Hahaaa usiwaze. Nimeiona yote bossOohh I'm sorry sana. Ngoja nikuweke tag mkuu.. ila unejuaje hayo kama hujasoma?
Kama kwenye fast furious ya hobb &shaw kuna mniga mmoja jambazi alikuwa anapikipiki anaiita inakuja anapanda anaondoka,nikaja kuona kwenye YouTube BMW wametoa pikipiki kama ile unaweza kujiendesha inahisi kiziwiziz chochote barabarani inatambua,inahisi ajali na kutoa taarifa.Mara nyingi muvi hua inatoa vitu ambavyo vitakuwepo in future..watu wakiona wanajua ni mambo ya kusadikika kama muvi zilivyozoeleka. Ila muda ufikapo kila kitu kitakua wazi
Hizo mbona zipo kitambo hasa upange wa maguari. Audi Gtron unaweza kuiita..BMW pia zipo na magari mengine ya kisasaKama kwenye fast furious ya hobb &shaw kuna mniga mmoja jambazi alikuwa anapikipiki anaiita inakuja anapanda anaondoka,nikaja kuona kwenye YouTube BMW wametoa pikipiki kama ile unaweza kujiendesha inahisi kiziwiziz chochote barabarani inatambua,inahisi ajali na kutoa taarifa.
Kwa Tz bado kuna ukakasi mkuu kama bado tunashindwa kumudu 4G/4Glte ndio itakua hizi advanced tech.
Itatuchukua muda sana hadi kuendana na kasi ya dunia
Ni kweli. Ila umejuaje kama T.Travelling inawezekana kwa Yesu tu?Mifumo ya elimu bongo inatakiwa iwe konk sana! Haya malumbano ya kisiasa ndio yanaharibu tusiendelee. Eti mtu akigundua silaha, anakamatwa anatiwa ndani. Mawaziri wana kazi ya ku-abandon upinzani tu. Time Travel iliwezekana kwa Yesu pekee.