ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Bongo hakuna A paparazzi kwa hiyo A-list celebrities hawawezi kuwepo.
Unajua nimekaa nimefikiria weee lakini wapi! Hivi bongo kuna A list celebrity gani ? Kwa A list namaanisha yule ambaye hawezi kwenda sehemu bila kuzongwa na mashabiki na paparazzi. Nani yupo kwenye hii category bongo....
fANYA URUDI NYUMBANI UKATEMBEE WALAU MIEZI 4 TUU
DUH!
hEHEHEHEHEH.....naenda sana ndo maana sijawahi ona hata mmoja...
hata Nambua hukumuona?
....Mkuu,Hashim Lundenga,...Remtula Je?....teh..teh.....baaado sana Tz.Wigo bado mdogo sana kwa haya mambo,Ila 1st.class citizens wapo,wenyewe wanajiita 'the young up-comming profesionals':-H.Bomani,F.Karume,M.Dewji,R.Kikwete,J.Makamba,L.Masha,S.Bakhresa....hEHEHEHEHEH.....naenda sana ndo maana sijawahi ona hata mmoja...
hata Nambua hukumuona?
by the way,kelly nategemea kuwa states sometime next month,would you mind nikifikia kwako for even two or three days even as a paying guest?
Yo Yo
Hey guys,
Mbona mnatulazimisha kusoma private issues hapa? Why dont you PM each other na kuongelea hizo booking za hotel na kulipa kwa credit card? Mara shem wewe karibu lalkini huyu hapana.
Sorry naona kama mawasiliano hayo ni too personal na hayapashwi kusomwa na kila mtu hapa. Turudi kwenye mada!!!
Tiba
Aise hata mimi najiona celebrity...maana siwezi katiza mitaa ya brake point, Rose Garden, ukanda wa Gaza au Hongera bila kuzongwa na wananchi niwape hata tusker mbili za baridiii..au Nyani ulikuwa na maana gani ;-)????????????
naona wewe Masanja feki.
Nimeskia kwamba umeokoka sasa kwenye bar unafuata nini huko unatega mingo?