Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,447
slim curve ndio chaguo langu, hao waturuki wa bongo ni empty kichwani.Anakuja na tako la uturukiš
slim curve ndio chaguo langu, hao waturuki wa bongo ni empty kichwani.Anakuja na tako la uturukiš
Ha ha ha.....kwamba akili znakua zimehama?slim curve ndio chaguo langu, hao waturuki wa bongo ni empty kichwani.
Mkuu mimi mwanamke niki mtazama na wazo la kwanza likawa ni kufanya nae ngono basi hapo hamna kitu.Ha ha ha.....kwamba akili znakua zimehama?
Ahsante sana kwa hii comment yako, kuna comments zinakatisha tamaa ila Mungu ndiye huona sirini na anajua lengo la kila mtu hivyo nitakua tayari kupokea kila aina ya comment positively.Hili ni jamvi la mahusiano Sasa mbona watu mnakebeh Kwan lengo la hii ni nin? Kutafuta wenza unakuta mtu yupo serious ila watu wazima wengine na familia zenu mnaandika rubbish for what?? Awe mkubwa sijui awe nani Kuna shida gan Kwan hakuna wanaume wanaotaka wanawake wa Rika lake? Au mmejikaririsha kwamba mwanamke wa miaka 30's hawez olewa people grow up achen mambo ya kitoto mda mwingine nayaona hebu achen watu wawe huru huwez jua Kuna wengine wanauhitaj ila wanaogopa kuandika sababu za majibu yenu
Hapana, ila kama mmeamua kuhisi hivyo sawaKwamba mtoa mada huenda ni wasiojulikana?
Ahsante šPongezi Kwa mtoa mada,
Anajibu maswali yenu kwa busara na hekima sana, she's really maturedšš
Jamani nacheka huku nilipo! Umenikumbusha mpenz wangu wa chuoni..Mwache kwanza amegwe atarudi tu nwenyewe
AhsanteNimependa tu jinsi Tangazo lilivyotolewa kwa Kiingereza. Inaonyesha yuko serious zaidi.
Binti Sayuni03 uko jiran angu! Pole na starehe za weekend.
Sasa hapo kwa 20s, si ataambiwa amebeba ka "benten", ambapo yeye tayari ni mshangazi!!!Mi sikufichi ndugu yangu tafuta walio na umri chini ya hapo utanishukuru
Walio katika 20s ambao wana maisha ya kawaida ila wanatafuta kuna wanaume huwaga hawana hulka ya umalaya. Jiweke tu vizuri vizuri punguza vitenge miaka 33 bado sana ...
Nmekushauri hivyo kwakua nmejaribu kuchunguza mwanaume mwenye 20s Gubu lake halijakomaa bado anajifunza mambo mengi!
Hio miaka unayoitaja kuna ma single father halafu sasa wana Gubu na ni much know hasa ukute wajafanya kazi yenye kamshahara kazuri
Mamdogoo utanikumbuka š
Asa kama kijana ana 27 huwezi kua mshangaziSasa hapo kwa 20s, si ataambiwa amebeba ka "benten", ambapo yeye tayari ni mshangazi!!!
Wababa wa makamo wana gubu jamani
Hii nafasi bado ipo?Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
NdiyoHii nafasi bado ipo?
Ni Balaa haošWababa wa makamo wana gubu jamani
Siyo Dar, bali hawa wanaoacha sicial media za kutafuta wachumba kama instagram, fb na zinginezo na kuja JF.Ndio maana kutafta mchumba Dar ni kijiweka rehaani roho na mwili.
Sawa mtoto mzuri! Njoo inbox š¬ tuyamalize..Ndiyo
Kwahiyo sisi tuna gubu bro š
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
Zaidi ya manaraKwahiyo sisi tuna gubu bro š
Kwanini usiishi na huyo aliyekuandikia tangazo hili.Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.