Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,223
- 113,550
- Thread starter
- #101
Nyani;
Inategemea huyo superstaa ni wa nini na yupo maeneo gani. Mfano hata awe superstaa wa vipi maeneo ya masaki au mikocheni au hata Obey HAZONGWI MTU.
A lister ni A lister tu. Nikupe mfano, David Beckham, iwe UK, US, Hongo Kong, Cape Town....akionekana atazongwa tu na Paps watakuwa wanapigana vikumbo.