Artificial Intelligence ni ulaghai

100 others

JF-Expert Member
Aug 5, 2017
3,626
12,057
Mwaka 1997 IBM walitengeneza computer ikiitwa Deep Blue ikamshinda bingwa wa chess duniani aliitwa Garry Kasparov, watu wakaona dunia inaingia kwenye nyakati computer inakwenda kumzidi binadamu akili lakini si kweli, miaka ya1950' hadi 1960's kuna wanasayansi wakasema kuna robots zitakuja kufanya kazi kama mwanadamu matokeo yake walipata machine za kufulia, oven, vifaa vya kupika jikoni n.k, hadi leo haikutokea.

Artificial Intelligence ni ulaghai, ni brand, wafanyabiashara wapiga pesa Elon Musk na Billgate niliwasikia wakizungumza kuhusu hatari ya AI.

Lakini naona hao ni wafanyabiashara tu hakuna lolote, Elon Musk anasema AI ni hatari sana zaidi ya silaha za nuclear na watu wasiichimbe sana cha ajabu Musk ndio anaongoza msafara hivi sasa kufanya R&D juu ya robots zake za Tesla Bot.

Na wengi tunapoambiwa kuhusu AI tunawaza mfano wa machines au robots ambazo zina akili kumkaribia binadamu au sawa na binadamu zinaweza kufanya kazi, kuendesha gari, kufikiri , kukimbia na vitu vingi ambavyo mwanadamu hufanya, lakini hakuna kitu kama hiko. Na wengi wetu tunafikiri na kuogopa AI kwamba inakuja kureplace kazi nyingi.

Tech giants companies kama Google, Microsoft n.k wanaingiza pesa ndefu sana kupitia bidhaa za AI hivi sasa, bidhaa ikitoka ikitambulishwa tu kwamba ina AI basi tegemea watu kuitumia na kuinunua kwa wingi bidhaa hio.

Ukiingia youtube matangazo ni AI, Quora sasa wana AI, opera browser wana AI, software nyingi za kazi mfano microsoft office , photoshop, after effects n.k zina AI. Tech companies zinatembea na upepo wa AI si mchezo, hivi sasa si ajabu ukaenda kununua radio au Tv dukani na ukakuta imewekwa nembo kwamba inatumia AI.

Katika neno investors wameongoza kulitafuta google hivi karibuni ni AI, watu wana invest sana kwenye bidhaa za AI, nadhani ni biashara ya kwanza itawapa watu utajiri wa trillion dollar.

AI systems mfano ChatGPT zinakuwa trained kwa kulishwa data kwa kiasi kikubwa sana kutoka mtandaoni, kwanza hata ChatGPT yenyewe unapoiuliza huwa haifahamu ilichojibu kinamaanisha nini, ni kweli ama uongo, computer haipo emotion, computer haina critical thinking kama mwanadamu, AI tunaiweka kwenye automation, ni automated intelligence.

Mfano ChatGPT inapojibu huwa inaweka neno linalofuatia kwa kuangalia zaidi statistics kwa sehemu kubwa ni neno lipi limetumika zaidi linalofuatia, na hizi data ni binadamu kaandika zipo online, inachota mamia ya terabytes za data na kufanya pattern matching n.k kupata jibu.

AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo.

AI inaweza kufanya specific tasks ambazo imekuwa programmed kufanya.

AI haina IQ, inafuata kile mwanadamu ame program ifanye.

AI siku zote itategemea ni kipi tuilishe, na vipi tuna i structure, AI ni computational mathematics applied to automation.

Movies na novels zimetudanganya pakubwa. Wafanya biashara wakubwa kama Elon Musk na maneno yao ya kutisha watu kuhusu AI ni ku hype wazidi kupiga pesa kiulaini.

Hakuna Intelligence ambayo ni artificial.
 
Na hiyo ndio sababu inaitwa na itaendelea kuwa na kufahamika kama Artificial Intelligence.

