A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Hili ni jamvi la mahusiano Sasa mbona watu mnakebeh Kwan lengo la hii ni nin? Kutafuta wenza unakuta mtu yupo serious ila watu wazima wengine na familia zenu mnaandika rubbish for what?? Awe mkubwa sijui awe nani Kuna shida gan Kwan hakuna wanaume wanaotaka wanawake wa Rika lake? Au mmejikaririsha kwamba mwanamke wa miaka 30's hawez olewa people grow up achen mambo ya kitoto mda mwingine nayaona hebu achen watu wawe huru huwez jua Kuna wengine wanauhitaj ila wanaogopa kuandika sababu za majibu yenu
 
Prisha , Single Maza yeyote ambaye yuko serious kweli, na hataki tena utani na maisha, Na atakuwa kaamua kweli kutulia, Na kubadilika na hataman kurudi kwa Bby Dady wake basi atulie Afanye Biashara🙏😂
 
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
Una tako?
 
Prisha , Single Maza yeyote ambaye yuko serious kweli, na hataki tena utani na maisha, Na atakuwa kaamua kweli kutulia, Na kubadilika na hataman kurudi kwa Bby Dady wake basi atulie Afanye Biashara🙏😂
Kwani Prisha na Prishaz ni 🆔 moja? Naona maneno yamekuwa mengii 🙏🏾
Ndo huyuhuyu, Mtu mwenye akili timamu huwez tengeneza ID ya kufanana na mwingine kias iko wakati wote ni Hoehae😁
Zamani alikuwa na 🆔 flan hivi nzuri ya mdada akiwa amevaa weaving
 
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
Nipo hapa njoo unichukue ulikuwa wapi wakati nateseka njoo
 
Mi sikufichi ndugu yangu tafuta walio na umri chini ya hapo utanishukuru
Walio katika 20s ambao wana maisha ya kawaida ila wanatafuta kuna wanaume huwaga hawana hulka ya umalaya. Jiweke tu vizuri vizuri punguza vitenge miaka 33 bado sana ...
Nmekushauri hivyo kwakua nmejaribu kuchunguza mwanaume mwenye 20s Gubu lake halijakomaa bado anajifunza mambo mengi!
Hio miaka unayoitaja kuna ma single father halafu sasa wana Gubu na ni much know hasa ukute wajafanya kazi yenye kamshahara kazuri
Mamdogoo utanikumbuka 😃
Hilo gubu Mfano mzuri ni Extrovert na Mad Max 😀
 
Kwamba mtoa mada huenda ni wasiojulikana?
Hahah wale mnaomtukana mamaaa msithubutu kwenda, wale walio pita MOCKBA wataelewa hizo zinaitwa HONEY TRAP, ukifika huko unaanza kujiachia una unlock ID yako na kujianika unaishia UKONGA.

Vyangudoa wakitaka kuolewa huwa wanahama kutoka Sinza anahamia Tangi Bovu anaonekana mpya, unashanga harusi kuubwa kumbe vijana wanakuchora tu.

Msitafute vya rahisi vinagharama sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom