A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Ngoja nijaribu bahati yangu.
Naweza kuwa na fainali nzuri kama SIMBA SC.
Mwanamke mwenye 30+ haujaribu bahati wewe ndio unamsaidia. Hapo bidada maji yapo shingoni calculation alizopiga zote zimekataa.
 
Hi Brother Short.😃 Usijali hizo Condition zake, Nenda Jaribu Bahati yako . Hawezi pata mtu wa age hiyo awe Employed au Business nini sijui , Na visifa zingine nyingi nyingi . halafu bado awe Single Hayupo🤣🤣
Duh mbona mimi sifa ninazo na nipo single
 
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
What is your height Prisha? What height is tall for you?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom