Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 24,073
- 29,513
Acha mzaha nimemgharamia sana, she's mine.Patachimbika, siwezi kubali kumpoteza Prisha wangu..
Acha mzaha nimemgharamia sana, she's mine.Patachimbika, siwezi kubali kumpoteza Prisha wangu..
Na sisi wazee ndio wenye mapenzi ya kweli na tunajua kutunza.Wazee tumetengwa, again...wazee tunatengwa sana!!
Una wrong perspective na sisi wazee wa 40s. Mimi ninamshauri aongeze hadi 45 ili apate wigo mpana.Mi sikufichi ndugu yangu tafuta walio na umri chini ya hapo utanishukuru
Walio katika 20s ambao wana maisha ya kawaida ila wanatafuta kuna wanaume huwaga hawana hulka ya umalaya. Jiweke tu vizuri vizuri punguza vitenge miaka 33 bado sana ...
Nmekushauri hivyo kwakua nmejaribu kuchunguza mwanaume mwenye 20s Gubu lake halijakomaa bado anajifunza mambo mengi!
Hio miaka unayoitaja kuna ma single father halafu sasa wana Gubu na ni much know hasa ukute wajafanya kazi yenye kamshahara kazuri
Mamdogoo utanikumbuka 😃
Watu wanasomesha na wanaachwa itakuwa gharama za chips kuku 😀 , Nitalipa.Acha mzaha nimemgharamia sana, she's mine.
After all the comments? or you were joking, karibuLet me be all yours, am I welcome my donna, I bought a beach cottage for your birthday my sweetie.
Stop this, the lady is mine
Tabia ziko ndani ya mtu katu huwezi ona kwa picha, ila ulichotaka kuona kwa hiyo picha sina.Weka picha ukiwa umegeuka kwa nyuma tuone tabia
Mwanaume above thirty hana mke halafu ana mtoto mmoja tu hawezi kuwa mwanaume serious hata kidogo.Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
Yaani awe umri huo ameet conditions na bado awe serious haiwezekaniHi Brother Short.[emoji2] Usijali hizo Condition zake, Nenda Jaribu Bahati yako . Hawezi pata mtu wa age hiyo awe Employed au Business nini sijui , Na visifa zingine nyingi nyingi . halafu bado awe Single Hayupo[emoji1787][emoji1787]
Haya masharti kama mnachagua gari ndiyo yanawakwamishaHolla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
Ahsante kwa ushauriHaya masharti kama mnachagua gari ndiyo yanawakwamisha
Ungeishia kusema Man aged 32 to 42 labda na uwezo wa kusukuma pampu
Usiwakatie watu tamaa, wapo wengi tu na wapo serious maisha ni kuchagua kwamba kwa wakati fulani natakiwa kutimiza lengo fulani kuanza familia akiwa above 30 ni sawa ,hivyo Userious wa mtu usipimwe sana kwa umriMwanaume above thirty hana mke halafu ana mtoto mmoja tu hawezi kuwa mwanaume serious hata kidogo.
Namaste.Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
NamasteNamaste.
Kizazi ni mpango wa Mungu, as long as sijafanya chochote kibaya basi kikiwepo ni sawa kisipokuwepo ni kumshukuru Mungu kwa kila jamboUmri wote huo hauna mtoto,kizazi kipoo?
Naijuaaa hioooooHolla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
Amen 🙏Ikawe heri upate mwenza wa maisha yako.