Kwa kweli mpaka sasa imefikia pakubwa sana, infact yapo magari yanaendeshwa kwa AI fuatilia huduma ya taxi inaitwa waymo uone jamaa walipofikia, ni balaa.

Ukizungumzia kukuzwa, yes, ndio biashara hufanyika hivyo, kila kinachonekana kuhitajika sana na watu kilikuzwa (hyped) sana na watu pia mpaka vikaonekana ni vya lazima kuwa navyo ama kuvitumia. Na teknolojia huwa na hamasa kubwa siku zote mpaka hupelekea zama kubadilika. Kwa sasa zama zinaelekea kubadilishwa na advancement in AI technologies hakuna namna ya kuikwepa, haiwezekani.
 
Na hiyo ndio sababu inaitwa na itaendelea kuwa na kufahamika kama Artificial Intelligence.

Kwa kweli mpaka sasa imefikia pakubwa sana, infact yapo magari yanaendeshwa kwa AI fuatilia huduma ya taxi inaitwa waymo uone jamaa walipofikia, ni balaa.

Ukizungumzia kukuzwa, yes, ndio biashara hufanyika hivyo, kila kinachonekana kuhitajika sana na watu kilikuzwa (hyped) sana na watu pia mpaka vikaonekana ni vya lazima kuwa navyo ama kuvitumia. Na teknolojia huwa na hamasa kubwa siku zote mpaka hupelekea zama kubadilika. Kwa sasa zama zinaelekea kubadilishwa na advancement in AI technologies hakuna namna ya kuikwepa, haiwezekani.
Upo sahihi mkuu lakini my point is, the term artificial intelligence seems to describe just the name of these types of machines lakini si capabilities ilizonazo.

Wafanya biashara ku hype ni kwa sababu za kibiashara lakini wao wana ikuza AI kwa kutaka kuifanya sawa na uwezo wa binadamu kitu ambacho si kweli, na ndio maana nikasema ni ulaghai, ni false hope wanapatia watu ili wauze zaidi bidhaa zao.

Ni kibiashara zaidi na si kumaanisha.
 
Mwaka 1997 IBM walitengeneza computer ikiitwa Deep Blue ikamshinda bingwa wa chess duniani aliitwa Garry Kasparov, watu wakaona dunia inaingia kwenye nyakati computer inakwenda kumzidi binadamu akili lakini si kweli, miaka ya1950' hadi 1960's kuna wanasayansi wakasema kuna robots zitakuja kufanya kazi kama mwanadamu matokeo yake walipata machine za kufulia, oven, vifaa vya kupika jikoni n.k, hadi leo haikutokea.

Artificial Intelligence ni ulaghai, ni brand, wafanya biashara wapiga pesa Elon Musk na Billgate niliwasikia wakizungumza kuhusu hatari ya AI.

Lakini naona hao ni wafanya biashara tu hakuna lolote, Elon Musk anasema AI ni hatari sana zaidi ya silaha za nuclear na watu wasiichimbe sana cha ajabu Musk ndio anaongoza msafara hivi sasa kufanya R&D juu ya robots zake za Tesla Bot.

Na wengi tunapoambiwa kuhusu AI tunawaza mfano wa machines au robots ambazo zina akili kumkaribia binadamu au sawa na binadamu zinaweza kufanya kazi, kuendesha gari, kufikiri , kukimbia na vitu vingi ambavyo mwanadamu hufanya, lakini hakuna kitu kama hiko. Na wengi wetu tunafikiri na kuogopa AI kwamba inakuja kureplace kazi nyingi.

Tech giants companies kama Google, Microsoft n.k wanaingiza pesa ndefu sana kupitia bidhaa za AI hivi sasa, bidhaa ikitoka ikitambulishwa tu kwamba ina AI basi tegemea watu kuitumia na kuinunua kwa wingi bidhaa hio.

Ukiingia youtube matangazo ni AI, Quora sasa wana AI, opera browser wana AI, software nyingi za kazi mfano microsoft office , photoshop, after effects n.k zina AI.

