A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Computer science kiranja wa Dunia

Naamini duniani tumefungwa ufahamu wa kifikra yapo mambo mengi tunayaona lkn hayapo jinsi yalivyo bado dunia inamambo ya kujifunza wapo viumbe ktk sayari.

Nyingine wanatuchora sisi binadamu wametuacha mbali ki technology mf. Speed ya mwanga ndio inanguvu ya mwendo kuliko chochote duniani lakini nje ya box kuna vitu vinaspeed Mara mia zaidi ya mwanga ila acha technology izidi kukua.
 
Umemsahau E.D.IT.H.

Binafsi natumia GO assistant na cortana ni raha sana kutumia AI. Ila wakerelease strong AI public, itakua vizuri sana(ila zisizidi uwezo wetu). Nimeona mark nyumba yake nzima anatumia AI, mwenyewe anaaita jarvis,

Hiyo AI inafanya karibu kila kitu, kuzima taa, kumuamsha mark, kumuangalia mtoto kuangalia wageni watakaokuja,kufungua milango, ratiba za mark, kumpa nguo atakayo vaa, mwenzetu ana ratiba ya nguo) na mengine mengi, huyu billionaire anafaidi sana,

Pia kuna kipindi fb walianzisha AI zao, nadhani ni 2017, mara zile AI zikaanza kutengenza lugha zao wenyewe na kuanza kuchat, baada ya kuona vile, ilibidi fb wazidestroy hakuna aliyeweza kuelewa Ile lugha, isije walikua wanapanga kuufutilia mbali ulimwengu, yaahi hii habari ilitamba sana kwenye vyombo vya habari,

Ukweli ni Kwamba Hizi strong AI ni hatari sana, sababu zinafikiria kuliko binadamu, hizo AI weapons pia ni hatari sana, isije zikawa kama ultron, na hapa hakuna superhumans matokeo yake duniani hapakaliki tena.
 
Ni nini hiki mkuu?
Jexi is a 2019 American romantic comedy film written and directed by Jon Lucas and Scott Moore. The film stars Adam DeVine, Alexandra Shipp, Michael Peña, Rose Byrne, Justin Hartley, Wanda Sykes, Ron Funches, and Charlyne Yi. The plot follows a self-aware phone that becomes emotionally attached to its socially awkward owner.

Inafanana kabisa na mada yako...jamaa alipata tabu sana na SmartPhone yake yenye AI.

Ukiangalia utacheka sana ila kuna ujumbe mzito sana umetolewa jinsi AI zitakavyokuwa nasi huko mbeleni na sasa.

Kiukweli mambo ni mengi sana juu ya AI...
 
Daniel 12 sku za mwisho watu wataenda mbio mbio na maarifa yataongezeka nimesikia juu ya miaka ijayo watazaliwa kizazi cha watu wenye akili sana kuwai kutokea duniani yaani hakuna haja ya kusoma mtt anazaliwa na iq kubwa nakuunga mkono ila sasa dunia bado ipo gizani juu ya ile chip ya kujua mfu yuko wapi iliofeli kufanya kazi
Kifo na usingizi ni fumbo lililoshindikana kufumbuliwa Mkuu.
 
Superhuman wapo wakutosha, wengine wanaruka na uongo usiku huko daily.

Bila kusahau kina Elon Musk a.k.a Tony Stark nawalio watengeneza hizo A.I...

Hao A.I wakituzingua tutashinda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikua na point ila umenigiza utani..😂😂
Naamini wapo gifted peoples
 
Superhuman wapo wakutosha, wengine wanaruka na uongo usiku huko daily.

Bila kusahau kina Elon Musk a.k.a Tony Stark nawalio watengeneza hizo A.I...

Hao A.I wakituzingua tutashinda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama AI zikianzisha vita nasisi hatutoshinda, na kama zina access na kila kitu, hao wanaoruka na ungo/pamoja na waliotengeneza, kutakuwa hakuna cha kufanya zaidi ya kusubiri kupinduliwa,

Kama ni mpenzi wa superhero/sci fi movies utaona kilichowatokea tonystark na bruce'banner.
 
Mkuu kama AI zikianzisha vita nasisi hatutoshinda, na kama zina access na kila kitu, hao wanaoruka na ungo/pamoja na waliotengeneza, kutakuwa hakuna cha kufanya zaidi ya kusubiri kupinduliwa,

Kama ni mpenzi wa superhero/sci fi movies utaona kilichowatokea tonystark na bruce'banner.
Yaani pale walikua wanatuelezea kabisa effects za AI. Ila waliwezaje kumuua Ultron wakati ultron ni Mind anaweza kuhama mwili mmoja kwenda mwingine.
au baada ya Vision kum.shut down online?
 
Kuna movie ya kihindi pia Robot Ya kitambo kidogo Robot anamgeuka doc anakuwa na emotion attachment na lady fulani, owner anamind anampondaponda Then he dumps The robot Finally anajikongoja , Anajiunda tena then anatengeneza Robots wenzake maelfu, Then anaanza war with Humans
 
Yaani pale walikua wanatuelezea kabisa effects za AI. Ila waliwezaje kumuua Ultron wakati ultron ni Mind anaweza kuhama mwili mmoja kwenda mwingine.
au baada ya Vision kum.shut down online?
Toka nimecheki age of ultron ni muda mrefu sana, ila nakumbuka Wanda kuna kitu alimtoa alafu vision akammalizia.
 
Kuna movie ya kihindi pia Robot Ya kitambo kidogo Robot anamgeuka doc anakuwa na emotion attachment na lady fulani, owner anamind anampondaponda Then he dumps The robot Finally anajikongoja , Anajiunda tena then anatengeneza Robots wenzake maelfu, Then anaanza war with Humans
Nimeicheki hiyo muvi asee.. ila nimeaahau jina lake. Wanajiunda wanakua kama mkeka au ufagio afu wanapiga mitama watu.
kuna pale walibebana wakamshusha dereva yupo ndani ya helkopta
 
Nimeicheki hiyo muvi asee.. ila nimeaahau jina lake. Wanajiunda wanakua kama mkeka au ufagio afu wanapiga mitama watu.
kuna pale walibebana wakamshusha dereva yupo ndani ya helkopta
Unazungumzia ya mwaka gani mkuu , Nazungumiza 2010 Wanaiita Enthiran,
6DF0B79F-3E1C-40E6-B40B-54BCE4CA9DAA.jpeg
34BB3ADE-045C-4692-92E7-BA8C0A351407.jpeg
 
Back
Top Bottom