yeye. Usafiri akipenda tutumie public transport no prob.
 
This is just a tour, ndugu zangu i do help them whenever wakitaka, am always busy with my work so always huwa nakuwa na mitoko every year. The other time i went to Entebbe, Eldoret, Butare and Kigali, Lubumbashi na kwingineko. It is just hobby brada....
 
Hivi una maana katika ukoo wenu hakuna hata mjomba/baba mdogo/shangazi/ binamu nk mwenye uhitaji na visenti? kwa mifumo ya maisha ya kitanzania lazima kuna ndugu yako ana uhitaji. Kwanini usimsaidie kwa hizo fedha unazopanga kumgharamia huyo girl? ni ushauri tu, nothing personal.


This is just a tour, ndugu zangu i do help them whenever wakitaka, am always busy with my work so always huwa nakuwa na mitoko every year. The other time i went to Entebbe, Eldoret, Butare and Kigali, Lubumbashi na kwingineko. It is just hobby brada....
 
asiwe mlevi au mnywaji wa pombe??
kama nakunywa kestro light tisa per day na silewi...mi ni mlevi au mnywaji tu??
 
Vp akija mke charming na mmewe ila mme akae kiti cha nyuma....pia kuna wanaume wako charming kuliko hata huyo msichana unayetaka kwenda nae...vp nao hawa hawana lao??????????????? Jibu faster nikupe mautundu zaidi ndg Decentman
 
Nimeipenda hii mada, imetoka kitofauti kidogo. Ila ina majibu mengi kuliko maswali....
 
Vp akija mke charming na mmewe ila mme akae kiti cha nyuma....pia kuna wanaume wako charming kuliko hata huyo msichana unayetaka kwenda nae...vp nao hawa hawana lao??????????????? Jibu faster nikupe mautundu zaidi ndg Decentman

Aaaahahaha, ww naona ndo mtundu zaidi ebu sema unafanyaje hapo??cha muhimu tour inoge but kanuni zizingatiwe aaahahaha...
 
Back
Top Bottom