Tech companies zinatembea na upepo wa AI si mchezo, hivi sasa si ajabu ukaenda kununua radio au Tv dukani na ukakuta imewekwa nembo kwamba inatumia AI.

Katika neno investors wameongoza kulitafuta google hivi karibuni ni AI, watu wana invest sana kwenye bidhaa za AI, nadhani ni biashara ya kwanza itawapa watu utajiri wa trillion dollar.

AI systems mfano ChatGPT zinakuwa trained kwa kulishwa data kwa kiasi kikubwa sana kutoka mtandaoni, kwanza hata ChatGPT yenyewe unapoiuliza huwa haifahamu ilichojibu kinamaanisha nini, ni kweli ama uongo, computer haipo emotion, computer haina critical thinking kama mwanadamu, AI tunaiweka kwenye automation, ni automated intelligence.

Mfano ChatGPT inapojibu huwa inaweka neno linalofuatia kwa kuangalia zaidi statistics kwa sehemu kubwa ni neno lipi limetumika zaidi linalofuatia, na hizi data ni binadamu kaandika zipo online, inachota mamia ya terabytes za data na kufanya pattern matching n.k kupata jibu.

AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo.

AI inaweza kufanya specific tasks ambazo imekuwa programmed kufanya.

AI haina IQ, inafuata kile mwanadamu ame program ifanye.

AI siku zote itategemea ni kipi tuilishe, na vipi tuna i structure, AI ni computational mathematics applied to automation.

Movies na novels zimetudanganya pakubwa. Wafanya biashara wakubwa kama Elon Musk na maneno yao ya kutisha watu kuhusu AI ni ku hype wazidi kupiga pesa kiulaini.

Hakuna Intelligence ambayo ni artificial.
Ni nani wanaofanya kazi ya kutengeneza magari kwenye viwanda vikubwa vya Japani, ni robots. Hivi sasa mashamba makubwa yanatumia robots kuanzia kulima, kupanda, umwagiaji wa shamba, kunyunyuzia dawa na kuvuna.
Watanzanzania tumechangia nini kwenye tekinolojia za kuongeza ufanisi zaidi ya kupoteza muda Kawe kununua maji!
 
AI systems mfano ChatGPT zinakuwa trained kwa kulishwa data kwa kiasi kikubwa sana kutoka mtandaoni, kwanza hata ChatGPT yenyewe unapoiuliza huwa haifahamu ilichojibu kinamaanisha nini, ni kweli ama uongo, computer haipo emotion, computer haina critical thinking kama mwanadamu, AI tunaiweka kwenye automation, ni automated intelligence.
Tupo pamoja.
 
Sasa kama ni ulaghai hiyo simu yako smart ni analogi au kompyuta yako ukifanya kazi unadhani zinafanya analogi. Swala la AI lipo muda sema la kuongea ana kwa ana ndio lilikuwa bado hata serch engine ni AI.

KAMA UKIMKUMBUKA HUYU BASI UTAKUWA ULIKUWA MDOGO

F_ZaAe9XcAAgCM7.jpg
 
Ni nani wanaofanya kazi ya kutengeneza magari kwenye viwanda vikubwa vya Japani, ni robots. Hivi sasa mashamba makubwa yanatumia robots kuanzia kulima, kupanda, umwagiaji wa shamba, kunyunyuzia dawa na kuvuna.
Watanzanzania tumechangia nini kwenye tekinolojia za kuongeza ufanisi zaidi ya kupoteza muda Kawe kununua maji!
Sio Robots ni Machine, hili iwe robot inabidi ijiongoze yenyewe kwa 100% kupitia AI
 
Ni nani wanaofanya kazi ya kutengeneza magari kwenye viwanda vikubwa vya Japani, ni robots. Hivi sasa mashamba makubwa yanatumia robots kuanzia kulima, kupanda, umwagiaji wa shamba, kunyunyuzia dawa na kuvuna.
Watanzanzania tumechangia nini kwenye tekinolojia za kuongeza ufanisi zaidi ya kupoteza muda Kawe kununua maji!
Mkuu, hayo maandishi yako tayari umeshachangia kuelekea kwenye AI.

Mrejesho tutakao upata ni hiyo negativity yako hapo juu ya Watanzania. I quote

"Watanzanzania tumechangia nini kwenye tekinolojia za kuongeza ufanisi zaidi ya kupoteza muda Kawe kununua maji!"

With all fairness, wewe umeshindwa kutafuta mchango wowote ule ambao umetoka Tanzania? Katika nyanja mbalimbali?

Huoni hata Kiswahili ni mchango kubwa tu?
 
AI itapunguza tu baadhi ya kazi zinazofanywa na binadamu but haiwezi kutake over
Kwenye kazi nadhani itaboresha tu, haiwezi takeover totally, yaani itatumika kuokoa muda na itatumika kama tool ya kazi.

Mfano AI imeanza kutumika hospital kupima cancer hii haimaanishi ita replace doctors, kwa sababu AI inafanya only specific task.
 
Ni nani wanaofanya kazi ya kutengeneza magari kwenye viwanda vikubwa vya Japani, ni robots. Hivi sasa mashamba makubwa yanatumia robots kuanzia kulima, kupanda, umwagiaji wa shamba, kunyunyuzia dawa na kuvuna.
Watanzanzania tumechangia nini kwenye tekinolojia za kuongeza ufanisi zaidi ya kupoteza muda Kawe kununua maji!
Robots kutumika viwandani ni muda mrefu sana zimekuwa zikitumika.

Hata viwanda vya vinywaji wanatumia robots au machines.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya kupambania vyama vyao vya siasa vitawale milele.
 
sasa kama ni ulaghai hiyo simu yako smart ni analogi au kompyuta yako ukifanya kazi unazani zinafanya analogi.
swala la AI lipo mda sema la kuongea hana kwa hana ndio lilikuwa bado hata serch engine ni AI.

KAMA UKIMKUMBUKA HUYU BASI UTAKUWA ULIKUWA MDOGO
View attachment 2897572
AI ni tool itakayotumika kuboresha tu kazi, ni sawa na calculator ilipogunduliwa, wahasibu waliitumia kama tool kuokoa muda, haimaanishi iki replace kazi za uhasibu.

Point yangu ni jinsi AI inavyokuwa hyped iogopwe wakati huo uwezo haina na haitakuwa nao zaidi ni wafanya biashara wakifanya marketing.
 
Wanaofuatilia na wenye uelewa wa kina wa namna ambavyo sayansi na technologia ina vyokwenda kwa kasi kwa sasa wanahofu juu ya uwezo wa AI .Wewe bado upo kwenye historia za mwaka 1950.

Jitafakari,

Article.
Wenye uelewa zaidi wanaelewa AI ni brand inayotumika kibiashara, waliosoma computer science, programming na wakaelewa AI inavyofanya kazi wanakiri AI inakuzwa.

Kutoa mifano kuanzia 1960s ni kwa sababu ni muda ambao wanasayansi walianza kuchimba sana kuhusu robots wakasema miaka 20 ijayo robots zitafanya kazi kama binadamu leo ni 2024.

Leo imekuja AI wanarudi palepale kwamba soon kazi nyingi zitakuwa replaced na AI, kina Musk hadi wanatengeneza robots inakuwa girlfriend.
 
Mwaka 1997 IBM walitengeneza computer ikiitwa Deep Blue ikamshinda bingwa wa chess duniani aliitwa Garry Kasparov, watu wakaona dunia inaingia kwenye nyakati computer inakwenda kumzidi binadamu akili lakini si kweli, miaka ya1950' hadi 1960's kuna wanasayansi wakasema kuna robots zitakuja kufanya kazi kama mwanadamu matokeo yake walipata machine za kufulia, oven, vifaa vya kupika jikoni n.k, hadi leo haikutokea.

