halfcastmangi
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 357
- 944
Je, kuna mtanzania anaingiza kipato kutokana na Teknolojia hii ya artificial?
Naomba kama wapo basi tupeane maarifa hapa, iwe artificial intelligence jumlisha na social media basi tupeane maarifa ili wengi tujikwamue kiuchumi.
Naomba kama wapo basi tupeane maarifa hapa, iwe artificial intelligence jumlisha na social media basi tupeane maarifa ili wengi tujikwamue kiuchumi.