Sasha Fierce
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 361
- 5
Hao babu ndio usiseme.
Ukirudi bongo utashangaa hata mademu usio wajua wanakuja kukaa meza moja na wewe au kuja kukusalimia home.
Kuna machangu na groupies wengi mno.
Kwani definition ya groupie ni nini?.
hivi mtu kuja kukaa meza moja na wewe au kuja kukusalimia home kwako ni groupie?.kama ni hivyo basi hata wanaume pia ni ma-groupie.