Artificial Intelligence ni ulaghai, ni brand, wafanya biashara wapiga pesa Elon Musk na Billgate niliwasikia wakizungumza kuhusu hatari ya AI.

Lakini naona hao ni wafanya biashara tu hakuna lolote, Elon Musk anasema AI ni hatari sana zaidi ya silaha za nuclear na watu wasiichimbe sana cha ajabu Musk ndio anaongoza msafara hivi sasa kufanya R&D juu ya robots zake za Tesla Bot.

Na wengi tunapoambiwa kuhusu AI tunawaza mfano wa machines au robots ambazo zina akili kumkaribia binadamu au sawa na binadamu zinaweza kufanya kazi, kuendesha gari, kufikiri , kukimbia na vitu vingi ambavyo mwanadamu hufanya, lakini hakuna kitu kama hiko. Na wengi wetu tunafikiri na kuogopa AI kwamba inakuja kureplace kazi nyingi.

Tech giants companies kama Google, Microsoft n.k wanaingiza pesa ndefu sana kupitia bidhaa za AI hivi sasa, bidhaa ikitoka ikitambulishwa tu kwamba ina AI basi tegemea watu kuitumia na kuinunua kwa wingi bidhaa hio.

Ukiingia youtube matangazo ni AI, Quora sasa wana AI, opera browser wana AI, software nyingi za kazi mfano microsoft office , photoshop, after effects n.k zina AI. Tech companies zinatembea na upepo wa AI si mchezo, hivi sasa si ajabu ukaenda kununua radio au Tv dukani na ukakuta imewekwa nembo kwamba inatumia AI.

Katika neno investors wameongoza kulitafuta google hivi karibuni ni AI, watu wana invest sana kwenye bidhaa za AI, nadhani ni biashara ya kwanza itawapa watu utajiri wa trillion dollar.

AI systems mfano ChatGPT zinakuwa trained kwa kulishwa data kwa kiasi kikubwa sana kutoka mtandaoni, kwanza hata ChatGPT yenyewe unapoiuliza huwa haifahamu ilichojibu kinamaanisha nini, ni kweli ama uongo, computer haipo emotion, computer haina critical thinking kama mwanadamu, AI tunaiweka kwenye automation, ni automated intelligence.

Mfano ChatGPT inapojibu huwa inaweka neno linalofuatia kwa kuangalia zaidi statistics kwa sehemu kubwa ni neno lipi limetumika zaidi linalofuatia, na hizi data ni binadamu kaandika zipo online, inachota mamia ya terabytes za data na kufanya pattern matching n.k kupata jibu.

AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo.

AI inaweza kufanya specific tasks ambazo imekuwa programmed kufanya.

AI haina IQ, inafuata kile mwanadamu ame program ifanye.

AI siku zote itategemea ni kipi tuilishe, na vipi tuna i structure, AI ni computational mathematics applied to automation.

Movies na novels zimetudanganya pakubwa. Wafanya biashara wakubwa kama Elon Musk na maneno yao ya kutisha watu kuhusu AI ni ku hype wazidi kupiga pesa kiulaini.

Hakuna Intelligence ambayo ni artificial.
Ooh what a lovely day.

AI
 
Ni nani wanaofanya kazi ya kutengeneza magari kwenye viwanda vikubwa vya Japani, ni robots. Hivi sasa mashamba makubwa yanatumia robots kuanzia kulima, kupanda, umwagiaji wa shamba, kunyunyuzia dawa na kuvuna.
Watanzanzania tumechangia nini kwenye tekinolojia za kuongeza ufanisi zaidi ya kupoteza muda Kawe kununua maji!
Wazungu wanakwenda mbele sisi tunarudi nyuma.
Mapimbi wamepanga foleni 24/7 kwa Mwamposa kupata maji na mafuta ya upako
 
Back
Top Bottom