A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
You really have a calling in BROKEN English. Before searching for a husband, learn how to use punctuation marks. Your writing skills are very poor. Have you finished to kiss frogs?
 
Hahah wale mnaomtukana mamaaa msithubutu kwenda, wale walio pita MOCKBA wataelewa hizo zinaitwa HONEY TRAP, ukifika huko unaanza kujiachia una unlock ID yako na kujianika unaishia UKONGA.

Vyangudoa wakitaka kuolewa huwa wanahama kutoka Sinza anahamia Tangi Bovu anaonekana mpya, unashanga harusi kuubwa kumbe vijana wanakuchora tu.

Msitafute vya rahisi vinagharama sana.
 
Hahah wale mnaomtukana mamaaa msithubutu kwenda, wale walio pita MOCKBA wataelewa hizo zinaitwa HONEY TRAP, ukifika huko unaanza kujiachia una unlock ID yako na kujianika unaishia UKONGA.

Vyangudoa wakitaka kuolewa huwa wanahama kutoka Sinza anahamia Tangi Bovu anaonekana mpya, unashanga harusi kuubwa kumbe vijana wanakuchora tu.

Msitafute vya rahisi vinagharama sana.
Siyo kweli na yafaa nini kupotosha hivi ?😪
 
Hahah wale mnaomtukana mamaaa msithubutu kwenda, wale walio pita MOCKBA wataelewa hizo zinaitwa HONEY TRAP, ukifika huko unaanza kujiachia una unlock ID yako na kujianika unaishia UKONGA.

Vyangudoa wakitaka kuolewa huwa wanahama kutoka Sinza anahamia Tangi Bovu anaonekana mpya, unashanga harusi kuubwa kumbe vijana wanakuchora tu.

Msitafute vya rahisi vinagharama sana.
Ndio maana kutafta mchumba Dar ni kijiweka rehaani roho na mwili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom